Rais Putin kutangaza usiku huu Russia kutambua rasmi majimbo huru yaliyojitenga ya Donetski na Luhansk

Rais Putin kutangaza usiku huu Russia kutambua rasmi majimbo huru yaliyojitenga ya Donetski na Luhansk

Haijalishi wananiona vipi. Kinachomatter najiona vipi. Najua nipo vizuri kwenye hizi issue. Ninasoma kila uchao.
Duh unasoma yet uko shallow usingesoma ingekuwaje ? Anyway hebu katafute kitu kinaitwa lubianka halafu uje utuelezee yaliyomo mule au yaliyokuwamo enzi hizo kwenye lubianka building
 
Victorie nakupendaga sana dada yangu.
Lakini Putin ama Russia wala sio wapenda vita kama USA.
Unajua USA anatamani sana kuizunguka Urusi kwa kuweka silaha zake?
Je Urusi anyamaze TU.
Unajua sula la ulinzi na usalama wa nchi ndio ajenda namba moja ya nchi yoyote?

Unafahamu huyuhuyu Marekani aliwahi kupelela makombora ya nyukilia Uturuki ili kumlenga Urusi ya zamani?
Unafahamu majibu ya Urusi kwa jambo hilo?

Urusi naye akapeleka silaha za nyukilia Cuba.
Unafahamu Nini kilitokea?
Ni Marekani alikubali kuondoa haraka sana nyukilia zake na Urusi ndipo nae akaondoa Nyukilia zake Cuba.
Sasa bado Marekani anatamani sana kuizunguka Urusi kijeshi,na Urusi hakubali.
Ndio sokomoko lote hilo.
Hebu fikiria Marekani Yuko ma maili na ma kilometa mbali kabisa huko Huku ulaya anatafuta Nini na NATO yake?
Yeye hakai ulaya NATO ya Nini?
Urusi anapenda kuishi kwa amani sana na Europe ili wafanye biashara,awauzie gesi na mbogamboga na mafuta,nae anunue vitu kwao.USA hapendi Hali hii.
USA hapendi mradi wa Bomba la gesi kutoka Urusi kwenda Ujerumani na ulaya.anajua Urusi itafanikiwa sana kiuchumi ndio Kaanzisha fitina hizi ili kumzuia .na baadae aje kuwaambia euro wamuwekee vikwazo ili kumlostisha.
Urusi anapenda kufanya biashara na kushirukiana na Ulaya, Marekani hapendi Hali hii ndio anawachonganisha,anaforce kujiunga Ukraine katika NATO.

Pia Ukraine kujiunga na NATO ni hatari kwa usalama wa Urusi,kwani itakua rahisi kuichunguza Urusi na hata ikitokea vita huko mbeleni inakua rahisi kwa UsA na NATO kuivamia ama kuishambulia Urusi.
Urusi wanalijua hilo,na wako tayari kupoteza uchumi lakini walindw taifa lao kwa gharama yoyote ile.na ndio unaona haya Leo hii.
Urusi ni taifa la kiungwana sana na Putin sio mtu katili.
Kuhusu kufunga wapinzani wake,hayo Sasa Mimi siwezi kuyaelezea kwa sababu hizo ni siasa za ndani sijui chochote inawezekana kweli wanamakosa ama anawaonea TU.sijui kitu.
Hapo upo sawa kabisa. Ila kwa nini Urusi nae asiweke base zake pale Mexico,Canada ili wapambane vizuri na US. Why huyu Urusi anamwonea Ukraine ?
 
Victorie nakupendaga sana dada yangu.
Lakini Putin ama Russia wala sio wapenda vita kama USA.
Unajua USA anatamani sana kuizunguka Urusi kwa kuweka silaha zake?
Je Urusi anyamaze TU.
Unajua sula la ulinzi na usalama wa nchi ndio ajenda namba moja ya nchi yoyote?

Unafahamu huyuhuyu Marekani aliwahi kupelela makombora ya nyukilia Uturuki ili kumlenga Urusi ya zamani?
Unafahamu majibu ya Urusi kwa jambo hilo?

Urusi naye akapeleka silaha za nyukilia Cuba.
Unafahamu Nini kilitokea?
Ni Marekani alikubali kuondoa haraka sana nyukilia zake na Urusi ndipo nae akaondoa Nyukilia zake Cuba.
Sasa bado Marekani anatamani sana kuizunguka Urusi kijeshi,na Urusi hakubali.
Ndio sokomoko lote hilo.
Hebu fikiria Marekani Yuko ma maili na ma kilometa mbali kabisa huko Huku ulaya anatafuta Nini na NATO yake?
Yeye hakai ulaya NATO ya Nini?
Urusi anapenda kuishi kwa amani sana na Europe ili wafanye biashara,awauzie gesi na mbogamboga na mafuta,nae anunue vitu kwao.USA hapendi Hali hii.
USA hapendi mradi wa Bomba la gesi kutoka Urusi kwenda Ujerumani na ulaya.anajua Urusi itafanikiwa sana kiuchumi ndio Kaanzisha fitina hizi ili kumzuia .na baadae aje kuwaambia euro wamuwekee vikwazo ili kumlostisha.
Urusi anapenda kufanya biashara na kushirukiana na Ulaya, Marekani hapendi Hali hii ndio anawachonganisha,anaforce kujiunga Ukraine katika NATO.

