D_ullah
Member
- Jul 21, 2022
- 43
- 62
- Thread starter
- #41
Kwa Sasa Kenya imepiga hatua sana kimataifa inabidi na sisi tuungane na china faster
Cina na mareakni wote ni Sarafu moja tofauti upande tu… Wote tu ni wa kuwa nao kwa akili lakini tujenge uwezo wa kujitegemea na kujifanyia maamuzi kwa malengo ya leo na kesho.