Rais Ruto kuweka mikono nyuma ni ishara ya utii kwa Marekani

Rais Ruto kuweka mikono nyuma ni ishara ya utii kwa Marekani

Mkuu ni lini SS government itaanza kuwapa uwezo wa kuamini na kufanya mambo makubwa,
Maana nikama tz na Africa hawajapata Uhuru wa kifikra.

Na kwani ni kitu Gani kinacho zuia watu wetu wasijiamini kama Sio serikali zetu wenyewe.
F∆ck the government

Ni serikali kupitia mfumo wetu wa elimu ambao wanauona kabisa hauna tija, uliotengeneza watu wengi wenye vywti vikubwa visivyokuwa na maana…

Tuna wasomi wengi lakini asilimia kubwa mambo yetu yanafanywa na wageni… kwa kifupi Afrika ni tuna ugonjwa wa kutokujua umuhimu wa kujitegemea. Tegemezi Utegemezi yani
 
Mikopo ya IMF, world bank haina shida, mbona Asian countries mfano Thailand, Malaysia, Japan.
Na wanafanikiwa kiviwanda, utalii,kilimo kutokana na mikopo

Hio mikopo kaka ndio inaleta na mambo mengine yasio ya kwetu, hizo nchi ulizo zitaja zinachukua mikopo ikiwa tayari zimesha jipata kitamaduni na kimaendeleo… mikopo hata marekani na china wanayo… je mikopo tunayo pewa sisi na hizo nchi ulizo taja… masharti ni sawa… mazingira ywtu yana fanana!!!!??!
 
Nadhani ungeachana na hizi fikra za Pan-Africanism, unajuwa wazi kabisa hili ni jambo gumu na halipo kabisa. Ikiwa kuruhusu visa free tu sisi wenyewe kwa wenyewe hatuwezi lakini nchi zingine za Ulaya, America hata Asia wako free sasa utaweza kuletea mambo makubwa ya msingi?.

Africanisim Tanzania yaliturudisha sana nyuma badala ya kuwa na agenda za nchi tu na kuweka maslahi yetu mbele kwanza. Kenya wako sawa kama linaleta manufaa kwao ni sawa 100% haya mambo ya Pan Africansim hayana uhalisia kama ndoto za kisiasa tu hazitekelezeki.

Suala sio uzalendo wa kiafrika, suala ni fikra zetu zimefungwa, misaada na vitu tunaona vina manufaa havitusogezi mbele… kama kweli wana hitaji kutusaidia bila kuwa na mambo yao nyuma… wangeturuhusu au wangetupa teknolojia zao.
 
View attachment 2998929
Kijeshi askari anapo kuwa mbele ya mkubwa wake akiwa anaongea anakua anapaswa kukaa mguu pande na mikono huwa nyuma kuonesha utii wake kwa kiongozi wake huyo.

Kama ilivyo picha huwa na lugha ndani yake, Rais wa Kenya Ruto, kwa alivyo simama inaonesha kabisa kuwa ana Itii marekani ikimaanisha ameenda kupokea maagizo na maelekezo kwa ajili ya kuyatekeleza.

Ni lini Afrika tutakuwa na nguvu mbele ya hawa madhalimu wanao tunyanyasa tangu na tangu.
huku mnashangilia kukopa, utaombaje mkopo bila kuweka mikono nyuma?
 
Mwafrica amejikabidhi kwa beberu akitegemea beberu atamlainishia maisha.

Beberu ameua sana watu wake kufika hapo alipo halafu wewe unakwenda unataka lainilaini, lazima utafunwe tu.

Njia pekee yakujiletea maendeleo ni watu kufanya kazi kwa bidii na maarifa mengi,

Ahsante
 
Kuna kipindi tunavyokwenda huko kwa Beberu mkuu na mabeberu wenzie jamaa hutuona wajinga saana tuliochelewa matokeo yake hutupanda tu kadili wawezavyo.

