Rais Ruto asitisha kusaini Muswada wa Sheria ya Fedha 2024, aurejesha Bungeni

Rutto kaanzisha hyo na kuitatua mwenyew ili kijiweka vizur kisiasa
 
Rutto kaanzisha hyo na kuitatua mwenyew ili kijiweka vizur kisiasa
 
A leaderless group? How on earth were they given a go-ahead for maandamano???
Decentralized gangs/mobs hizi hazina mfumo wa kiuongozi ila walipo wawili mmoja ni kiongozi asiye na kiongozi. Ni sawa na walivyo Ali Shabab tu na ndio sababu ni ngumu kuwakabili.
 
Laana ya kujifanya kikaragosi cha magaharibi itamuandama daima ruto. Hatoishi kwa amani.
 
Ila naona km alichelewa angeepusha ya jana
Kivipi? Wabunge ndio wangeepusha kwa kuwasikiliza.

Rais angetoa kauli ya kuwashinikiza sana. Labda hapo.

Wakenya wenyewe wanasema hata Zuwena mwenyewe hakubadilika kama Rutto.

The only thing that we learn from history is that we never learn anything.
 
Anawadekeza, alitakiwa awape kichapo cha haja kubwa mpaka washike adabu. Siku nyingine wataandamana kwenda ikulu wahuni hao
Mawazo ya watu wasiosoma na standard 7 failures. Unadhan kila nchi ni Tanzania yenye raia viazi kama wewe. Mataifa mengine watu wanajielewa na serikali wana respect democracy ya watu, utaua raia wote unadhan kwa nchi zinazojielewa kufanya hivyo unatatua tatizo au unaongeza? Akili Kama zako ndio maana nchi hadi leo ipo chini ya CCM
 
Kwenye hiyo kauli yake kama tungekuwa na vijana wanaojitambua wangeanzia hapo hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…