Rais Putin amtumia Rais Samia Suluhu, Ujumbe wa Kumtakia heri ya Siku ya Muungano

Ettore Bugatti

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
4,123
Reaction score
8,242
Putin amesema Tanzania na Russia zina Mahusiano ya Urafiki wa Muda Mrefu na amewatakia Watanzania wote mafanikio tele.

Ujumbe toka wa Rais Vladimir Putin wa Russia kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania.




NB: Mama yupo USA ...USA ni adui wa Jamaa...hapa kuna zaidi ya ujumbe.!
 

Hii ni kutoka Mataga…
 
Mkuuu

Unatuchuliaje asee

Umeona sisi ni vilaza sanaa ee.

Yaani hawa UVCCM hawa

MZEE WANGU kinana wee ni mtu wa chuga
Najua Hujawai kutuangusha Kaskazini

Embu wafunze hawa Vijana.

Siasa za Michongo ndio hii hatutakagi etiii
 
mhh mbona wanataka kuharibu honeymoon ya mama..labda ndo maana biden hataki kukaa na mama meza moja..
Biden is Old 78 yrs old.

Hawezi Risk kukutana na Rais toka Africa.

Ndio maana Rais Samia akakutana na kamala.

Ili hata akipata korona.

Basi anaweza pambana.

Nyie si mlisema Rais wenu alifariki kwa korona, wameamua kumlinda wao.
 
Hiyo line ya mwisho .. "and"...tatu za nini?
 
Mbona hamna signature ya Putin?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…