Wanaenda kwanza Yemen kwa HouthiVita na Myahudi si mchezo mchezo lazima utake kujua iwapo upo kamili kamili kukabiliana nao
Wayahudi wakimalizana na Hezbollah, watakuja kumalizana na Iran baba mzazi wa magaidi
Wayahudi wataicheza ngoma hiyo mfano wa kiama, kama hujawi ona sterling akiuwawa, mwangalie Iran,
Ila ni vema Mungu aamuru ugonvi kabla haujatokea
Hasira ya Myahudi dhidi ya baba mzazi wa magaidi haitakuwa poa