Kuna mtu nimemwambia Samia ni mshamba hajui anataka kufanya nini katika geopolitics na foreign policy.Chawa wa mama munahasira Sana , na ziara ya ruto USA ,
Maza wenu alipokelewa na mange,
Mambo vp..shida africa tushakubali kuwa Shamba la bibi acha iwe ivyo
π π π π π π π π πView attachment 2998929
Kijeshi askari anapo kuwa mbele ya mkubwa wake akiwa anaongea anakua anapaswa kukaa mguu pande na mikono huwa nyuma kuonesha utii wake kwa kiongozi wake huyo.
Kama ilivyo picha huwa na lugha ndani yake, Rais wa Kenya Ruto, kwa alivyo simama inaonesha kabisa kuwa ana Itii marekani ikimaanisha ameenda kupokea maagizo na maelekezo kwa ajili ya kuyatekeleza.
Ni lini Afrika tutakuwa na nguvu mbele ya hawa madhalimu wanao tunyanyasa tangu na tangu.
Ni ule utamaduni wa kitumwa bado inamzunguka mwafrika umekosekana mjeledi tu wa kumswaga kama ng'ombe!View attachment 2998929
Kijeshi askari anapo kuwa mbele ya mkubwa wake akiwa anaongea anakua anapaswa kukaa mguu pande na mikono huwa nyuma kuonesha utii wake kwa kiongozi wake huyo.
Kama ilivyo picha huwa na lugha ndani yake, Rais wa Kenya Ruto, kwa alivyo simama inaonesha kabisa kuwa ana Itii marekani ikimaanisha ameenda kupokea maagizo na maelekezo kwa ajili ya kuyatekeleza.
Ni lini Afrika tutakuwa na nguvu mbele ya hawa madhalimu wanao tunyanyasa tangu na tangu.
kawaida mbnMambo vp..
Juzi Kati gentamicin Kaku mention somewhere nikasema mdogo angu anajuana na watu wengi π
Ulipotea sanaakawaida mbn
nipo mbnUlipotea sanaa