Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Mkuu haujajibu swali langu, ni hivi hilo bomu la nuclear alifyatua wao hawafii? na kama litawazuru kwanini watumie silaha ya mwisho, ni kwamba wamezidiwa

Mkuu sio lazima uone, ushuhudie ama uwepo sehemu ya tukio ndio unaweza kuchambua mstakabali mzima/wote wa jambo husika. Mfano: sisi sote hatupo uwanja wa Vita. Lakini mgogoro huu sisi sote tunaufahamu chimbuko lake na ulipoanza: Kiongozi wa Urusi alimwona na kumtaka Rais wa Ukrein nchi yake ni budi watii amri na maagizo yake kitu ambacho aliona sio sahihi nchi nyingine imwingilie katika uendeshaji wa nchi yake na aka kataa ushauri wake. Baada ya kukataa ushauri/maelekezo akamwabia nitakupiga kipigo cha mbwa koko, kweli akaingiza jeshi akitegemea ndani ya siku mbili tatu ataiteka nchi; haikuwa hivyo, baadaye anasema sasa nitatumia silaha za nuclear: ebo imekuwa hivyo tena.
.
Sasa wewe kwa akili yako huwezi kuona huyu jamaa ameshindwa. au yale malengo yake ya awali yamekwamaa. Mkuu sio lazima uwe uwanja wa vita: ukiunganisha doti, hoja na dondoo mbalimbali kama una akili mzuri katika kuchambua mambo na hasa masuala ya operation za kivita utajua tu nani kazidiwa.

Wakuu wenzio wakuomba na kukushauri kuachana na mambo ya ugomvi wewe HUTAKI na hata kuwasikiliza HUTAKI unang'ang'ania mambo ya kibabe unaposhindwa unawaomba mkae vikakao, wakikataa unatafuta mishale ya sumu na magobole, silaha ambazo mwenzio hana: Wewe si MBABE sasa NUCLEAR wapi na wapi?
Mimi nijjuavyo maagizo hayo ni kuwaweka tayari Ili atakayeingilia Huo mgogoro basi ndio ziwe deployed!
Wala maandalizi ya hizo nuclear sio Kwa ajili ya kuipiga Ukraine Bali nchi yeyote itakayoingilia mgogoro Huo!
So hizo taarifa za kuwa Russia anaandaa nuclear baada ya kushindwa na Ukraine sijui mnazitoa wapi!
 
Putin alipewa forum ya kimataifa kwa viongozi mbalimbali wa dunia kumtembelea na kmshawishi asianzishe vita lakini akaghairi. Ni nini kinachomlainisha leo kama siyo baada ya kukutana na kizingitu huko. Yeye alitaka aangushe serikali ya ukraine kusudi aweke ya kwake; amekwama ile mbaya. Na mambo bado kabisa kwani nchi zote za Ulaya zimeahidi kupeleka silaha za kutosha Ukraine.

Nchi moja haiwezi kutunga sera za nchi nyingine hata kidogo; inaweza kushawishi lakini haiwezi kulazimisha sera. Yeye ataipangiaje Ukraine jinsi ya kuendesha sera zake za mambo ya nje kama siyo ujinga wa kudhani bado ana USSR. ALikuwa na mwanya wa kushawishi, akashindwa. Ushwaishi wake yeye ni wa kutumia mabavu kuweka serikali kama ya kwake ambayo rais wake ni mungu mdogo na ni rais wa maisha. Ushahwishi huo uko belarus tu, nchi nyingine zote zilizokuwa chini ya USSR pale maeneo ya Baltic zilikataa ujinga huo; Ukraine nayo haiutaki, na Georgia nayo haiutaki.

Kudai anataka mazungumzo lakini sera za mambo ya nje za Ukraine lazima ziwe kama anavyotaka yeye ni ndoto ya kitoto tu.
Ni intelligence failures, siku hizi majeshi ni very last option. I believe hii vita Russia angeweza kushinda kijasusi tu.
 
Wewe upo Tanzania unajuaje hajamsikiliza watu wake?
Unafuatilia habari lakini? Aliposhauriwa diplomacy akamquestion kama anapinga decision ya uvamizi jamaa akajibu kwa kubabaika sana then akamwambia nenda kakae mpaka aibu.
 
Aliemshauri hii vita kampeleka vibaya, kwanza hakufikiri angepata upinzani mgumu namna hii, na naona mwisho wake u karibu, kila kukicha anakutana na hali ngumu, financial institutions zake ziko isolated, 4 major banks zimekua disconnected from swift, central bank ya russia haiwez tena ku deploy reserve, masoko yoote ya hisa makampun yoote yamefutwa, Nord stream 2 ishasahaulika, leo ndege zake zoote zimepigwa ban europe space, nchi kibao kwa sasa zinapeleka misaads ya kijeshi ukraine, hata ile speach yake ya atakaeingilia atakiona haina mashiko watu wametoka hadharani wakatoa silaha, uk leo imeenda mbali zaid ikatoa mpaka wanajeshi, sasa anasema eti nuke ikae tayari kuzuia sasa sio kupiga tena ni kuzuia
Putini mwehu tu, hapo kwenye ahadiyake ya kuwachakaza watakao msaidia Ukraine sijui anajiskiaje saizi watu wanavyo peleke misaada waziwazi na hafanyi chochote.
 
