Kwanza ni mbovu anaishi kwa betri mwilini. Pili amekiri mwenyewe kuwa ni kichaa. Alipata U-Rais kwa sababu ya misuguano ya wana MTANDAO. Tusifanye makosa hayo, ataharibu uchumi na nchi itageuka ZIMBABWE.Mzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Na unyonge wako anaokusifia nao jiwe kila siku, uwe na jeuri hata tu kufunga kamba za viatu vya Zitto, Lissu?Na huwezi kuona USA anasogeza matqko yake wala mdomo, ila ingekuwa afrika ungeona wanavyopishana kutoa matamko.
Ndiomaana mimi nikionaga hivi alafu nikiona na watu kama kina Zitto na Lisu wanavyowaramba makalio wazungu unatamani ukawazabue vibao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hata wewe unamlamba Magufuli kiatu?? Na hicho ndiyo kiakufanya umuabudu.Na huwezi kuona USA anasogeza matqko yake wala mdomo, ila ingekuwa afrika ungeona wanavyopishana kutoa matamko.
Ndiomaana mimi nikionaga hivi alafu nikiona na watu kama kina Zitto na Lisu wanavyowaramba makalio wazungu unatamani ukawazabue vibao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishavimbiwa viporo vilivyochacha lazima uje kuchafua hali ya hewa humu.Mzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Rusia asimpangie ila wewe black akupangie anavyotaka? Ndio maana akawaita shimo la choo. Hii yote ni kutokana na kutokujielewa kwenuUkikubali kutembeza bakuli basi fuata masharti!Hivi akili zenu huwa mnaziacha wapi?Unataka US aende kumpangia Russia nini cha kufanya?Idiot
Nauunga mkono hoja.Mzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Ona hili yai viza nalo!Usimfananishe Putin na taka taka.
Putin’s Hawezi Kuwaumiza wananachi wake.
mishahara haijapanda tangu Huyu meko aingie madarakani .amekufanyia Nini?
madaraja? Na mikopo ya elimu ya juu kulipa 15%
Mzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Ghadafi hakutembeza bakuli lakini bado walimhujumuUkikubali kutembeza bakuli basi fuata masharti!Hivi akili zenu huwa mnaziacha wapi?Unataka US aende kumpangia Russia nini cha kufanya?Idiot
mimi nahisi bora atawale Maisha yann kuharibu pesa kwa kufanya uchaguzi tumeshapata muarubaini ya nini kuhangaika na chaguzi sasa hivi Tanzania hakuna matatizo tena baada ya miaka 60 ya utawala wa ccm sasa ivi wameweza kuondowa matatizo yote ya wabongo isipokuwa kitu kidogo tu ndio kimebaki ni matundu ya choo tu kwa mashule hilo basiMzee Magufuli ndiye Rais bora kabisa kwa sasa Africa
Kwa nini tuache kilicho bora twende kwa kitu kisicho na uhakika
Kuna haja ya Bunge lijalo ambalo nina uhakika 98% litakuwa la wanaCCM wafanye marekekebisho ya kikatiba yatakayobarikiwa na wananchi kumruhusu mheshimiwa atawale mpaka 2035
Tumeitwa hivyo kwasababu tuna viongozi wapumbav!Unategemea misaada halafu unataka umwamba!Chagua moja,hujaona Kabudi wa Tz anayevimba na yule aliyeenda kuwabembeleza mabeberu,pathetic!Rusia asimpangie ila wewe black akupangie anavyotaka? Ndio maana akawaita shimo la choo. Hii yote ni kutokana na kutokujielewa kwenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeanza vizuri ila ukamaliza vizuri zaidiPutin is a modern day dikteta, like China, Xi ni Rais wa maisha baada ya kubadilishwa kifungu cha katiba ya China ili atawale milele na nchi zingine kama North Korea, Saudi Arabia, Syria, Libya ya Ghadaffi, Iraq ya Sadam Hussein, Sudan, Uganda, Rwanda, Zimbabwe ya Mugabe, Gabon etc ni nchi zenye udikteta wa wazi wazi. So Russia and China ni nchi kubwa ingefaa kuwa mifano mizuri ya demokrasia duniani, kwa bahati mbaya sana ndio nchi zenye mifano mibaya kabisa na kinyume kabisa na demokrasia, yaani udikteta mtupu. Hili la Putin, hutasikia hata US wakipiga kelele, ila ingekuwa nchi za Africa, ungesikia makelele dunia nzima, sbb kubwa ni umaskini wetu wa kuomba omba