Africa tusitegemee urahisi rahisi na kusaidiwasaidiwa katika harakati za kuijenga Africa baadala yake tujikite kujenga maarifa na vizazi vyenye akili na nidhamu

Hatuwazi mbele kabisa yani… wanao pata nafasi wanajiangalia wao tu.. ndio maana wanaenda kusujudia wazungu huko…
 
Hio mikopo kaka ndio inaleta na mambo mengine yasio ya kwetu, hizo nchi ulizo zitaja zinachukua mikopo ikiwa tayari zimesha jipata kitamaduni na kimaendeleo… mikopo hata marekani na china wanayo… je mikopo tunayo pewa sisi na hizo nchi ulizo taja… masharti ni sawa… mazingira ywtu yana fanana!!!!??!
Benjamin mkapa, ndio kielelezo kizuri kuhusu mikopo, aliacha nchi ukiwa na deni kidogo, lakini baada ya Hapo mpaka SS pesa yetu haina Thamani kabisa,mara foreign currencies hazionekani, .

Mpaka inafikia hatua Havana wa bot kukimbizana na waleta na wapokea watalii wasifanye malipo Cash bali watumie bank ili gov ipate foreign currencies.
 
Heshima aliyopewa Ruto US na bwana jb ni kubwa mpaka inafanya tujiulize maswali mengi sana why Kenya? au sababu kipindi cha Obama yeye bwana Bidden akiwa makamu na bwana Ruto akiwa makumu walivyo kutana waliambiana maneno kwamba one day we are going to be the Presidents sasa wakawa wanapongezana? Au sababu Kenya is home of his former boss ? Is it that kenya is very strategic in security areas ? Is it because of English language that there is big interaction between these two countries? Au sababu ya kuruhusu oshoga and the lke? Why?
 
Heshima aliyopewa Ruto US na bwana jb ni kubwa mpaka inafanya tujiulize maswali mengi sana why Kenya? au sababu kipindi cha Obama yeye bwana Bidden akiwa makamu na bwana Ruto akiwa makumu walivyo kutana waliambiana maneno kwamba one day we are going to be the Presidents sasa wakawa wanapongezana? Au sababu Kenya is home of his former boss ? Is it that kenya is very strategic in security areas ? Is it because of English language that there is big interaction between these two countries? Au sababu ya kuruhusu oshoga and the lke? Why?
English language na TV coverage.Hakuna lingine.
 
View attachment 2998929
Kijeshi askari anapo kuwa mbele ya mkubwa wake akiwa anaongea anakua anapaswa kukaa mguu pande na mikono huwa nyuma kuonesha utii wake kwa kiongozi wake huyo.

Kama ilivyo picha huwa na lugha ndani yake, Rais wa Kenya Ruto, kwa alivyo simama inaonesha kabisa kuwa ana Itii marekani ikimaanisha ameenda kupokea maagizo na maelekezo kwa ajili ya kuyatekeleza.

Ni lini Afrika tutakuwa na nguvu mbele ya hawa madhalimu wanao tunyanyasa tangu na tangu.
Acha ujinga wewe, kijeshi hiyo ni relaxation position that means whatever your senior is talking about can be even taken as a joke or story making to his subordinates . Amri daima hupekelewa in attention position. Don't talk something you're unknowledgeable with.....
 
Kawa kawaida kaenda kuomba misaada, Kenya njaa kali
Usibeze mkuu, hiyo ni njia ya kutengeneza mahusiano makubwa Sana kidiplomasia na kiuchumi. Jiulize rais wetu mama Samia alipodhuru Marekani alikaa na Biden na kuhutubia watu hivyo?
 
Umesema kijeshi wanakaa hivyo na hao si wanajeshi. Kila Rais ni Amiri jeshi mkuu. Kwahiyo hakuna shida hapo junior anaongea na senior
 
Heshima aliyopewa Ruto US na bwana jb ni kubwa mpaka inafanya tujiulize maswali mengi sana why Kenya? au sababu kipindi cha Obama yeye bwana Bidden akiwa makamu na bwana Ruto akiwa makumu walivyo kutana waliambiana maneno kwamba one day we are going to be the Presidents sasa wakawa wanapongezana? Au sababu Kenya is home of his former boss ? Is it that kenya is very strategic in security areas ? Is it because of English language that there is big interaction between these two countries? Au sababu ya kuruhusu oshoga and the lke? Why?
Ushoga vp huo sio utamaduni wetu!!!
 
Back
Top Bottom