VMWare-Oracle
JF-Expert Member
- Dec 19, 2021
- 667
- 917
Kwani RT wanasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kama nibuoga.Dalili za uoga, ameshindwa Vita ndogo anakimbilia nuclear. Nimemdharau Putin. Anaiangamiza Urusi kwa mikono yake.
Wako Kiev kitambo mbonaYule millard watafuta habari wake sijui wanatoa wap habari.
Wewe una taarifa za jana!! Hebu jaribu kufuatilia live updates.. Ukraine baada ya kusikia masuala ya nuclear kakubali kukutanaAcha uongo, imekubalika wakutane mpakani wote kwenye mazungumzo. Amegoma kwenda Belarus Kama proposal ya Russia ilivyotaka. Nimekubali Sana Rais wa Ukraines kwa uzalendo wake , hakukimbia nchi Bali ameenda uwanja wa Vita na kukataa proposal ya Putin. Mpaka kupelekea mpakani Yani neutral ground. Yule jamaa hamuogopi Putin.
Sio kweli. Nagasaki ilipigwa peke yake. Ni calculated inategemea sqm ngapiHv unajua madhara ya nuclear!!??
unaangamiza ulimwengu wote
Huyu Putin mpuuzi tu....na safari hii kayakanyaga....Ana kiporo hakijaisha, Ameacha vita ameenda kuzungumza na Ukraine bado hajamalizana nao analeta mambo ya nuclear.
Hata kuivamia Ukraine mliita mikwara,now Ukraine inachakaa.Soon itakuwa majivu.Ndugu yangu Mungu ni mwema sana, hii taarifa maana yake Putin anashindwa vita Ukraine! Kweli ukijipandisha utashushwa. Na hiyo nuclear ni mkwara tu, mkwara mbuzi baada ya kuona mziki ni mnene.
Kweli putin majigambo tu, siku nne tu ushakimbilia polisi, eti Nuclear my foot!
Anapigana na Dunia akisapotiwa na warussia wa mtoni kijichi. Hata wananchi wake wanakamatwa hovyo tu kupinga anavyomvamia Ukraine.Huyu Putin mpuuzi tu....na safari hii kayakanyaga....
Kila chenye mwanzo kina mwisho....
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Unamjua Putin kuliko warusi[emoji2]Kazidiwa tactics za kivita mbwa huyo Putin anatishia nyau nani?
Muda wake unahesabika muda wowote majeshi ya Russia yatamuua magenerali wengi wamegoma kushambulia Ukraine baada ya vikwazo vilivyoathiri akaunti zao nje na biashara zao nje
Putin muda wowote magenerali wa jeshi la Russia wanamchinja mbwa putin
Putin muoga ameona mambo magumu kageukia nuclear sasa nato nao wakiweka tayar ma nuclear yao russia si itaisha yote?! vita ni mbaya sana watakufa watu wengi wasio na hatia.
Usiongee kishabiki Putin hajashindwa vita ila alishaonya ya kuwa atakae isaidia Ukraine atajuta sasa huyu mtu atishii anamaanisha huyu wanachokosea ulaya ni kutangaza kuwa tumetoa silaha mara wanajeshi sasa Putin anakwenda kufanya unyama mkubwa mno.Ndugu yangu Mungu ni mwema sana, hii taarifa maana yake Putin anashindwa vita Ukraine! Kweli ukijipandisha utashushwa. Na hiyo nuclear ni mkwara tu, mkwara mbuzi baada ya kuona mziki ni mnene.
Kweli putin majigambo tu, siku nne tu ushakimbilia polisi, eti Nuclear my foot!
Hv unajua madhara ya nuclear!!??
unaangamiza ulimwengu wote
Hivi huu uongo wa dhahiri huwa unakusaidia nini?Wewe una taarifa za jana!! Hebu jaribu kufuatilia live updates.. Ukraine baada ya kusikia masuala ya nuclear kakubali kukutana
Angemsikiliza Chief Spy wake wasingefika hapa ila alitanguliza ubabe, huwezi kushinda battle kama wapiganaji wako hawana ila cause of the war yaani wanapigana tuu sababu ni amri, hawa wa Ukraine sababu wanayo lengo ni kudefend na mkong'oto tuu kaupata.Aliemshauri hii vita kampeleka vibaya, kwanza hakufikiri angepata upinzani mgumu namna hii, na naona mwisho wake u karibu, kila kukicha anakutana na hali ngumu, financial institutions zake ziko isolated, 4 major banks zimekua disconnected from swift, central bank ya russia haiwez tena ku deploy reserve, masoko yoote ya hisa makampun yoote yamefutwa, Nord stream 2 ishasahaulika, leo ndege zake zoote zimepigwa ban europe space, nchi kibao kwa sasa zinapeleka misaads ya kijeshi ukraine, hata ile speach yake ya atakaeingilia atakiona haina mashiko watu wametoka hadharani wakatoa silaha, uk leo imeenda mbali zaid ikatoa mpaka wanajeshi, sasa anasema eti nuke ikae tayari kuzuia sasa sio kupiga tena ni kuzuia
Dunia inasubiri na Raia wake pia wanamsubiri afanye huo unyama. Mtu mmoja hawezi amua kuwa sasa mwisho umefika. Hii ni DUNIA.Usiongee kishabiki Putin hajashindwa vita ila alishaonya ya kuwa atakae isaidia Ukraine atajuta sasa huyu mtu atishii anamaanisha huyu wanachokosea ulaya ni kutangaza kuwa tumetoa silaha mara wanajeshi sasa Putin anakwenda kufanya unyama mkubwa mno.