Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,399
- 8,629
Wewe ulie tandale kwa mtogole ndo umegundua? [emoji3]hii dunia haiishi maajabu.Ameshindwa Vita kwa vioi??!! Watanzania a heni ushabiki usio na tija...hi ni siku ya nne ya Vita...Russia haijaingiza kwenye Vita hi main force yake...slichofanya ni kutanguliza special forums kwenye light vehicles...mavifsru yake Kama T 72 hajaingia kabisaa vitani...military strategists wa nchi za magharibi bado hazijagundua military strategies za Russia...hawajua Russia anakusudia kufanya Nini...kinachoendelea kwenye BBC, aljazeera, na kadhalika ni propaganda tu kwa sehdmu kubwa