Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Rais Putin aamuru kikosi maalum cha Nyuklia kuwa katika tahadhari maalum "kiwango cha juu cha tahadhari"

Huyu Putin mpuuzi tu....na safari hii kayakanyaga....
Kila chenye mwanzo kina mwisho....

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Zee limezeeka vibaya lile na lina roho mbaya sasa limeingiwa na mapepo ya tukose wote kama yale ya enzi ya issa bin Mariam yalivyomuingia yule Herode akawaua watoto wote akimsaka nabii Issa.
 
Hata kuishambulia ukraine mlisema ni mikwara tu na amefanya kweli, sidhani kama Russia itakubali kushindwa hii vita wakati ina silaha za maangamizi bora wakose wote, ndio kinachoenda kutokea, waangamizane kisha China iinuke kuwa super power, labda na sisi huku Afrika tutaweza kupiga hatua ya maendeleo kidogo
Mungu fundi...
 
Usiongee kishabiki Putin hajashindwa vita ila alishaonya ya kuwa atakae isaidia Ukraine atajuta sasa huyu mtu atishii anamaanisha huyu wanachokosea ulaya ni kutangaza kuwa tumetoa silaha mara wanajeshi sasa Putin anakwenda kufanya unyama mkubwa mno.
Kwamba yeye yuko mars au?? Au mnadhani nyuklia ni gobole?
 
Hata kuishambulia ukraine mlisema ni mikwara tu na amefanya kweli, sidhani kama Russia itakubali kushindwa hii vita wakati ina silaha za maangamizi bora wakose wote, ndio kinachoenda kutokea, waangamizane kisha China iinuke kuwa super power, labda na sisi huku Afrika tutaweza kupiga hatua ya maendeleo kidogo

Elimu yako mkuu
 
Ameshapaniki baada ya nchi za magharibi kujua mbinu zake ,na tegemeo lake ndo hizo nyuklia,ambazo mataifa makubwa ya magharibi wanazo
Mkuu mimi nilikuwa namwangalia Mrusi kwa jicho la tatu: Urusi ambayo uchumi wake ni kuuza gesi, mafuta, n.k kwa NATO ili uishi, leo unawaletea za kuleta, huo ni utoto. Haya sasa, hawataki utumie dola zao, benki ndio umefungiwa, gesi yako hawanunui tena n.k. Ndani ya siku 3 unawaza kutumia silaha za nuclear kwa nchi ndogo kama hiyo, aibu kubwa. CHUTAMA TU MKUU
 
Siku ikigeuka kuwa vita ya Nuclear hakuna kiumbe kitaexist duniani.
Mkuu unataka kuniaminisha kuwa hata huyo atakae kwenda lufyatua hilo bomu la nuclear atakufa hapohapo pamoja wenzake nchi mzima? kama ni hivyo basi hao Warusi ni mazombe.
 
Ndugu yangu Mungu ni mwema sana, hii taarifa maana yake Putin anashindwa vita Ukraine! Kweli ukijipandisha utashushwa. Na hiyo nuclear ni mkwara tu, mkwara mbuzi baada ya kuona mziki ni mnene.

Kweli putin majigambo tu, siku nne tu ushakimbilia polisi, eti Nuclear my foot!
Atakamatwa Kama Kuku Timing Zinaendelea Na Atapitia Ya Sadam,Gaddafi
 
Inaonesha mrusi amechemsha alifikiri hii ni kazi ya siku mbili tu kumbe mambo ni magumu, sasa anatishia ma nuklia . nimesha mzarau sana huyu mrusi.
Eneo Gani Ambalo Limemfanya Atumie Nguvu Kubwa
 
Back
Top Bottom