Rais Putin azilaumu nchi za Magharibi kuhusu vita Ukraine

wew kama wew hujitambui ndio maana unaandika uozo mara dini mara siasa yaan huelewek
kaa pemben
 
 

Attachments

  • 20221029_113907.jpg
    338.1 KB · Views: 2
Yani wapigane tu hata miaka 100!aliponyakua crimea 2014 alidhani west ni midebwedo na dhaifu,kumbe walikua wanajipanga na wanamtega ajichanganye tena wamtie adabu!sasa kaingia ktk 18 zao
Halafu kabeba 25% ya Ukraine
 
NATANGAZA RASMI HADI LEO HII ASKARI WA NATO NA UKRAIN WALIOULIWA WAMEFIKA 225600 HADI 230000 kwa hii miezi mitatu tu russia kafyeka askari wa nato na ukrain elfu 93200 kwa wastani ni askari elfu moja kwa siku
Angalia jinsi wapiganaji WA WAGNER wanavyokaangwa huko Frontline BAKHMUT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…