Rais Putin azilaumu nchi za Magharibi kuhusu vita Ukraine

Rais Putin azilaumu nchi za Magharibi kuhusu vita Ukraine

Ni wazi Putin hakutegemea hali iwe hivi baada ya mwaka mzima wa kuipiga Ukraine. Alijua ataipiga Ukraine ndani ya muda mfupi sana.
 
Kama wewe ni mwema na nchi za magharibi ndiyo waovu"sasa kwanini" kila jirani yako anakukimbia?.
Uoni kuwa una tatizo ndiyo maana unakimbiwa na kila mtu!.

Gaddafi wananchi wake walisaidiwa na wageni kumua ila Ukraine tunaona wananchi wakishirikiana na Rais wao kumpiga mvamizi.

Hadi wapinzani na maraisi wastaafu tumeona wakichukua bunduki na kwenda frontline kumpiga mvamizi alafu kuna watu wanasema"Ukrein imedanganyawa" howcome udanganye taifa zima maraisi, wastaafu na wapinzani at the same time?.

US alituambia kuwa unakwenda kuivamia Ukraine"wewe ukakataa kata kata" mwisho wa siku ukimvamia jirani yako asubuhi kabla kiza kuisha. Je, tuiamini magharibi ama wewe pale linapokuja swala la ukweli?.

MAJINGA :- Ukraine Ilidanganya na US. je, na wale majirani wengine wanaokukimbia wamedanganywa na nani?.

Ukraine nchi inayotengeneza injini za Drone na kuiuzia TURKEY. Nchi inayolima ngano na kusambaza duniani kote how come wawewapumbavu wa kuinginzwa cha kike kilaini hivi na mataifa ya magharibi?.

Ajabu ni kwamba, uwongo unaosemwa kutumika kuidanganya Ukraine unafahamika vichwani mwa watu wapumbavu tu hasa hawa jamaa wa Swala 5 kanzu chafu, meno manjano, baba na mama wanawatoto 12 ila wanaishi kwenye Chumba na sebule na kundi lingine la wakristo wajinga wajinga wengi wao wakiwa waumini wa makanisa ya vichochoroni.

Makristo majinga majinga baadhi yao utasikia ya kisema ama kuandika mitandaoni "MIMI NI MKRISTO ILA YESU SI MUNGU!".
yana macho ila hayaoni.
Yana maskio ila hayasikii.
Yanauwezo wa kunusa ila brankata zao haziwezi kupambanua kuwa hii ni harufu ya Mavi ama keki.

Jinga kabisa.
Mbona maguful mtu mmoja pekeyake alilidanganya taifa zima la tanzania kuwa anafanya miladi yote kwa pesa za ndani
 
Ni wazi Putin hakutegemea hali iwe hivi baada ya mwaka mzima wa kuipiga Ukraine. Alijua ataipiga Ukraine ndani ya muda mfupi sana.
Russia imejianda na hii vita more than mnavyofikiria na inaweza kwenda nayo kwa muda mrefu sana. Wanaoshangazwa na huimara wa Russia watakuwa Westerners. Walimkadilia miezi mitatu tu atasalimu amri
 
Kama wewe ni mwema na nchi za magharibi ndiyo waovu"sasa kwanini" kila jirani yako anakukimbia?.
Uoni kuwa una tatizo ndiyo maana unakimbiwa na kila mtu!.

Gaddafi wananchi wake walisaidiwa na wageni kumua ila Ukraine tunaona wananchi wakishirikiana na Rais wao kumpiga mvamizi.

Hadi wapinzani na maraisi wastaafu tumeona wakichukua bunduki na kwenda frontline kumpiga mvamizi alafu kuna watu wanasema"Ukrein imedanganyawa" howcome udanganye taifa zima maraisi, wastaafu na wapinzani at the same time?.

US alituambia kuwa unakwenda kuivamia Ukraine"wewe ukakataa kata kata" mwisho wa siku ukimvamia jirani yako asubuhi kabla kiza kuisha. Je, tuiamini magharibi ama wewe pale linapokuja swala la ukweli?.

