Rais Putin aziambia nchi za Magharibi kuwa Urusi ina silaha nyingi za kuwafyeka

Rais Putin aziambia nchi za Magharibi kuwa Urusi ina silaha nyingi za kuwafyeka

Mkuu Una akili kweli? Putin anachezeshwa segere na Ukraine kwa Miezi saba sasa af sasa unakuja kusema Russia Inaweza Kufyeka Nchi 27 za NATO!?? Hivi unavuta hiyo Bhange ukiwa wapi?
Huenda muda huu ameshapigiwa mahesabu makali sana, anasubiriwa aanzishe tu. Huu ni muda ambao Putin anapaswa kutazamwa vyema ili asikurupuke kulaunch nuclear.

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Ndio maana Putini inabidi azuiwe katika huu mchezo wake hatari sana, na ndio maan hata majirani zake wengi ukiondoa Belarus hawaungi mkono uvamizi wake kwasababu kuna maeneo yanayoongea Kirusi pia huko Uzbekistan, Kazakhstan, Georgia na Azerbaijan.
Nani atamfunga paka (PUT IN) kengele (atamzuia) !!!??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Russia mpaka sasa aikuwa ‘all out’ war na Ukraine, lengo ni kuchukua maeneo yanayoongea kirusi ndani ya Donbas na walishuvuka hiyo mipaka.

Hayo maeneo waliyoyaachia na kurudi nyuma hawana interest nayo vile lakini awajaachia bado maeneo wanayoyataka.

Escalation ya vita ni Russia akisema full all out war against Ukraine; sidhani Zelensky kama atauweza huo mziki.

Western media wanavyozungumza Russia kutaka kuimega Ukraine, wakati nchi yote hiyo miaka ya 90 ilikuwa Russia.
Mbali na Nuclear, ni kitu gani Russia atakitumia ambacho mpaka sasa hajakitumia Ukraine?

Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
 
Apo ni 2015, akijua jeshi lake lina nguvu, sahv mwaka 2022 anatishia nyuclear, mtu mwenye silaha nyingi hatishii nyuclear
 
Kwa Russia mpaka sasa aikuwa ‘all out’ war na Ukraine, lengo ni kuchukua maeneo yanayoongea kirusi ndani ya Donbas na walishuvuka hiyo mipaka.

Hayo maeneo waliyoyaachia na kurudi nyuma hawana interest nayo vile lakini awajaachia bado maeneo wanayoyataka.

Escalation ya vita ni Russia akisema full all out war against Ukraine; sidhani Zelensky kama atauweza huo mziki.

Western media wanavyozungumza Russia kutaka kuimega Ukraine, wakati nchi yote hiyo miaka ya 90 ilikuwa Russia.
Kupeleka wanajeshi laki 3 unaona sio full scale war
 
Ukraine wana dharau sana wanajeshi wao 250 waliokua DRC Kongo kwenye majeshi ya UN wamerudi Ukraine wiki iliyopita kwa maana hiyo Urusi kazi anayo leo wanaume wa Urusi wanakimbilia Finland na Latvia wakiikimbia sheria mpya inayowalazimisha wanaume kwenda vitani..Putin angebaki na ubabe wake wa mdomoni tungeendelea kumuamini sasa ameumbuka anatamani afe na watu hata kutumia Nyuklia ikiwezekana..
 
Keshapoteza wanajeshi wote aliopeleka mwanzoni, hivyo naona kaongeza wengine
Ila mikataba yao haiishi
Magavana ndo watachagua nani ataenda
Na wanaoenda wote ni frontline
Wanafunzi wamesamehewa kwa sasa, ila huko mbeleni wataweza hitajika
...."Na wanaoenda wote ni frontline" i.e. Kwa kirangi "Killing zone" au kwa Kibongo ni "uwanja wa kifo" inasikitisha sana. Yani mtu atoke huko madongo poromoka, Avalishwe gwanda na apelekwe moja kwa moja uwanja wa mapigano mstari wa mbele. Jamani dah! Putin hapana aisee. Ile kichwa ingine kabisa.
 
Shida ya huyo dikteta akishalewa vodka tu basi huongea chochote kinachomuijia kichwani. Very hopeless.
 