Usiongee kishabiki Putin hajashindwa vita ila alishaonya ya kuwa atakae isaidia Ukraine atajuta sasa huyu mtu atishii anamaanisha huyu wanachokosea ulaya ni kutangaza kuwa tumetoa silaha mara wanajeshi sasa Putin anakwenda kufanya unyama mkubwa mno.
Sasa mimi na wewe nani anaongea kishabiki?

Anaenda kufanya unyama mkubwa wapi, kwenye mataifa ya ulaya?
Anaenda kufanya unyama mkubwa mno kwenye aridhi ya Ukraine? Hivi nchi unayotaka kuitawala utaiteketeza kwa nyuklia si utachekwa hadi na watoto wadogo?

Unajua magnitude ya vikwazo alivyowekewa? Uchumi wake unategemea auze gesi ulaya, amepigwa pini, benki zote za Urusi hazitaopareti ulaya na marekani na pesa zilizoko huko zimesizishwa, Urusi ametupwa nje kabisa ya uchumi wa dunia!

Unajua madhara yake, Urusi lazima ashuke kiuchumi, watu wenye akili wametulia pembeni wanapiga hela kwa kuuza silaha Ukraine!

Je, hii vita ilikuwa ni a must go kwa Urusi? Sio kweli, hata kama Ukraine ingejiunga NATO bado isingeweza kuivamia Urusi na kwa hivyo isingekuwa tishio..

Kilichomfanya Putin avamie ni kuvimba kichwa kuliko pitiliza na kudhani kuwa ameshakuwa mbabe sana, kumbe...., KIBURI KINGI MBELE GIZA!

Sasa yeye si ana jeshi lenye nguvu? Sasa siku nne tu unatishia nyuklia kivipi? Au jeshi lake nguvu zake zinategemea nyuklia? Au hiyo nyuklia wenzie hawana? Jibu ni moja tu... amegundua gemu haiko rahisi kama alivyodhani ndiyo maana amekuwa wa kwanza kuomba mazungumzo..

Kuna mengi ya kuongea kuhusu Putin, lakini itoshe tu kusema ni dikteta mjinga, na nchi za magharibi wanatamani aendeleze hii vita maana inaenda kumteketeza, hiyo ni SELF SUICIDE kwa Putin!
Hata kuivamia Ukraine mliita mikwara,now Ukraine inachakaa.Soon itakuwa majivu.

Putin now hachek na mus*nge.
 
Atakamatwa Kama Kuku Timing Zinaendelea Na Atapitia Ya Sadam,Gaddafi
Nilipomsikiliza Joe Biden, moja kwa moja nilijua Putin anaenda kuwekwa mtu kati.

Kitendo cha kukanusha kwamba hawapeleki majeshi, maana yake ni kwamba wanapeleka. Kwenye THE ART OF WAR Sun Tzu anasema the whole affair of war is based on DECEIPTION, pale unapoenda, mdanganye adui kwamba huendi, ili ajisahau ukamminye.

Hawa jamaa Putin wanampiga kisayansi, wanaziga hawako na Ukraine lakini wanaisaidia kisirisiri..

Ujerumani walijisahau jana wakatamka wazi, wakasema " kupeleka kofia ngumu elfu tano pekee haitoshi, sasa wameamua bila kusita, wanapeleka 'base' ya silaha Ukrane"

Aliposema kofia ngumu elfu tano, mimi najua anamaanisha wanajeshi elfu tano... Hao ni kutoka Ujerumani peke yake.
 
Hata kuishambulia Ukraine mlisema ni mikwara tu na amefanya kweli, sidhani kama Russia itakubali kushindwa hii vita wakati ina silaha za maangamizi bora wakose wote, ndio kinachoenda kutokea, waangamizane kisha China iinuke kuwa super power, labda na sisi huku Afrika tutaweza kupiga hatua ya maendeleo kidogo
Mh, hivi kama Ukraine tu imekuwa tatizo hivi anaweza kuangamiza Marekani pamoja na mataifa ya ulaya huyu Putin? I dought it, hata hivyo tuachane na Putin, mimi namuona kama dikteta aliyelewa madaraka.

Hebu nifafanulie China akiwa super power Afrika tunapigaje maendeleo kiuchumi?
 
Watu wa putin wanaoishi tz nimegundua kuwa ni wabishi ,hawaelewi,hawana fact wenyewe wanacho jua ni Russia itashinda tu itashindaje ...? Jibu Lao watalipua nuclear [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] watalipua wapi ...? Na la size gani hayo hawajui
 
Back
Top Bottom