Nakusikitikia sana umeaminishwa ujinga.Nimekuandikia hapo juu. Naona hata kusoma hutaki.
Ngoja nikuwekee tena hapa.
"Mambo kama ya Tanzania will inform Dubai in all other ports opportunities including Lakes hatuyataki.
Tanzania ni nchi huru na kubwa kupita UAE, hiyo minyororo haitakubalika.
Na hayo mengine unayajua"
Hizo haraka zenu tunaweza kuziita ni UKUWADI haramu.
Nini kinawashinda kuwasikiliza wenye nchi ?
Haraka ya kuwasujudia Waarabu unayotaka sio.
Ni watu wa ajabu sana.Huku Tanzania tuna watu wanafikra ya kichawi na hii imechangiwa na roho mbaya.
Watu wanawaza kukwamisha,kukomoa na kujitoa ufahamu tuu ili kuleta taharuki kwa jamii na mambo yakwame wafurahi, ni watu wa ajabu sana hawa wapinga maendeleo.
Biashara iwe in equal terms.Siyo kupunjwa au kuolewa kabisa.Nakusikitikia sana umeaminishwa ujinga.
Nyinyi endeleeni kukataa, wenzenu wanazitafuta fursa.
Ni wajinga msiyoelewa maana ya biashara z Kimataifa ni nini.
Suti za mtumba tutavaa tu.Kwani kiwanda cha kutengeneza suti mpya kiko wapi hapo Gezaulole?Ni watu wa ajabu sana.
Kiufupi ni wajinga kupita kiasi. Usione mbarabarani suti za mtumba ukawaona wa maana, hawana lolote.
Biashara yako wewe binafsi ipo wapi?Biashara iwe in equal terms.Siyo kupunjwa au kuolewa kabisa.
"Akili mgando ndio tatizo hapaMimi natamani sana DP World waanze kazi leo kabla ya kesho. Nafahamu faida zake. Namshuru Mwenyezi Mungu nilipata "exposure" kubwa sana duniani huko.
Naifahamu Dubai na jinsi wanavyofanya biashara zao kiuaminifu mkubwa sana.
Waulize wafanya biashara na wajasiriamali tu wanaofanya kazi zao na Dubai. Watakueleza.
FaizaFoxy anakaa mkuranga hapo kwa mkanada hongera kumbe Jirani yangu,haisee pazuri kweli kama ulaya hongera sana.Unafikiri nakula pensheni ya kijinga ya Tanzania?Nakula pensheni ambayo inaniwezesha kuwaajiri Watanzania kibao tu wanitazamie bustani zangu na mifugo yangu. Njoo utembee Kwa Mkanada, Mkuranga ujionee penshen inavyofanya kazi.
Uliomba nikuoneshe?Biashara yako wewe binafsi ipo wapi?
Wewe huwa libishi sana.Vaa nikabu kuficha ujinga wako.Exactly, kama unajuwa kusoma Kingereza ile IGA ni kifungu kipi ambacho hakipo in equal terms?
Yaani tu wajinga wa hali ya juu.
Huna lolote upo hapa kufanya ulozi tuu.Uliomba nikuoneshe?
Ile mliyoiba kwenye Ile saccos?Sasa hivi nakula penshen tu.
Ndiyo tuwauzie shamba?Sindano mpaka zitoke India, halafu wanakuja watu kuwafundisha namna ya kutafuta pesa mnawaona wajinga.
Ulozi Ni utamaduni.Huna lolote upo hapa kufanya ulozi tuu.
Mjinga ni wewe unayetaka kutawaliwa na sio kufanya uwekezaji.Nakusikitikia sana umeaminishwa ujinga.
Nyinyi endeleeni kukataa, wenzenu wanazitafuta fursa.
Ni wajinga msiyoelewa maana ya biashara z Kimataifa ni nini.
Shetani: Hivi vyote nitakupa endapo utanisujudia😄😄Nimekuandikia hapo juu. Naona hata kusoma hutaki.
Ngoja nikuwekee tena hapa.
"Mambo kama ya Tanzania will inform Dubai in all other ports opportunities including Lakes hatuyataki.
Tanzania ni nchi huru na kubwa kupita UAE, hiyo minyororo haitakubalika.
Na hayo mengine unayajua"
Hizo haraka zenu tunaweza kuziita ni UKUWADI haramu.
Nini kinawashinda kuwasikiliza wenye nchi ?
Haraka ya kuwasujudia Waarabu unayotaka sio.
Nakusikitikia sana umeaminishwa ujinga.
Nyinyi endeleeni kukataa, wenzenu wanazitafuta fursa.
Ni wajinga msiyoelewa maana ya biashara z Kimataifa ni nini.
Ulozi Ni utamaduni.
Kuishi na jamii ni kupoteza muda?Unazeeka vibaya wewe!Hivi una kibyongo?The huncback?😂😂😂Umuoneshe nini wewe? Una biashara au una ujasiriamali tu.
Mfanya biashara ana muda wa kupoteza JF?