Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
- Thread starter
- #21
Usipende kukariri, hiyo siyo barua kama ya shaka au da' Zuhra.Mbona hamna signature ya Putin?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipende kukariri, hiyo siyo barua kama ya shaka au da' Zuhra.Mbona hamna signature ya Putin?
Rubi lipo Dubai huko limeleta zengwe.Putin aje kuna Rubi za bure huku.
Soma kwa jicho la 3.Anatukumbusha tu kuwa hatufungamani na upande wowote. Si jambo baya.
Eti dayaspora[emoji1787][emoji1787]Hilo 'futari' kaandaliwa na uvccm dayaspora!
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Putin amesema Tanzania na Russia zina Mahusiano ya Urafiki wa Muda Mrefu na amewatakia Watanzania wote mafanikio tele.
Ujumbe toka wa Rais Vladimir Putin wa Russia kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania.
View attachment 2201639
NB: Mama yupo USA ...USA ni adui wa Jamaa...hapa kuna zaidi ya ujumbe.!
Ndo maana nikatoa hoja kuwa ni katika kukumbushana wajibu wa kila mmoja. TANZANIA NI NCHI HURU.Soma kwa jicho la 3.
Ha ha ha haaaa! Wana'kizungu' cha kuungaunga kama sisi....Natania. Nadhani mleta mada analitafuta jambo, anaweza kulipata kwa moderators wakipata nafasi.Hiyo Line ya mwisho imenishtua mno.
Tulia tu bibie, mazuri yanakuja.Mmmh sa itakuaje jmn[emoji3064][emoji3064]
Wewe huwezi jua uhusiano wa tanzania na russia ndio maana una uhuru wa kusema hayoKhee mbona makubwa haya[emoji23][emoji23][emoji23]
Atukome huyu baba
Lakini siyo HURU kwa kila jambo.Ndo maana nikatoa hoja kuwa ni katika kukumbushana wajibu wa kila mmoja. TANZANIA NI NCHI HURU.
Mmh ngoja nikae kimya maana[emoji1745][emoji1745]Wewe huwezi jua uhusiano wa tanzania na russia ndio maana una uhuru wa kusema hayo
You scratch my back and I will scratch yours!Putin amesema Tanzania na Russia zina Mahusiano ya Urafiki wa Muda Mrefu na amewatakia Watanzania wote mafanikio tele.
Ujumbe toka wa Rais Vladimir Putin wa Russia kwenda kwa Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania.
View attachment 2201639
NB: Mama yupo USA ...USA ni adui wa Jamaa...hapa kuna zaidi ya ujumbe.!
Kwenye mambo yanayohusiana na mikataba ya kimataifa sawa. Ila katika uhuru wa watu wake tupo HURU.Lakini siyo HURU kwa kila jambo.
Kumbuka, rafiki wa adui yako atakuwa adui yako..Tumepokea kwa mikono miwili huu ujumbe. Russia na Tanzania ni marafiki wa kweli siyo wa kinafiki kama hao wengine