MAJINGA :- Ukraine Ilidanganya na US. je, na wale majirani wengine wanaokukimbia wamedanganywa na nani?.

Ukraine nchi inayotengeneza injini za Drone na kuiuzia TURKEY. Nchi inayolima ngano na kusambaza duniani kote how come wawewapumbavu wa kuinginzwa cha kike kilaini hivi na mataifa ya magharibi?.

Ajabu ni kwamba, uwongo unaosemwa kutumika kuidanganya Ukraine unafahamika vichwani mwa watu wapumbavu tu hasa hawa jamaa wa Swala 5 kanzu chafu, meno manjano, baba na mama wanawatoto 12 ila wanaishi kwenye Chumba na sebule na kundi lingine la wakristo wajinga wajinga wengi wao wakiwa waumini wa makanisa ya vichochoroni.

Makristo majinga majinga baadhi yao utasikia ya kisema ama kuandika mitandaoni "MIMI NI MKRISTO ILA YESU SI MUNGU!".
yana macho ila hayaoni.
Yana maskio ila hayasikii.
Yanauwezo wa kunusa ila brankata zao haziwezi kupambanua kuwa hii ni harufu ya Mavi ama keki.

Jinga kabisa.
Wahi hospitali ya vichaa mkuu tatizo ni kubwa.
 
Ni wazi Putin hakutegemea hali iwe hivi baada ya mwaka mzima wa kuipiga Ukraine. Alijua ataipiga Ukraine ndani ya muda mfupi sana.
Bado hujashangazwa na uwezo Russia kupigana na mataifa zaidi ya 20 ya NATO?
 
Huyu ni mwendawazimu bila shaka, anaishambulia na kufanya mauaji na uharibifu Ukraine halafu analalamika tena Ukraine ikijitetea!
 
Huyu ni mwendawazimu bila shaka, anaishambulia na kufanya mauaji na uharibifu Ukraine halafu analalamika tena Ukraine ikijitetea!
Una kazi ya kufanya bado kijana! Unapoona wagermany na wafaransa wanaandamana kuipinga Nato usidhan ni wajinga ila wanaona wao ndiyo wanaumia sababu ikiwa ni kuitetea marekan ambae aliianda Ukraine kuwa adui wa Urusi na hatimae ata akitaka vita vikubwa basi aitumie Ukraine kupigana na Russia na hili liko wazi ata Wamarekanj wenyewe wanajua, na ndiyo maana wanaojua siri hii wanailamu serikali ya Marekani kwakuwa waongo zaidi wakiwalaghai wananchi wao juu ya ubaya wa Putin kumbe hana ubaya na mtu mzee wa watu.

Nenda zaidi Msikilize Kansela Mstaafu wa Ujeruman Bi Angel Merkel utakutana akiwalaumu upande wa West kwakuwa wabinafsi na kutotaka kuisikiliza Russia, Mama Merkel alienda mbali zaidi na kusema alifanya kila njia kuzuia vita kati ya Russia na Ukraine hapo awali na kwasasa hana la kufanya cos yuko nje tayari.

Mwisho kabisa msikilize huyu mwandishi wa habar akimhoji mmoja wa afisa wa mwandamizi wa Ikulu ya White House

 
Wahi hospitali ya vichaa mkuu tatizo ni kubwa.
Hadi sasa nipo hospital, nina tatizo la mguu si kichwa. Kichwa kipo salama salimi.
 

Attachments

  • 20230215_171944.jpg
    20230215_171944.jpg
    1.2 MB · Views: 2
Bado Putin anatafuta sababu ya kuhalalisha vita vyake huko Ukraine.
Aaha unafikiri anakazi hiyo? Ata wamarekan wenyewe wanajua kuwa Putin alifanya inavyostahili ila ao Wamafharibi ndiyo wanaulaghaili ulimwengu kwa kivuli cha Demokrasia huku wakitumiza malengo yao dhidi ya wale wasiowapenda

 
Kama wewe ni mwema na nchi za magharibi ndiyo waovu"sasa kwanini" kila jirani yako anakukimbia?.
Uoni kuwa una tatizo ndiyo maana unakimbiwa na kila mtu!.

