Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

Vita na Myahudi si mchezo mchezo lazima utake kujua iwapo upo kamili kamili kukabiliana nao

Wayahudi wakimalizana na Hezbollah, watakuja kumalizana na Iran baba mzazi wa magaidi

Wayahudi wataicheza ngoma hiyo mfano wa kiama, kama hujawi ona sterling akiuwawa, mwangalie Iran,

Ila ni vema Mungu aamuru ugonvi kabla haujatokea

Hasira ya Myahudi dhidi ya baba mzazi wa magaidi haitakuwa poa
Wanaenda kwanza Yemen kwa Houthi
 
Sasa kama Urusi ana mitambo hiyo kwa nini anasumbuana na Ukraine
Urusi akihamua anamaliza vita mapema tu anachofanya anatia hasara Marekani na Nato anarefusha vita anajua watachoka kumsadia Ukraine, Marekani wameishasema hawatoi pesa tena🤣
 
Iran imeshambulia Israeli, mara mbili, na shambulio kubwa zaidi la ndege isiyo na rubani katika historia na shambulio kubwa zaidi la kombora la balestiki katika historia! Israel haijajibu! Tel Aviv inajisalimisha kwa Tehran! Iran yashinda Vita!!
.
Usianze kushangilia wakati mapambano yanaendelea....tusubiri tuone Israel italipiza vipi kisasi.
 
⚡️Hezbollah: Saa 8:05 Usiku Alhamisi, Oktoba 10, 2024, ililenga kikosi cha adui cha Israeli kilipojaribu kwa mara ya nne kuwaokoa watu waliojeruhiwa kwenye gari lililokuwa likilengwa katika eneo la Ras al-Naqoura kwa msururu wa roketi.

Mara ya NNE leo wanaweza kuwa wajinga kiasi gani?!😂
 
Back
Top Bottom