Sirdirashy
JF-Expert Member
- Jan 26, 2014
- 3,243
- 3,047
Ila huyu jamaa wamuangalie sana mara analipua kweli na Nuclear weapons Hana akili kabisa Wasije amka yakabaki mabaki Tu Huo mji mkuu Kiev
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani russia awajafa hata milioni 4 unasema mwisho wake wewe ni kichekesho cha mwaka ,vita kamili vikizuka ujue jeshi la russia litakuwa na wanajeshi mil 6 hadi mil12Na sasa ameshapaniki huyu fala tegrmeo lake la mwisho ni hizo nyuklia
Yeye ndiyo amejichanganya. Alidhani kuingia Kiev ni kama kumsukuma mlevi matokeo yake dogo ameamua kukaza mpaka kielewekeWANAMUUZI BADALA KUA POLOGISE WANAMCHANGANYA
Wewe ujui kitu sasa hivi meli na submarine za russia za nuclear tayari zime jiandaa kusambaa baharini dunia nzima zikiwa na mabomu ya nuclear mapya ya kisasa yenye nguvu kuliko ya marekaniKwani hao wenzake wakina NATO na Marekani hawana hizo Nuclear? Na kama hujui Marekani/NATO wana Nuclear hapo jirani ya Russia, Poland.
Ata uko kwa mtogole mtakufa TU[emoji4]Putin muoga ameona mambo magumu kageukia nuclear sasa nato nao wakiweka tayar ma nuclear yao russia si itaisha yote?! vita ni mbaya sana watakufa watu wengi wasio na hatia.
Ikipigwa nyuklia iyo Ukraine, urusi na NATO yote kunageuka kua vumbi[emoji4]Vita vinapiganiwa jirani na Russia. Nani akose Tena. Russia ndio atapoteza zaidi kuliko Ukraine maana Ni majirani. Kwanza Ukraine ndio ataingia Nato na EU baada ya kuona Russia Ni adui yake.
View attachment 2133223
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameamuru jeshi la Urusi kuweka vikosi vyake vya nyuklia katika "tahadhari maalum" - kiwango cha juu cha tahadhari kwa Vikosi vya Kimkakati vya Kombora vya Urusi.
Akizungumza na maafisa wakuu wa kijeshi, akiwemo Waziri wa Ulinzi Sergei Shoigu, alisema mataifa ya Magharibi yamechukua "hatua zisizo za kirafiki" kwa Urusi na kuweka "vikwazo visivyo halali".
Rais wa Urusi Vladmir Putin ameamuru usimamizi wa jeshi kuweka kikosi maalum cha nyuklia katika hali "maalum" ya tahadhari.
Hii ni baada ya kile ambacho Moscow inakiita "taarifa za uchokozi" za nchi za muungano wa Nato.
Source:BBC
Wamarekan Hawapendi VitaPutin ni kiongozi fala sana kuwah kutokea ,cha kwanza ni kiongozi ambaye anapenda vita na hajali maisha ya wananchi wake kiuchumi
Watu ni wajinga vita kamili ikitokea mjue NATO + USA +SOUTH KOREA VS RUSSIAN +CHINA +NORTH KOREA hiyo ndiyo sura ya vita itakavyo kuwaHuyu Putin mpuuzi tu....na safari hii kayakanyaga....
Kila chenye mwanzo kina mwisho....
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Wapambane tu na hali zao maana hata sisi tuna pambana na hali zetu AfrikaView attachment 2133223
Rais wa Urusi Vladimir Putin ameamuru jeshi la Urusi kuweka vikosi vyake vya nyuklia katika "tahadhari maalum" - kiwango cha juu cha tahadhari kwa Vikosi vya Kimkakati vya Kombora vya Urusi.
Akizungumza na maafisa wakuu wa kijeshi, akiwemo Waziri wa Ulinzi Sergei Shoigu, alisema mataifa ya Magharibi yamechukua "hatua zisizo za kirafiki" kwa Urusi na kuweka "vikwazo visivyo halali".
Rais wa Urusi Vladmir Putin ameamuru usimamizi wa jeshi kuweka kikosi maalum cha nyuklia katika hali "maalum" ya tahadhari.
Hii ni baada ya kile ambacho Moscow inakiita "taarifa za uchokozi" za nchi za muungano wa Nato.
Source:BBC
Kinachofanyika Ni maangamizi ya tukose wote.Lazima ategemee nuclear si yupo pekeyake dhidi ya wengi......
Tunasema Putin alete majeshi Kyiv
Putin mwenyewe myahudi.
Walipuane Basi ,zitakazoumia Ni nyasiKwani hao wenzake wakina NATO na Marekani hawana hizo Nuclear? Na kama hujui Marekani/NATO wana Nuclear hapo jirani ya Russia, Poland.