millerson
JF-Expert Member
- Aug 5, 2022
- 606
- 1,651
wew kama wew hujitambui ndio maana unaandika uozo mara dini mara siasa yaan huelewekKama wewe ni mwema na nchi za magharibi ndiyo waovu"sasa kwanini" kila jirani yako anakukimbia?.
Uoni kuwa una tatizo ndiyo maana unakimbiwa na kila mtu!.
Gaddafi wananchi wake walisaidiwa na wageni kumua ila Ukraine tunaona wananchi wakishirikiana na Rais wao kumpiga mvamizi.
Hadi wapinzani na maraisi wastaafu tumeona wakichukua bunduki na kwenda frontline kumpiga mvamizi alafu kuna watu wanasema"Ukrein imedanganyawa" howcome udanganye taifa zima maraisi, wastaafu na wapinzani at the same time?.
US alituambia kuwa unakwenda kuivamia Ukraine"wewe ukakataa kata kata" mwisho wa siku ukimvamia jirani yako asubuhi kabla kiza kuisha. Je, tuiamini magharibi ama wewe pale linapokuja swala la ukweli?.
MAJINGA :- Ukraine Ilidanganya na US. je, na wale majirani wengine wanaokukimbia wamedanganywa na nani?.
Ukraine nchi inayotengeneza injini za Drone na kuiuzia TURKEY. Nchi inayolima ngano na kusambaza duniani kote how come wawewapumbavu wa kuinginzwa cha kike kilaini hivi na mataifa ya magharibi?.
Ajabu ni kwamba, uwongo unaosemwa kutumika kuidanganya Ukraine unafahamika vichwani mwa watu wapumbavu tu hasa hawa jamaa wa Swala 5 kanzu chafu, meno manjano, baba na mama wanawatoto 12 ila wanaishi kwenye Chumba na sebule na kundi lingine la wakristo wajinga wajinga wengi wao wakiwa waumini wa makanisa ya vichochoroni.
Makristo majinga majinga baadhi yao utasikia ya kisema ama kuandika mitandaoni "MIMI NI MKRISTO ILA YESU SI MUNGU!".
yana macho ila hayaoni.
Yana maskio ila hayasikii.
Yanauwezo wa kunusa ila brankata zao haziwezi kupambanua kuwa hii ni harufu ya Mavi ama keki.
Jinga kabisa.
kaa pemben