Rais Putin asema vita haitaisha hadi hapo malengo ya Russia yatakapotimizwa

Rais Putin asema vita haitaisha hadi hapo malengo ya Russia yatakapotimizwa

Akiendekea kujibu masuali yanohusu mahusiano ya nje. Putin ajibu suali la mwandishi Valerie Hopkins wa NY Times kuhusu kushikiliwa kwa wamarekani wawili Evan Gershkovich mwandishi wa WSJournal na Paul Whelan Askari wa majini au marine.

Putin ajibu kwamba kuhusu kubadilishana wafungwa “we want to reach an agreement na kwamba that agreement must be mutually acceptable na unozinufaisha pande zote mbili.” Hata hivyo Putin asema watu hao wawili wapo chini ya taratibu za mahakama .” I won’t go into details lakini ni mjadala mgumu ( difficult dialogue) lakini tukizungumza lugha tunoelewana twaweza kufikia mwafaka.”
 
Asikudanganye.kuelekea kwenye new world order yeye amepewa mambo kadhaa ya kuyasimamia.anayeamua vita iendelee au isitishwe na wakuu wake wa kazi.
Epuka kuwa solid majority.
Dunia ina wenyewe.
 
Mkutano waendelea ikiwa ni masaa zaidi ya matatu.

Akıjibu suali la kusimamisha mahusiano na France. Putin asema ni France walosimamisha mahusiano na si vinginevyo. Aulizwa kama atakuwa tayari kuzungumza tena na Emmanuel Macron. Putin ajibu, “ I used to have very good working relation with Mr Macron and we’ve had a very rich agenda.
We are ready to continue our cooperation with France, but at a certain point the French President seized all relations with us. We didn’t stop it, I didn’t, he did, na kama kuna interest tupo tayari kurejesha mahusiano".

"Kama hakuna interest, we can do without them “ amalizia Putin.
 
Asikudanganye.kuelekea kwenye new world order yeye amepewa mambo kadhaa ya kuyasimamia.anayeamua vita iendelee au isitishwe na wakuu wake wa kazi.
Epuka kuwa solid majority.
Dunia ina wenyewe.
Wamaanisha nini unaposema epuka kuwa solid majority?
 
Umoja wa mataifa unamtazama tu alivyovamia nchi huru ukraine wao ni kuilaani Israel.tu lazma wamehongwa na Waarabu.
Ukrain kwa sababu wanauliwa wakiristo ndio maana ICC wanapiga kelele lkn wangalikuwa wanauliwa waislam wangipongeza. Lkn waislam tushajua zamani hayo
 
Watu wengi saana Duniani wanaodanganywa na upotoshwa na of course ndio mkakati wa kuitawala Dunia.
Wanajadili mambo kwa kuangalia matukio na kupotoshwa na vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
na dini zinatumika kutawala mindset za watu hivyo pengine you are a Muslim nk
 
Ukrain kwa sababu wanauliwa wakiristo ndio maana ICC wanapiga kelele lkn wangalikuwa wanauliwa waislam wangipongeza. Lkn waislam tushajua zamani hayo
Ukraine wanakufa wapi? Watu hawajauliwa hata 200 unasema wanauliwa?
Umedanganywa na nani?
 
Raisi Putin atambulishwa rasmi kwa pacha wake Robot Putin ambae ametengenezwa kwa program ya Artificial Intelligence.

This is so fascinating, isn’t it just imagine twaongelea AI na raisi Putin yupo tayari kuulizwa masuali mawili na Robot Putin.

1702579515758.png

Vladmir Putin halisi kushoto na Robot au AI Putin kulia.

Can you spot the difference?

Here we go.
 
Robot Putin AI auliza masuali mawili.

Suali la kwanza “ Do you have a lot of twins? And what is your attitude dangers with? AI ni artificial intelligence.

Raisi Putin amjibu robot wake kwamba “ you can talk like me and use my voice, my pitch, but I can figure out only one person can speak like myself and use my voice and this is going to be me” .

Great!!
 
Raisi Putin aendelea kujibu suali la pili kuhusu AI asema “ this is my first twin” so amemkubali pacha wa AI.

Great, hivyo siku ingine tukimwona raisi Putin mahala tujiulize mara mbilimbili. Pia huenda hata ile ziara ya UAE yaweza kuwa ilifanywa na Robot Putin.

Fantastic!!

Raisi Putin aendelea kujibu suali la pacha wake, “ whether we should fear AI or not ?. Preventing the advance in the AI detecting smells, having senses and possessing the cognitive capability is impossible, unless we can prevent it, we should head and lead the process”.

Raisi Putin amalizia kwa kusema “ No- one knows, however where we shall end up”.

Mkutano waendelea masaa manne unusu bila mapumziko!
 
Watu wengi saana Duniani wanaodanganywa na upotoshwa na of course ndio mkakati wa kuitawala Dunia.
Wanajadili mambo kwa kuangalia matukio na kupotoshwa na vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
na dini zinatumika kutawala mindset za watu hivyo pengine you are a Muslim nk
Bila kuangalia unoyasema, fahamu kuwa vita ni biashara na kama vita ni biashara wanonufaika ni wachache khasa kwa mabepari, ni very lucrative.

Lakini kwa nchi za Russia, Korea Kaskazini, Iran na washirika wenzao wengi faida nyingi zaenda ndani ya nchi hizo.

Kwa mfano raisi Putin kasema uchumi wa Russia umekuwa imara zaidi wakati huu wa vita pamoja na vikwazo bado uchumi wake umeimarika.

