Rais Putin kutangaza usiku huu Russia kutambua rasmi majimbo huru yaliyojitenga ya Donetski na Luhansk

Rais Putin kutangaza usiku huu Russia kutambua rasmi majimbo huru yaliyojitenga ya Donetski na Luhansk

Wananchi wanamsupport rais wao kama hawamtaki wangeandamana kama walivyofanya kwa Viktor Yanukovych

Na hayo majimbo Putin anayoyatambua Leo tokea 2014 serekali ya Ukraine ilishajitoa
Ukraine ethnicity hawataki kuwa upande wa Russia sababu hawaoni faida yake,inekuwa wanataka kuwa upande wa Russia kama watu humu wanavyotaka kutuaminisha,ile Kyiv ingeshachafuka siku nyingi,Russia wanajua weak point ya Ukraine ni ule upande wa East penye Russian ethnicity wengi na ndio wanaoi support Urusi,Siku Russia akirogwa akaivamia Kyiv ndio vita pale itakuwa mbaya sana maana hadi sasa kila raia wa Ukraine amepewa bunduki na kuwa trained kuilinda nchi yao,hiyo vita itakuwa mbaya sana na watu watakufa wengi mno kitu ambacho hata Putin mwenyewe nina uhakika hatotaka kitokee maana hata raia wake wengi hawaungi mkono kuivamia kijeshi Ukraine...
Ukraine kama nchi na raia wake wanataka kuwa upande wa magharibi hao wengine wanaojitenga ni ethnicity inawasumbua to nothing else...
 
Ukraine ethnicity hawataki kuwa upande wa Russia sababu hawaoni faida yake,inekuwa wanataka kuwa upande wa Russia kama watu humu wanavyotaka kutuaminisha,ile Kyiv ingeshachafuka siku nyingi,Russia wanajua weak point ya Ukraine ni ule upande wa East penye Russian ethnicity wengi na ndio wanaoi support Urusi,Siku Russia akirogwa akaivamia Kyiv ndio vita pale itakuwa mbaya sana maana hadi sasa kila raia wa Ukraine amepewa bunduki na kuwa trained kuilinda nchi yao,hiyo vita itakuwa mbaya sana na watu watakufa wengi mno kitu ambacho hata Putin mwenyewe nina uhakika hatotaka kitokee maana hata raia wake wengi hawaungi mkono kuivamia kijeshi Ukraine...
Ukraine kama nchi na raia wake wanataka kuwa upande wa magharibi hao wengine wanaojitenga ni ethnicity inawasumbua to nothing else...
Exactly tatizo Russia has nothing to offer in economy ndo changamoto kubwa aliyokua nayo

Putin ni moja wa kiongozi wa ajabu sana yaan Russia ni kubwa sana aachen petty issues, hakuna muwekezaji atakae wekeza Crimea au donbass sababu kumushawekewa vikwazo baada ya mda uchumi utacollapse anachofanya Putin ni ujinga

Putin apambane gdp ikue ndo njia rais ya yeye kuwa na ushawishi
 
Nasema hivi Putin atakufa kabla hajaivamia Ukraine. Anajiona yeye ni nani?Nimemsikiliza hotuba yake inaonekana kabisa adui yake ni USA. Si akavamie Alaska huko ?Stupid.
Umeandika kwa kutumia hisia na mihemko badala ya kutumia akili.
 
Haya siku pia tukisikia USA/Magharibi wanavamia taifa huru kwa kigezo hikihiki cha security concern,tuwe na msimamo huu huu tusigeuze tena shingo tuanze kulaumu na kuwalaani USA,tuwasifie kama tunavyoisifa Urusi leo...Msichokijua hii ni precedent imewekwa,siku utaskia china anaichukua Taiwan kwa nguvu,Utaskia USA anaivamia Cuba kwa kigezo hiki hiki kinachotumiwa na Putin,hakutakuwa na wa kumnyooshea mwenzie kidole,dunia itakuwa imeparaganyika...then there comes WW3.
 
Exactly tatizo Russia has nothing to offer in economy ndo changamoto kubwa aliyokua nayo

Putin ni moja wa kiongozi wa ajabu sana yaan Russia ni kubwa sana aachen petty issues, hakuna muwekezaji atakae wekeza Crimea au donbass sababu kumushawekewa vikwazo baada ya mda uchumi utacollapse anachofanya Putin ni ujinga

Putin apambane gdp ikue ndo njia rais ya yeye kuwa na ushawishi
Atauzia matajiri wa mafuta na gas washkaji zake wawekeze hotels na beach kama alivyowauzia kule Crimea nothing more...
 
Akili za putin anazijua mwenyewe.. [emoji23], hapa Ukraine lazima atulize akili akifanya mzaha nchi yake itabaki magofu, wahuni watajaribia zana zao kwao, toka awali nilisema, russia ataingia donbass kwa kivezo cha kulinda watu wake, hivyo hata kama ni marekani kupigana nae hawatopiga kule urusi ila vita itapiganwa hapo hapo kwa ukraine,watu wapimane ubavu, na wakilegea hii donbass ikaenda basi wajue huku mbele mpaka kiev itasombwa.
Kwa kifupi mwisho wa siku USSR itarudi!!
 
