Putin ni utopolo kabisa. Anahangaika na Ukraine mwaka wa pili sasaWanaukumbi.
Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!
kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.
View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Vipi Israel leo mwaka umekatika yupo Gaza, anahangaika tu pamoja na kupewa kila msaada na Marekani na Ulaya hajui mateka waliopo Gaza yenyewe inazidiwa ukubwa na Kigamboni.Putin ni utopolo kabisa. Anahangaika na Ukraine mwaka wa pili sasa
Hao marubani wakirudi wote wanauliwa na Myahudi.
Tena ukute 90% ya hao marubani ni MOSSAD
hizo ambazo kule ukraine zimefanywa screpa,Wanaukumbi.
Rais Putin amekubali kuiuzia Iran Su-35s! Marubani 40x wa Iran wanaelekea Urusi kuanza mazoezi ya ndege za kivita za hali ya juu!! Iran inazidi kuwa nchi yenye nguvu kikanda!!
kuhusu uuzaji wa ndege za kivita aina ya Su-35 kutoka Urusi hadi Iran, pamoja na mafunzo ya marubani wa Iran nchini Urusi, zinaonyesha uhusiano wa kijeshi unaozidi kuimarika kati ya mataifa hayo mawili.
View: https://x.com/captcoronado/status/1843273825686884486?s=12&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Putin ni utopolo kabisa. Anahangaika na Ukraine mwaka wa pili sasa
Russian Su-30SM and Su-35S fighters were used for air superiority missions during the war. At least seven air-to-air victories were reported over Ukrainian fighters and one over a Ukrainian Naval Aviation Mil Mi-14.hizo ambazo kule ukraine zimefanywa screpa,
Hahahah..... Tusubiri tuone.... Muda ni hakimu mzuri...Sio kwa kipindi hiki ambacho Mrusi yuko nyuma ya mu Iran.
Ngoja tuone huyo zayuni atakomaa vipi maana sahizi anapokea kipigo ni kila kona
Mh. Ritz, hongera Kwa kuwatetea Hamas. Ni kweli Hamas imeshinda ktk vita hizi? Mbona miji Yao imebomolewa Hivyo? Ukanda wa Gaza unateketea ndugu na wanaoteseka ni wakina mama na watoto. Tusishabikie vita bali tuombe hivi vita huko mashariki ya kati viishe ili Dunia iwe mahali salama ya kuishi.Hizo propaganda za kishoga leo mwaka mzima Hamas kawashinda😀
Gaza yenyewe Kigamboni kubwa pamoja na kupewa misaada na Marekani na Ulaya .
Wewe punguani kweli unaongea unafiki kujifanya una uchungu wakati mabwana zako Israel wanawau watoto wa Gaza ulikuwa unashangilia leo mabwana zako wanapewa haki yao unakuja maneno ya kinafikai hongera wape Mahakama ya Kimataifa kwa kutaa hati kukwamatwa magaidi.Mh. Ritz, hongera Kwa kuwatetea Hamas. Ni kweli Hamas imeshinda ktk vita hizi? Mbona miji Yao imebomolewa Hivyo? Ukanda wa Gaza unateketea ndugu na wanaoteseka ni wakina mama na watoto. Tusishabikie vita bali tuombe hivi vita huko mashariki ya kati viishe ili Dunia iwe mahali salama ya kuishi.
Nashukuru Kwa kuniita Hivyo, lakini Hamas ndo wasababishi wa vita Hivyo. Ila kumbuka hao Wafilisti Wana kiburi ingawa wanaoumia ni watoto na akina mama.Wewe punguani kweli unaongea unafiki kujifanya una uchungu wakati mabwana zako Israel wanawau watoto wa Gaza ulikuwa unashangilia leo mabwana zako wanapewa haki yao unakuja maneno ya kinafikai hongera wape Mahakama ya Kimataifa kwa kutaa hati kukwamatwa magaidi.
Sikiliza hii…
View: https://x.com/shaykhsulaiman/status/1859854073975144829?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hujui lolote kuhusu Israel na Palestina unasukumwa ushabiki mandazi mapunagi wengi JF wanasema eti Hamas ndiyo wamenza unajua kama toka 1948 Waisrael walivamia maeneo ya Palestina unajua mpaka sasa hivi Israel wameishawauwa Wapelestina zaidi ya laki 2 achana na Oct 7.Nashukuru Kwa kuniita Hivyo, lakini Hamas ndo wasababishi wa vita Hivyo. Ila kumbuka hao Wafilisti Wana kiburi ingawa wanaoumia ni watoto na akina mama.