Putin hawezi kuwalipa familia za wanajeshi ambao wapo vitani iwapo nchi haina fedha , ndo maana watu wengi khasa kutoka katika maeneo ambayo ni maskini wanufaika na uchumi ambao Putin akitumia vita hiihii ausogeza katika maeneo hayo.

Maeneo mengi ambayo yalichukukiwa na Russia mengi saa hii yamebadilika na uchumi upo vibrant.

Kuna viwanda vya kutengeneza chopa, sare za jeshi, silaha, mavyakula yanopelekwa vitani haya yote ni makampuni ya ndani na wanoajiriwa ni Warusi wenyewe kutoka katika maeneo ambayo yalikuwa nyuma kiuchumi.

Hivyo hii vita ichukulie wajifunza masuala mengi tu na hata hii press conference is very important ndugu.

This is geopolitics in action.
 
Hatimae Mkutano wa Raisi Putin na waandishi wa habari wa kimataifa umemalizika baada ya masaa manne!

Raisi Putin amekuwa akizungumza kwa masaa manne bila kupumzika huku akigusia maeneo mbalimbali yanohusu ndani ya Russia na masuala ya kimataifa.

Mwisho ameomba radhi kwa wale ambao masuali yao hayakuweza kujibiwa.
 
Ya kijifunza kutoka katika Mkutano huu.

1. Raisi Putin ana kazi malum ambayo amepewa kuhakikisha Russia yasimama imara kiuchumi, kijeshi na katika jukwaa la kimataifa.

2. Putin ni mzungumzaji yaani great talker na ni mjuvi, mwerevu na taarifa zote kuhusu nchi yake na za Dunia hii anazo.

3. Russia ni superpower kwa kuweza kupigana na nchi zipatazo 50 nyingine zikiwa zajificha nyuma kwa mwaka wa pili sasa waenda.

4. Russia Ina uwezo wa kiuchumi licha ya kuwa vitani.

6. Na mwisho ni kwamba raisi Putin tunae hadi hapo kitapoeleweka.
 
Hatimae Mkutano wa Raisi Putin na waandishi wa habari wa kimataifa umemalizika baada ya masaa manne!

Raisi Putin amekuwa akuzungumza kwa masaa manne bila kupumzika huku akigusia maeneo mbalimbali yanohusu ndani ya Russia na masuala ya kimataifa.

Mwisho ameomba radhi kwa wale ambao masuali yao hayakuweza kujibiwa.
Tumemsamehe rais wa ulimwengu kwasasa
Ila kuna bwana yule alisema rais wa dunia eti yuaumwa
Sijui akitembea mkono anaufanyaje sababu yakuzidiwa na maradhi
Aaah kuna watu hapa duniani wanajua kila kitu
Haya masaa alozungumza rais wa dunia ukimueka yule rahisi wa united shit of Americant hawezi kuzungumza hata robo ya hayo masaa
 
Ya kijifunza kutoka katika Mkutano huu.

1. Raisi Putin ana kazi malum ambayo amepewa kuhakikisha Russia yasimama imara kiuchumi, kijeshi na katika jukwaa la kimataifa.

2. Putin ni mzungumzaji yaani great talker na ni mjuvi, mwerevu na taarifa zote kuhusu nchi yake na za Dunia hii anazo.

3. Russia ni superpower kwa kuweza kupigana na nchi zipatazo 50 nyingine zikiwa zimejificha nyuma kwa mwaka wa pili sasa waenda.

4. Russia Ina uwezo wa kiuchumi licha ya kuwa vitani.

6. Na mwisho ni kwamba raisi Putin tunae hadi hapo kitapoeleweka.
Nyongeza anaumuweza PUT IN na RUSSIA [emoji635] ni aliyowaumba tuuu
Wengine hata kama hawavipendi hivyo nlivyovitaja hapo juu wataendelea kuungulikia moyoni tuuu
 
Mkutano waendelea ikiwa ni masaa zaidi ya matatu.

Akıjibu suali la kusimamisha mahusiano na France. Putin asema ni France walosimamisha mahusiano na si vinginevyo. Aulizwa kama atakuwa tayari kuzungumza tena na Emmanuel Macron. Putin ajibu, “ I used to have very good working relation with Mr Macron and we’ve had a very rich agenda.
We are ready to continue our cooperation with France, but at a certain point the French President seized all relations with us. We didn’t stop it, I didn’t, he did” na kama kuna interest tupo tayari kurejesha mahusiano.

Kama hakuna interest “ we can do without them “ amalizia Putin.
Jamaa lina akili sana ,km haya ndio majibu hana baya yuko fair
 
T
Tumemsamehe rais wa ulimwengu kwasasa
Ila kuna bwana yule alisema rais wa dunia eti yuaumwa
Sijui akitembea mkono anaufanyaje sababu yakuzidiwa na maradhi
Aaah kuna watu hapa duniani wanajua kila kitu
Haya masaa alozungumza rais wa dunia ukimueka yule rahisi wa united shit of Americant hawezi kuzungumza hata robo ya hayo masaa
Tusiende mbali mwambie Biden apande na kushuka ngazi za ndege ya Raisi kwa kasi ya Putin-nguvu hizo hana kabisa yeye ni bingwa kwenye masuala ya political rhetoric na kitisha tisha watawala wa EU na Banana Republics lakini sio Urusi Bwana!! Putin amekwisha muonya Biden zaidi ya mara tatu kwamba hatavumilia kiongozi au Taifa ambalo litaonyesha wazi wazi kwamba lina mpango wa kuiagamiza Urusi na raia wake in totality - Putin hatanii hata kidogo, taifa lake liiisha jiweka tayari kwa miaka mingi jinsi ua ku-deal/kumpa fudisho taifa korofi.
 
Back
Top Bottom