Theodor herzl
Member
- Nov 10, 2021
- 95
- 225
Mbona unafurah vita ndugu? Jinga kabisa wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unafurah vita ndugu? Jinga kabisa wewe.
Mungu aepushie mbali manake madhara yake ni makubwaThe worst hayo madude mtu anaweza kuyatumia katika condition ambayo anaona hana chochote cha kupoteza.
MTOTO JEURI DAWA YAKE KIPIGOMbona unafurah vita ndugu? Jinga kabisa wewe.
WANAMUUZI BADALA KUA POLOGISE WANAMCHANGANYAHuyu mzee naona kichaa kimempanda sasa!
🤣🤣🤣 ENYI WAUKRAINE MSINILILIE MIMI PUTIN BALI WALILIENI MAWAZIRI WENU WALIOPIGA KULA YA MIHEMUKO KUJIUNGA NA NATO
View attachment 2133233
Hata kuishambulia Ukraine mlisema ni mikwara tu na amefanya kweli, sidhani kama Russia itakubali kushindwa hii vita wakati ina silaha za maangamizi bora wakose wote, ndio kinachoenda kutokea, waangamizane kisha China iinuke kuwa super power, labda na sisi huku Afrika tutaweza kupiga hatua ya maendeleo kidogoNdugu yangu Mungu ni mwema sana, hii taarifa maana yake Putin anashindwa vita Ukraine! Kweli ukijipandisha utashushwa. Na hiyo nuclear ni mkwara tu, mkwara mbuzi baada ya kuona mziki ni mnene.
Kweli putin majigambo tu, siku nne tu ushakimbilia polisi, eti Nuclear my foot!
Wewe unaongelea taarifa ya asubuhi. Huyo comedian kaufyata na anaenda Belarus kwa mshirika wa Russia.
Hata kuishambulia ukraine mlisema ni mikwara tu na amefanya kweli, sidhani kama Russia itakubali kushindwa hii vita wakati ina silaha za maangamizi bora wakose wote, ndio kinachoenda kutokea, waangamizane kisha China iinuke kuwa super power, labda na sisi huku Afrika tutaweza kupiga hatua ya maendeleo kidogo
Haya ndio matatizo yakufatilia hizi habari Millard Ayo Sasa jamaa kakubali kwendaAmekataa.iwe sehemu nyingine sio Berarusi.
Mimi nasubiri wamarekani/wayahudi weusi wanatamko gani kuhusu hili dude
Ameshapaniki baada ya nchi za Magharibi kujua mbinu zake na tegemeo lake ndo hizo nyuklia, ambazo mataifa makubwa ya magharibi wanazoView attachment 2133223
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameamuru jeshi la Urusi kuweka vikosi vyake vya nyuklia katika "tahadhari maalum" - kiwango cha juu cha tahadhari kwa Vikosi vya Kimkakati vya Kombora vya Urusi.
Akizungumza na maafisa wakuu wa kijeshi, akiwemo Waziri wa Ulinzi Sergei Shoigu, alisema mataifa ya Magharibi yamechukua "hatua zisizo za kirafiki" kwa Urusi na kuweka "vikwazo visivyo halali".
Rais wa Urusi Vladmir Putin ameamuru usimamizi wa jeshi kuweka kikosi maalum cha nyuklia katika hali "maalum" ya tahadhari.
Hii ni baada ya kile ambacho Moscow inakiita "taarifa za uchokozi" za nchi za muungano wa Nato.
Source:BBC
Mimi nasubiri wamarekani/wayahudi weusi wanatamko gani kuhusu hili dude
Tunasema Putin alete majeshi KyivMkuu,,, kwani wamarekani weusi wa tandale wanasemaje??
haya ndo matatizo yakufatilia izi habari millardayo Sasa jamaa kakubali kwenda
Hata warusi wa mbagala wanamdharau sasa.Ndugu yangu Mungu ni mwema sana, hii taarifa maana yake Putin anashindwa vita Ukraine! Kweli ukijipandisha utashushwa. Na hiyo nuclear ni mkwara tu, mkwara mbuzi baada ya kuona mziki ni mnene.
Kweli putin majigambo tu, siku nne tu ushakimbilia polisi, eti Nuclear my foot!
Hivi unajua madhara ya nuclear!!??Putin muoga ameona mambo magumu kageukia nuclear sasa nato nao wakiweka tayar ma nuclear yao russia si itaisha yote?! vita ni mbaya sana watakufa watu wengi wasio na hatia.