Gaddafi wananchi wake walisaidiwa na wageni kumua ila Ukraine tunaona wananchi wakishirikiana na Rais wao kumpiga mvamizi.

Hadi wapinzani na maraisi wastaafu tumeona wakichukua bunduki na kwenda frontline kumpiga mvamizi alafu kuna watu wanasema"Ukrein imedanganyawa" howcome udanganye taifa zima maraisi, wastaafu na wapinzani at the same time?.

US alituambia kuwa unakwenda kuivamia Ukraine"wewe ukakataa kata kata" mwisho wa siku ukimvamia jirani yako asubuhi kabla kiza kuisha. Je, tuiamini magharibi ama wewe pale linapokuja swala la ukweli?.

MAJINGA :- Ukraine Ilidanganya na US. je, na wale majirani wengine wanaokukimbia wamedanganywa na nani?.

Ukraine nchi inayotengeneza injini za Drone na kuiuzia TURKEY. Nchi inayolima ngano na kusambaza duniani kote how come wawewapumbavu wa kuinginzwa cha kike kilaini hivi na mataifa ya magharibi?.

Ajabu ni kwamba, uwongo unaosemwa kutumika kuidanganya Ukraine unafahamika vichwani mwa watu wapumbavu tu hasa hawa jamaa wa Swala 5 kanzu chafu, meno manjano, baba na mama wanawatoto 12 ila wanaishi kwenye Chumba na sebule na kundi lingine la wakristo wajinga wajinga wengi wao wakiwa waumini wa makanisa ya vichochoroni.

Makristo majinga majinga baadhi yao utasikia ya kisema ama kuandika mitandaoni "MIMI NI MKRISTO ILA YESU SI MUNGU!".
yana macho ila hayaoni.
Yana maskio ila hayasikii.
Yanauwezo wa kunusa ila brankata zao haziwezi kupambanua kuwa hii ni harufu ya Mavi ama keki.

Jinga kabisa.
Pendelea zaidi kusikiliza,kuliko kusikilizwa.

Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
 
Wewe kichwa panzi Urusi imeanza kuivamia Ukraine tangu mwaka 2014 baada ya kibaraka wao Viktor Yanukovych kuondolewa na raia kwa maandamano alipokataa kusaini European Union-Ukraine Association Agreement.

Rudia kusoma tena, Putin ameanza kuivamia Ukraine na kupora ardhi Ukraine mwaka 2014 ilipoingia mikataba ya uchumi, biashara, utamaduni na usalama na Umoja wa Ulaya hao hao Wajerumani na Wafaransa. Umekariri tu na kurudiarudia kama Kasuku kilaza kwamba Marekani alikuwa anataka kuitumia Ukraine.
Una kazi ya kufanya bado kijana! Unapoona wagermany na wafaransa wanaandamana kuipinga Nato usidhan ni wajinga ila wanaona wao ndiyo wanaumia sababu ikiwa ni kuitetea marekan ambae aliianda Ukraine kuwa adui wa Urusi na hatimae ata akitaka vita vikubwa basi aitumie Ukraine kupigana na Russia na hili liko wazi ata Wamarekanj wenyewe wanajua, na ndiyo maana wanaojua siri hii wanailamu serikali ya Marekani kwakuwa waongo zaidi wakiwalaghai wananchi wao juu ya ubaya wa Putin kumbe hana ubaya na mtu mzee wa watu.

Nenda zaidi Msikilize Kansela Mstaafu wa Ujeruman Bi Angel Merkel utakutana akiwalaumu upande wa West kwakuwa wabinafsi na kutotaka kuisikiliza Russia, Mama Merkel alienda mbali zaidi na kusema alifanya kila njia kuzuia vita kati ya Russia na Ukraine hapo awali na kwasasa hana la kufanya cos yuko nje tayari.

