Wanaenda kwanza Yemen kwa HouthiVita na Myahudi si mchezo mchezo lazima utake kujua iwapo upo kamili kamili kukabiliana nao
Wayahudi wakimalizana na Hezbollah, watakuja kumalizana na Iran baba mzazi wa magaidi
Wayahudi wataicheza ngoma hiyo mfano wa kiama, kama hujawi ona sterling akiuwawa, mwangalie Iran,
Ila ni vema Mungu aamuru ugonvi kabla haujatokea
Hasira ya Myahudi dhidi ya baba mzazi wa magaidi haitakuwa poa
Urusi akihamua anamaliza vita mapema tu anachofanya anatia hasara Marekani na Nato anarefusha vita anajua watachoka kumsadia Ukraine, Marekani wameishasema hawatoi pesa tena🤣Sasa kama Urusi ana mitambo hiyo kwa nini anasumbuana na Ukraine
.Usikute wamepeana bure hiyo ya kusema kuuziana ni kutufanya watoto tu.
.Iran imeshambulia Israeli, mara mbili, na shambulio kubwa zaidi la ndege isiyo na rubani katika historia na shambulio kubwa zaidi la kombora la balestiki katika historia! Israel haijajibu! Tel Aviv inajisalimisha kwa Tehran! Iran yashinda Vita!!
.
Usianze kushangilia wakati mapambano yanaendelea....tusubiri tuone Israel italipiza vipi kisasi.
Mbona hii toka mwaka jana hizo ndege ziko Iran, juzi kati kwenye mzozo wa Iran na Israel ,marubani wa Russia walienda Iran, kama Israel ataleta ndege zake kupiga Iran, rubani wa Russia watajibu mapigo kwa Israel. Wapo hapo hapo Iran stand by.