Pia Ukraine kujiunga na NATO ni hatari kwa usalama wa Urusi,kwani itakua rahisi kuichunguza Urusi na hata ikitokea vita huko mbeleni inakua rahisi kwa UsA na NATO kuivamia ama kuishambulia Urusi.
Urusi wanalijua hilo,na wako tayari kupoteza uchumi lakini walindw taifa lao kwa gharama yoyote ile.na ndio unaona haya Leo hii.
Urusi ni taifa la kiungwana sana na Putin sio mtu katili.
Kuhusu kufunga wapinzani wake,hayo Sasa Mimi siwezi kuyaelezea kwa sababu hizo ni siasa za ndani sijui chochote inawezekana kweli wanamakosa ama anawaonea TU.sijui kitu.
@Victoire
 
Duh unasoma yet uko shallow usingesoma ingekuwaje ? Anyway hebu katafute kitu kinaitwa lubianka halafu uje utuelezee yaliyomo mule au yaliyokuwamo enzi hizo kwenye lubianka building
Huna hoja.
 
35d666ca-b34d-4dd4-9230-127c768c555a.jpg
 
hivyo vi bomber vinapigwa hata na s 200
S-200 hizi hizi zinazoshindwa na F-16 pale Syria? Humu mmejaa mahaba na kukataa uhalisia. B-2 ni stealth, B-52 haji kwenye range ya air defence system bali inatuma Tomahawk inaweza beba 20, B1B nayo haiji kwenye range inatuma precision guided missiles. Hizo S-200 zitafanya nini, tangu mashambulizi ya Israel nchini Syria yaanze ulishawahi ona ndege yoyote ya Israel imedondoshwa?

Ungesema S-400 ningekuelewa ila nazo bado hatujui effectiveness yake, hajizawahi shuhududia vita
 
Alijaribu kuweka cuba wakati wa leonid brezhnev JFK akapiga mkwala akasema nitakizamisha kwa mabomu hicho kisiwa ndio papa wa kanisa katoliki akaingilia Kati mgogoro ukaisha nyambizi zikageuza urusi hiyo ilikuwa 1963.
Hapo upo sawa kabisa. Ila kwa nini Urusi nae asiweke base zake pale Mexico,Canada ili wapambane vizuri na US. Why huyu Urusi anamwonea Ukraine ?
 
Hana akili yeyote. Ubabe tu sema mwisho wake soon unafika.
Dada nakuambia kwa upendo kabisa,Tena wala Mimi sikutusi.
Putin na mstaraabu kabisa ni mpenda amani na mwenye heshima kwa wengine.sio yeye TU Bali hata taifa lake.
USA ndio tatizo.
Tena Russia hii hii ya Putin Huwa inaomba uhusiano mzuri na USA lakini USA hula Kona.

USA ndio nchi inayoongoza Dunia kwa kufadhili mapinduzi katika nchi nyingi duniani lkn sio Russians.
 
Alijaribu kuweka cuba wakati wa leonid brezhnev JFK akapiga mkwala akasema nitakizamisha kwa mabomu hicho kisiwa ndio papa wa kanisa katoliki akaingilia Kati mgogoro ukaisha nyambizi zikageuza urusi hiyo ilikuwa 1963.
Waweke sasa hivi. Ili waende sawa na USA anavyoweka Poland n.k
 
Dada nakuambia kwa upendo kabisa,Tena wala Mimi sikutusi.
Putin na mstaraabu kabisa ni mpenda amani na mwenye heshima kwa wengine.sio yeye TU Bali hata taifa lake.
USA ndio tatizo.
Tena Russia hii hii ya Putin Huwa inaomba uhusiano mzuri na USA lakini USA hula Kona.

USA ndio nchi inayoongoza Dunia kwa kufadhili mapinduzi katika nchi nyingi duniani lkn sio Russians.
Nini?Mpenda amani ?Wote washenzi tu. Angekuwa mpenda amani angetangaza leo sehemu ya Ukraine iliyo pro Russia ni nchi huru ?Angalieni mambo kwa ukweli na sio ushabiki.
 
Back
Top Bottom