Mwisho kabisa msikilize huyu mwandishi wa habar akimhoji mmoja wa afisa wa mwandamizi wa Ikulu ya White House

 
Wewe kichwa panzi Urusi imeanza kuivamia Ukraine tangu mwaka 2014 baada ya kibaraka wao Viktor Yanukovych kuondolewa na raia kwa maandamano alipokataa kusaini European Union-Ukraine Association Agreement.

Rudia kusoma tena, Putin ameanza kuivamia Ukraine na kupora ardhi Ukraine mwaka 2014 ilipoingia mikataba ya uchumi, biashara, utamaduni na usalama na Umoja wa Ulaya hao hao Wajerumani na Wafaransa. Umekariri tu na kurudiarudia kama Kasuku kilaza kwamba Marekani alikuwa anataka kuitumia Ukraine.
Bas una safari ndefu kijana! Unahisi kuna mambo yanakuja tu toka mbinguni bila mipango?
 
Kama wewe ni mwema na nchi za magharibi ndiyo waovu"sasa kwanini" kila jirani yako anakukimbia?.
Uoni kuwa una tatizo ndiyo maana unakimbiwa na kila mtu!.

Gaddafi wananchi wake walisaidiwa na wageni kumua ila Ukraine tunaona wananchi wakishirikiana na Rais wao kumpiga mvamizi.

Hadi wapinzani na maraisi wastaafu tumeona wakichukua bunduki na kwenda frontline kumpiga mvamizi alafu kuna watu wanasema"Ukrein imedanganyawa" howcome udanganye taifa zima maraisi, wastaafu na wapinzani at the same time?.

US alituambia kuwa unakwenda kuivamia Ukraine"wewe ukakataa kata kata" mwisho wa siku ukimvamia jirani yako asubuhi kabla kiza kuisha. Je, tuiamini magharibi ama wewe pale linapokuja swala la ukweli?.

MAJINGA :- Ukraine Ilidanganya na US. je, na wale majirani wengine wanaokukimbia wamedanganywa na nani?.

Ukraine nchi inayotengeneza injini za Drone na kuiuzia TURKEY. Nchi inayolima ngano na kusambaza duniani kote how come wawewapumbavu wa kuinginzwa cha kike kilaini hivi na mataifa ya magharibi?.

Ajabu ni kwamba, uwongo unaosemwa kutumika kuidanganya Ukraine unafahamika vichwani mwa watu wapumbavu tu hasa hawa jamaa wa Swala 5 kanzu chafu, meno manjano, baba na mama wanawatoto 12 ila wanaishi kwenye Chumba na sebule na kundi lingine la wakristo wajinga wajinga wengi wao wakiwa waumini wa makanisa ya vichochoroni.

Makristo majinga majinga baadhi yao utasikia ya kisema ama kuandika mitandaoni "MIMI NI MKRISTO ILA YESU SI MUNGU!".
yana macho ila hayaoni.
Yana maskio ila hayasikii.
Yanauwezo wa kunusa ila brankata zao haziwezi kupambanua kuwa hii ni harufu ya Mavi ama keki.

Jinga kabisa.
Inaonekana hata hujui sababu ya hyo operation huyo ukraine amevunja mkataba waliowekeana na russians na amevunja kusudi kwa kutegemea kikiwaka nato wataleta majeshi kumsaidia hyo operation ilikuwa inaweza kuisha kwa amani hila alikuwa anaendeshwa kwa maamuzi kutoka west
 
NATANGAZA RASMI HADI LEO HII ASKARI WA NATO NA UKRAIN WALIOULIWA WAMEFIKA 225600 HADI 230000 kwa hii miezi mitatu tu russia kafyeka askari wa nato na ukrain elfu 93200 kwa wastani ni askari elfu moja kwa siku
 
Back
Top Bottom