Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

Rais Putin amekubali kuuza Su-35 kwa Iran!

Wanaukumbi.

Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!

kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.

View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Putin ni utopolo kabisa. Anahangaika na Ukraine mwaka wa pili sasa
 
⚡️BREAKING: Hezbollah issues EVACUATION orders and WARNINGS for Israeli settlers until further notice

“The enemy Israeli army is using the homes of settlers in some settlements in northern occupied Palestine as locations to gather its officers and soldiers. Likewise, its military bases that are managing the aggression against Lebanon are located within populated areas inside the major occupied cities, such as Haifa and Tiberius, and others. These are legitimate targets for the Islamic Resistance’s rocket and air forces.

Thus, the Islamic Resistance warns settlers to avoid being near these military gatherings to preserve their lives until further notice.”
 
Putin ni utopolo kabisa. Anahangaika na Ukraine mwaka wa pili sasa
Vipi Israel leo mwaka umekatika yupo Gaza, anahangaika tu pamoja na kupewa kila msaada na Marekani na Ulaya hajui mateka waliopo Gaza yenyewe inazidiwa ukubwa na Kigamboni.
 
Hao marubani wakirudi wote wanauliwa na Myahudi.
Tena ukute 90% ya hao marubani ni MOSSAD
Wanaukumbi.

Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!

kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.

View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

hizo ambazo kule ukraine zimefanywa screpa,
 
hizo ambazo kule ukraine zimefanywa screpa,
Russian Su-30SM and Su-35S fighters were used for air superiority missions during the war. At least seven air-to-air victories were reported over Ukrainian fighters and one over a Ukrainian Naval Aviation Mil Mi-14.
 
Nobel Peace Prize Winner Toshiyuki Mimaki:

“I thought the prize would go to those working hard in Gaza.

In Gaza, bleeding children are being held by their parents. It’s like Japan 80 years ago."

36,000 tons of explosives were dropped on Hiroshima/Nagasaki

82,000 tons have been dropped on Gaza
 
🛑| 🇮🇷🇱🇧 Spika wa Bunge la Iran Qalibaf anamaliza safari yake ya Beirut na anatarajiwa kuelekea Geneva.

• Wakati wa mkutano na waandishi wa habari, Qalibaf anasema alifanya mikutano na Waziri Mkuu wa Lebanon na mwenzake Nabih Berri pamoja na mkutano wa kina na viongozi wa makundi ya kisiasa, wapiganaji na wawakilishi wa kisiasa.

• Qalibaf aliwasilisha ujumbe kutoka kwa Imam Khamenei na kushughulikia matatizo ya waliojeruhiwa na zaidi ya watu milioni 1 waliokimbia makazi yao.

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iko tayari kuanzisha njia ya anga kuelekea Beirut ili misaada madhubuti na sahihi itolewe, chini ya usimamizi wa serikali ya Lebanon, ili kuwasaidia watu walioathiriwa na milipuko ya mabomu.

• Kuhusu masuala ya kisiasa, uamuzi wowote utakaofanywa na wananchi, serikali na upinzani wa Lebanon, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itauunga mkono.

Israel, alipiga marufuku ndege yeyote isutue Lebanon. Spika wa Bunge la Iran ameenda Lebanon.
 
Hizo propaganda za kishoga leo mwaka mzima Hamas kawashinda😀

Gaza yenyewe Kigamboni kubwa pamoja na kupewa misaada na Marekani na Ulaya .
Mh. Ritz, hongera Kwa kuwatetea Hamas. Ni kweli Hamas imeshinda ktk vita hizi? Mbona miji Yao imebomolewa Hivyo? Ukanda wa Gaza unateketea ndugu na wanaoteseka ni wakina mama na watoto. Tusishabikie vita bali tuombe hivi vita huko mashariki ya kati viishe ili Dunia iwe mahali salama ya kuishi.
 
Mh. Ritz, hongera Kwa kuwatetea Hamas. Ni kweli Hamas imeshinda ktk vita hizi? Mbona miji Yao imebomolewa Hivyo? Ukanda wa Gaza unateketea ndugu na wanaoteseka ni wakina mama na watoto. Tusishabikie vita bali tuombe hivi vita huko mashariki ya kati viishe ili Dunia iwe mahali salama ya kuishi.
Wewe punguani kweli unaongea unafiki kujifanya una uchungu wakati mabwana zako Israel wanawau watoto wa Gaza ulikuwa unashangilia leo mabwana zako wanapewa haki yao unakuja maneno ya kinafikai hongera wape Mahakama ya Kimataifa kwa kutaa hati kukwamatwa magaidi.

Sikiliza hii…



View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1859854073975144829?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
 
Wewe punguani kweli unaongea unafiki kujifanya una uchungu wakati mabwana zako Israel wanawau watoto wa Gaza ulikuwa unashangilia leo mabwana zako wanapewa haki yao unakuja maneno ya kinafikai hongera wape Mahakama ya Kimataifa kwa kutaa hati kukwamatwa magaidi.

Sikiliza hii…



View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1859854073975144829?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Nashukuru Kwa kuniita Hivyo, lakini Hamas ndo wasababishi wa vita Hivyo. Ila kumbuka hao Wafilisti Wana kiburi ingawa wanaoumia ni watoto na akina mama.
 
Nashukuru Kwa kuniita Hivyo, lakini Hamas ndo wasababishi wa vita Hivyo. Ila kumbuka hao Wafilisti Wana kiburi ingawa wanaoumia ni watoto na akina mama.
Hujui lolote kuhusu Israel na Palestina unasukumwa ushabiki mandazi mapunagi wengi JF wanasema eti Hamas ndiyo wamenza unajua kama toka 1948 Waisrael walivamia maeneo ya Palestina unajua mpaka sasa hivi Israel wameishawauwa Wapelestina zaidi ya laki 2 achana na Oct 7.
 
Back
Top Bottom