Kupeleka wanajeshi laki 3 unaona sio full scale war
Kyiv na Moscow wakiamua kutupiana missiles zenye hypersonic speed wanafikiana kwa dakika tano.

Sasa kwanini Russia azunguke kote huko aanzie Donbas, safari ndefu hadi kufika Kyiv.

Kuna sababu za msingi ambazo mzozo wake unarudi mpaka 2014 Ukraine ilipo taka kujiunga EU na kujitoa ghafla.

Baada ya hapo kuna majimbo matatu ambayo hayaku support kujiunga na EU, mawili ndio hayo ya Donbas na Crimea. Na yamekuwa na waasi waliokuwa wakipagana na Ukraine toka hapo.

Ni hivi hiyo story ni ndefu na sio ya kusikiliza propaganda za western media, kwenye huo mzozo ukitafuta mtaalamu ambae yupo objective na wapo wengi credible YouTube wakikuelezea utaona shida hapo haswa ni USA.

Hayo maeneo ya Donbas yana makubaliano kati ya Russia na Ukraine kwa suluhisho la EU kwa muda mrefu tu wananchi wake wapige kura ya maoni kwenye kujiamulia either wajiendeshe wenyewe au wabakie chini ya Kyiv central government.

Aliezuia hiyo kura ya maoni kufanyika ni Zelensky halafu anataka kuruhusu US waweke missiles Kyiv kama nilivyokwambia Moscow hapo ni dakika tano tu kwa hizo silaha.

Ni hivi kwenye hii vita mtia sumu ni US na ndio anaichochea kwa kuipa silaha Ukraine vita iendelee. Russia hana shida na Ukraine isipokuwa US amekuwa ana provoke mpaka kuanza kwa hivyo vita.
 
West wameshajaa kwenye nyavu wa kuwabonda ndio huu, Putin waue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kyiv na Moscow wakiamua kutupiana missiles zenye supersonic speed ni wanafikiana kwa dakika tano.

Sasa kwanini Russia azunguke kote huko aanzie Donbas, kuna sababu za msingi ambazo mzozo wake unarudi mpaka 2014 Ukraine ilipo taka kujiunga na EU na kujitoa.

Baada ya hapo kuna majimbo matatu ambayo hayaku support kujiunga na EU, mawili ndio hayo ya Donbas na Crimea. Na yamekuwa na waasi waliokuwa wakipagana na Ukraine toka hapo.

Ni hivi hiyo story ni ndefu na sio ya kusikiliza propaganda za western media, kwenye huo mzozo ukitafuta mtaalamu ambae yupo objective na wapo wengi credible YouTube wakikuelezea utaona shida hapo haswa ni USA.

Hayo maeneo ya Donbas yana makubaliano kati ya Russia na Ukraine kwa suluhisho la EU kwa muda mrefu tu wananchi wake wapige kura ya maoni kwenye kujiamulia either wajiendeshe wenyewe au wabakie chini ya Kyiv central government.

Aliezuia hiyo kura ya maoni kufanyika ni Zelensky halafu anataka kuruhusu US waweke missiles Kyiv kama nilivyokwambia Moscow hapo ni dakika tano tu kwa hizo silaha.

Ni hivi kwenye hii vita mtia sumu ni US na ndio anaichochea kwa kuipa silaha Ukraine vita iendelee.
Kwa kukusaidia huo mkasa naujua na ulipelekea Viktor yanukovich aliyekua raise wa ukraine kukimbilia Russia na ndo kilichopelekea Russia kuichukua crimea

Usitegemee ethnic Ukrainian akakubaliana kuwa upande wa Russia kamwe hawez kubali sababu stalin aliwaua sana na hawaipendi Russia ndo maana pona ya Russia ni kwenda kujikita kwenye majimbo yenye ethnic Russia wengi

Kataa au ukubali Russia amechanga karata zake vibaya hakukua na haja ya yeye kutumia nguvu angetumia akili Leo unapeleka wanajeshi laki 3 ambao wengi wao hata training za kijeshi hawana na experience hawana unategemea nin
 
Back
Top Bottom