Putin ni hatari kwa hii dunia. Yaani natamani afe tu. Dictator mkubwa huyu.
Are u talking using ant log if not log inverse of mouth or what? Dont u know that russia is the world peace maker? Ufwe wewe na ufyekelewe mbaliii PUTIN WILL BE THERE TO STAY.
 
Kwa kifupi mwisho wa siku USSR itarudi!!
Haiwez Rudi sababu ili uwe na ushawishi lazima uwe na nguvu kiuchumi, marekani Ina nguvu sio kwa sababu ya jeshi Bali uchumi wake ni Mkubwa na unainfluence kubwa sana kwenye global economy

Leo hii Russia imezidiwa na gdp na nchi kama Canada, soon ushishangae south Korea au Australia zikimpita, USSR ilikua na nguvu sana kiuchumi ndo Siri ya kuwa na nguvu,
 
View attachment 2126631

Rais Vladimir Putin akitia saini amri (the Decree) kutambua majimbo ya Donestk na Luhansk kuwa majimbo huru. Picha na Reuters.

Rais wa Russia Vladimir Putin usiku huu anatarajiwa kutangaza majimbo ya Donetsk na Luhansk kama majimbo huru.

Majimbo haya mawili yaliyo upande wa mashariki mwa Russia, ndio kiini cha mzozo unoendelea unaozihusu nchi za Ukraine, NATO, Russia, Marekani na nchi za magharibi.

Pia Rais Putin atasaini amri (decree) ya kutambua eneo zima lijulikanalo kama Donbass kama eneo la Russia.

Baada ya kutangaza uamuzi huo wa Russia, kiongozi huyo wa Russia ataamuru majeshi ya Russia kuingia katika majimbo hayo ili kulinda maslahi ya Russia kiusalama na kijeshi.

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron ameitisha kikaao cha dharura cha umoja wa mataifa ambapo suala la uamuzi wa Russia kutambua majimbo ya Donetski na Luhansk litajadiliwa.

Wakati huohuo Russia imeitisha kikao cha dharura umoja wa mataifa kujadili suala la Ukraine baada ya mkuu wa majeshi ya Russia kusema kwamba Ukraine imeweka majeshi yapatayo 60,000 katika eneo la Donbass.

Putin anadai kwamba kiongozi wa ilokuwa USSR Lenin alifanya maamuzi ya kimakosa katika kuangalia mipaka ya USSR na ndio kiini cha matatizo ya leo hii.
Yaani Ukraine yenyewe ipo kama haipo, vurugu zinaendelea juu yake lakini wenyewe na viongozi wao wala hawajitisiki kusema chochote , imezubaa kama raia wa Tanzania.
 
Acha uongo ndugu
mwaka 2014 rais wa Ukrain alitaka Ukraine iegemee upande wa Russia wananchi wa Ukraine wanataka kua upande wa ulaya rais wao wa kipindi hicho Viktor Fedorovych Yanukovych akaondolewa na wimbi la maandano wakamtoa akamimbilia Russia ndo mgogoro ulipoanzia

Putini kwa hasira akachukua Crimea na upande wa mashabiki wa Ukraine ethinc Russia ambao ni majority wakawa wanamuunga Viktor Yanukovych na Russia ndo mgogoro ulipoanzia

Russian wanawachukulia Ukraine na Belarusian kama sehemu ya ethnic Russian, Ukraine wanataka kua upande wa ulaya na kujiunga Nato
Kwani Russia haipo Ulaya ?
 
Toka Ukraine, yanakuwa sehemu ya washirika wa Russia. Hivyo Russia itapinga aina yoyote ya uvamizi wa kijeshi maeneo hayo.

Kumbuka UN inatambua haki ya watu kujitambua kuwa huru hapo wamecheza na saikolojia wa Ukraine. Kwamba majimbo hayo yanataka kujitenga na Ukraine.

Russia itatuma majeshi yake kuwasaidia shughuli ya kutimua majeshi ya Ukraine na NATO wakijichanganya ndo vita hivyo.
Putin hapa kacheza kama pele nusu fainali ya mwaka 1958.
 
Haya siku pia tukisikia USA/Magharibi wanavamia taifa huru kwa kigezo hikihiki cha security concern,tuwe na msimamo huu huu tusigeuze tena shingo tuanze kulaumu na kuwalaani USA,tuwasifie kama tunavyoisifa Urusi leo...Msichokijua hii ni precedent imewekwa,siku utaskia china anaichukua Taiwan kwa nguvu,Utaskia USA anaivamia Cuba kwa kigezo hiki hiki kinachotumiwa na Putin,hakutakuwa na wa kumnyooshea mwenzie kidole,dunia itakuwa imeparaganyika...then there comes WW3.
Kwani U.S.A alivamia Afghanistan kwa sababu ipi?
 
Back
Top Bottom