thuwainize
Senior Member
- Jan 29, 2022
- 178
- 382
Zee limezeeka vibaya lile na lina roho mbaya sasa limeingiwa na mapepo ya tukose wote kama yale ya enzi ya issa bin Mariam yalivyomuingia yule Herode akawaua watoto wote akimsaka nabii Issa.Huyu Putin mpuuzi tu....na safari hii kayakanyaga....
Kila chenye mwanzo kina mwisho....
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app