Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

R

Raia wa ukrain, taiwan, south korea israizaeli wana pitia mafunzo ya jeshi wakiwa wanaenda college, izo uzi, M16 wana zijua
Acha uongo, huyu raia wa Ukraine anaejifunza kushika na kutumia bunduki baada ya kuambiwa na rais kufanya hivyo ndio ana mafunzo ya kijeshi? Kama ni hivyo basi kuna shida kubwa ktk mafunzo ya kijeshi ya Ukraine.

Screenshot_20220228-064824_Chrome.jpg
 
Pambana na Israel ndipo kuwa ulinzi ni jukumu la raia wote, siyo jeshi tu. Hata Tanzania baada ya kuvamiwa na Amin, JWTZ ilipanda kutoka askari 40,000 hadi kufikia laki moja na nusu. Unadhani waliiongezeka walitoka wapi kama siyo raia tu. Ukali wa jeshi kivita hutegemea uwezo wa makamanda siyo idadi ya wapiganaji.
Fanya kwanza assignment yako kabla ya kurukia mambo mengine. Lete link (uthibitisho) ya porojo uliyoileta hapa jana kuwa Putin alisema ataiangusha Kyiv ndani ya siku moja tu.
 
Vita vinapiganiwa jirani na Russia. Nani akose Tena. Russia ndio atapoteza zaidi kuliko Ukraine maana Ni majirani. Kwanza Ukraine ndio ataingia Nato na EU baada ya kuona Russia Ni adui yake.
Russia anaweza kukulushia bomu hata hapo Tandale. Hao NATO wanaleta mikwala mbuzi hawawezi kuingia kwenye huo mtanange wa kwenda kupigana na Russia kwani wanafahamu mrusi anaweza kuzifikia kambi zake zote za NATO na kuzichakaza. Nilichoelewa mimi NATO walichosema watanunua siraha na kumpa Ukraine lakini sio wao kuingia mzigoni
 
Inajulikana upande upi ambao ndo unaogopa kupigwa kwao.....mrusi kapigika sana kwake haoni jambo la ajabu....yule boya mmoja japan aligusa tu kambi yake akapeleka nuclear ili asiguswe tena nyumbani
Mkuu haujajibu swali langu, ni hivi hilo bomu la nuclear alifyatua wao hawafii? na kama litawazuru kwanini watumie silaha ya mwisho, ni kwamba wamezidiwa
Ndugu yangu, una moyo sana!

Nimegundua kitu kimoja tangu mgogoro wa Ukraine na Russia.

Watanzania wengi sana uwezo wao wa kuchambua mambo na kujenga hoja ni mdogo tena sana!

Aliyesema mtanzania mpe kichwa cha habari taarifa ya yaliyomo atajazilizia mwenyewe hakukosea.

Unajadili na watu ambao hawafuatilii taarifa za habari. Hawafuatilii wachambuzi wa masuala ya kimataifa wanazungimziaje huu mgogoro. Ni changamoto tupu. Yaani mtu anajibu tu yaliyomo kwenye kichwa chake halafu anaona kapatia na yupo safi tu. Nakuona unawawekea uthibitisho na bado watu wanabisha.

Nikupe heko bado unaendelea kuwaelimisha. Kwa sasa mimi nimeshanawa mikono.
Mkuu sio lazima uone, ushuhudie ama uwepo sehemu ya tukio ndio unaweza kuchambua mstakabali mzima/wote wa jambo husika. Mfano: sisi sote hatupo uwanja wa Vita. Lakini mgogoro huu sisi sote tunaufahamu chimbuko lake na ulipoanza: Kiongozi wa Urusi alimwona na kumtaka Rais wa Ukrein nchi yake ni budi watii amri na maagizo yake kitu ambacho aliona sio sahihi nchi nyingine imwingilie katika uendeshaji wa nchi yake na aka kataa ushauri wake. Baada ya kukataa ushauri/maelekezo akamwabia nitakupiga kipigo cha mbwa koko, kweli akaingiza jeshi akitegemea ndani ya siku mbili tatu ataiteka nchi; haikuwa hivyo, baadaye anasema sasa nitatumia silaha za nuclear: ebo imekuwa hivyo tena.
.
Sasa wewe kwa akili yako huwezi kuona huyu jamaa ameshindwa. au yale malengo yake ya awali yamekwamaa. Mkuu sio lazima uwe uwanja wa vita: ukiunganisha doti, hoja na dondoo mbalimbali kama una akili mzuri katika kuchambua mambo na hasa masuala ya operation za kivita utajua tu nani kazidiwa.

Wakuu wenzio wakuomba na kukushauri kuachana na mambo ya ugomvi wewe HUTAKI na hata kuwasikiliza HUTAKI unang'ang'ania mambo ya kibabe unaposhindwa unawaomba mkae vikakao, wakikataa unatafuta mishale ya sumu na magobole, silaha ambazo mwenzio hana: Wewe si MBABE sasa NUCLEAR wapi na wapi?
 
