G-Funk
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 2,398
- 5,554
Price ipi wakati akiangusha ICBM anaifuta kabisa Ukraine! Kiherehere mwengine nae akijitokeza atatumiwa zawadi huko huko alipo 😅Sawa. He gonna pay the price.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Price ipi wakati akiangusha ICBM anaifuta kabisa Ukraine! Kiherehere mwengine nae akijitokeza atatumiwa zawadi huko huko alipo 😅Sawa. He gonna pay the price.
Sasa mbona hawaja surrender na kumuachia msala huyo Rais wao?Ukishaona rais wa nchi awaomba raia wasiokuwa na uzoefu wowote wala mafunzo ya kivita washike bunduki (wakati nchi husika ina wanajeshi wenye mafunzo na uweledi wa vita) ujue tayari jeshi hilo la nchi limeshazidiwa nguvu tayari.
Muwe mnashirikisha ubongo kuchambua mtiririko wa mambo
Kwamba Putin ni mwendawazimu aache mazungumzo waliokubaliana kisha aanze uvamizi!Kwani kabla ya vita si kulikuwa na mazungumzo? Si yeye ndiye aliyeacha mazungumzo na kufanya uvamizi?
We jamaa acha kamba, msimamo wa Ukraine ni huu hapa, tena wanasema hao RT wenyeweHivi Mkuu upo dunia ya wapi wewe? Maana waonekana hujui hata habari zinazotrend ulimwenguni.
Rais wa Ukraine alikubali masharti ya Urusi ikiwemo la kuifanya Ukraine kutojiunga na NATO, wakasema wao Ukraine wanataka tu amani (link ya habari hiyo toka chanzo cha habari cha Israel ipo hapo chini).
Halafu wewe baada ya kushiba chapati za mayai kwa maharage ya kukata ya nazi na maziwa, waleta stori kuwa Ukraine kakataa masharti. Unajua vita wewe? Vita vipiganwe kwenye ardhi ya nchi yako? Tena na nchi ambayo ni super powe?
![]()
Hahahahah awatumie hii soseji ya mwendokasi😅😅😅🤣🤣🤣 ENYI WAUKRAINE MSINILILIE MIMI PUTIN BALI WALILIENI MAWAZIRI WENU WALIOPIGA KULA YA MIHEMUKO KUJIUNGA NA NATO
View attachment 2133233
Na sasa baada ya 'kupigwa' kakubali kuwa hatajiunga na NATO?Kwamba Putin ni mwendawazimu aache mazungumzo waliokubaliana kisha aanze uvamizi!
Acha uchochezi wewe Ukraine walikuwa na mkataba kuwa asijiunge na NATO wala kuhifadhi silaha zake, Ukraaine akakiuka mikataba
Atasema na Nuclear tu sasaNa sasa baada ya 'kupigwa' kakubali kuwa hatajiunga na NATO?
Kwa vile wao hawana silaha za nuclear eeh ?Aliwaonya NATO hawakusikia,sasa anawaandalia nyuklia
Kwa hiyo watu wasikilize porojo zako au maelezo ya rais wa Ukraine aliyosema kuwa wapo tayari kutojiunga na NATO (baada ya kupokea kichapo cha mwizi)?
We jamaa bana unatoa ma link ya site za wapi sijui, na kama mazungumzo hata hayajaanza tayari commitment ya Ukraine kutojiunga NATO ishatolewa au ni moja ya mambo yanayoenda kujadiliwa.?Wewe utakuwa mzito sana kuelewa, hebu soma hapa (kama kingereza chapanda lakini)
![]()
Ukraine advisor flags neutral NATO stance
Ukraine wants peace and is ready for talks with Russia, including on neutral status regarding NATO, Ukrainian presidential...www.canberratimes.com.au
Acha uzushi. Ukraine walishupaza shingo kuwa watajiunga NATO
![]()
Ukraine reaffirms desire to join NATO after envoy comments – DW – 02/14/2022
NATO membership remains an absolute priority for Ukraine, a spokesman for Volodymyr Zelenskyy said as Ukraine's UK ambassador backtracked on comments that Kyiv was "flexible" on the issue.www.dw.com
Pia wakatiwa upepo na NATO kuwa Ukraine itapewa fursa hiyo (NATO wakijaribu kumchokonoa Putin)
Ila sasa hivi wamefunzwa na Putin kwa lugha ngumu, wamekubali kutojiunga.
![]()
Ukraine advisor flags neutral NATO stance
Ukraine wants peace and is ready for talks with Russia, including on neutral status regarding NATO, Ukrainian presidential...www.canberratimes.com.au
Acha ujinga wewe mchambuzi uchwara wa madaleKwamba Putin ni mwendawazimu aache mazungumzo waliokubaliana kisha aanze uvamizi!
Acha uchochezi wewe Ukraine walikuwa na mkataba kuwa asijiunge na NATO wala kuhifadhi silaha zake, Ukraaine akakiuka mikataba
Kwahy hyo ICBM anayo yeye peke ake,mwaka 1945 USA ilimufanya nn Mjapan? Halafu leo USA asiwe na huo uwezo,ficha umbumbu wako.Price ipi wakati akiangusha ICBM anaifuta kabisa Ukraine! Kiherehere mwengine nae akijitokeza atatumiwa zawadi huko huko alipo [emoji28]
We kibaraka wa Marekani tulia mvuliwe chupiKwahy hyo ICBM anayo yeye peke ake,mwaka 1945 USA ilimufanya nn Mjapan? Halafu leo USA asiwe na huo uwezo,ficha umbumbu wako.
Subirieni kipigo tuAcha ujinga wewe mchambuzi uchwara wa madale
Pambana na Israel ndipo kuwa ulinzi ni jukumu la raia wote, siyo jeshi tu. Hata Tanzania baada ya kuvamiwa na Amin, JWTZ ilipanda kutoka askari 40,000 hadi kufikia laki moja na nusu. Unadhani waliiongezeka walitoka wapi kama siyo raia tu. Ukali wa jeshi kivita hutegemea uwezo wa makamanda siyo idadi ya wapiganaji.Ukishaona rais wa nchi awaomba raia wasiokuwa na uzoefu wowote wala mafunzo ya kivita washike bunduki (wakati nchi husika ina wanajeshi wenye mafunzo na uweledi wa vita) ujue tayari jeshi hilo la nchi limeshazidiwa nguvu tayari.
Muwe mnashirikisha ubongo kuchambua mtiririko wa mambo
Raia wa ukrain, taiwan, south korea israizaeli wana pitia mafunzo ya jeshi wakiwa wanaenda college, izo uzi, M16 wana zijuaUkishaona rais wa nchi awaomba raia wasiokuwa na uzoefu wowote wala mafunzo ya kivita washike bunduki (wakati nchi husika ina wanajeshi wenye mafunzo na uweledi wa vita) ujue tayari jeshi hilo la nchi limeshazidiwa nguvu tayari.
Muwe mnashirikisha ubongo kuchambua mtiririko wa mambo
MUNGU IBARIKI RUSSIAMungu ibariki Ukraine