Mkuu haujajibu swali langu, ni hivi hilo bomu la nuclear alifyatua wao hawafii? na kama litawazuru kwanini watumie silaha ya mwisho, ni kwamba wamezidiwa

Mkuu sio lazima uone, ushuhudie ama uwepo sehemu ya tukio ndio unaweza kuchambua mstakabali mzima/wote wa jambo husika. Mfano: sisi sote hatupo uwanja wa Vita. Lakini mgogoro huu sisi sote tunaufahamu chimbuko lake na ulipoanza: Kiongozi wa Urusi alimwona na kumtaka Rais wa Ukrein nchi yake ni budi watii amri na maagizo yake kitu ambacho aliona sio sahihi nchi nyingine imwingilie katika uendeshaji wa nchi yake na aka kataa ushauri wake. Baada ya kukataa ushauri/maelekezo akamwabia nitakupiga kipigo cha mbwa koko, kweli akaingiza jeshi akitegemea ndani ya siku mbili tatu ataiteka nchi; haikuwa hivyo, baadaye anasema sasa nitatumia silaha za nuclear: ebo imekuwa hivyo tena.
.
Sasa wewe kwa akili yako huwezi kuona huyu jamaa ameshindwa. au yale malengo yake ya awali yamekwamaa. Mkuu sio lazima uwe uwanja wa vita: ukiunganisha doti, hoja na dondoo mbalimbali kama una akili mzuri katika kuchambua mambo na hasa masuala ya operation za kivita utajua tu nani kazidiwa.

Wakuu wenzio wakuomba na kukushauri kuachana na mambo ya ugomvi wewe HUTAKI na hata kuwasikiliza HUTAKI unang'ang'ania mambo ya kibabe unaposhindwa unawaomba mkae vikakao, wakikataa unatafuta mishale ya sumu na magobole, silaha ambazo mwenzio hana: Wewe si MBABE sasa NUCLEAR wapi na wapi?
Ataitumia kwa wengine kwani kasema anaitumia ukraine?
 
Mkuu kwa mantiki hiyo, kama ulivyoelezea inamaana hao raia wa Urusi haitawazulu hiyo nuclear na hatimaye nao kuokotwa kama kumbikumbi? Ebu fafanua ili tuijue elimu yako.
Ndiyo maana ya vita warusi wapi tayari kupigania uhuru wao na heshima ya tsifa lao kwa gharama yoyote ,sasa nikupe siri tu russia nanazo siraha za hatari za kibiolojia za magonjwa ya kuua binadabu kuliko kovidi ukiona USA wana gwaya ujue wanajua muziki
 
Watamtwanga tuu washamuona ana maujiko yasiyomstahili watambonda kweli kweli mida si mrefu wao kwa wao watavaana sababu ya sanctions.
Marekani anaogopa piga nikupige ya siraha za NUCLEAR + SUMU + CHEMICAL +KIBAIOLOGI hizi siraha zitatumika vita vikianza kati ya RUSSIA NA USA +NATO
 
Kazidiwa tactics za kivita mbwa huyo Putin anatishia nyau nani?

Muda wake unahesabika muda wowote majeshi ya Russia yatamuua magenerali wengi wamegoma kushambulia Ukraine baada ya vikwazo vilivyoathiri akaunti zao nje na biashara zao nje

Putin muda wowote magenerali wa jeshi la Russia wanamchinja mbwa putin
Nonsense
 
Angemsikiliza Chief Spy wake wasingefika hapa ila alitanguliza ubabe, huwezi kushinda battle kama wapiganaji wako hawana ila cause of the war yaani wanapigana tuu sababu ni amri, hawa wa Ukraine sababu wanayo lengo ni kudefend na mkong'oto tuu kaupata.

Tunawaombea amani.
Wewe upo Tanzania unajuaje hajamsikiliza watu wake?
 
Kwa nini mnamuwekea maneno mdomoni Putin hamna sehemu kwenye speech yake ametaja neno nyuklia.
 
Putin hana control ya jeshi tena
Hana control kabisa
Magenerali wa Jeshi Russia hawataki vita
Amri anazotoa Haziwi respected na magenerali vita Russia wala hawana mpango wa kumsikiliza

Putin the Hague inamsubiri pumbavu kabisa
Nonsense
 
Vifaru vya kisasa vinatumia nuclear power.
(Nucler powerd tanks)

Hivi unavyoviona kwny Hii Vita ya Ukraine Ni masalia ya vifaa vya ww2.

Mizigo mipya hata hawajaigusa[emoji4]
Kwamba hao walio pelekwa frontline ni chambo?
 
Back
Top Bottom