FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
- Thread starter
- #21
Nakusikitikia sana umeaminishwa ujinga.Nimekuandikia hapo juu. Naona hata kusoma hutaki.
Ngoja nikuwekee tena hapa.
"Mambo kama ya Tanzania will inform Dubai in all other ports opportunities including Lakes hatuyataki.
Tanzania ni nchi huru na kubwa kupita UAE, hiyo minyororo haitakubalika.
Na hayo mengine unayajua"
Hizo haraka zenu tunaweza kuziita ni UKUWADI haramu.
Nini kinawashinda kuwasikiliza wenye nchi ?
Haraka ya kuwasujudia Waarabu unayotaka sio.
Nyinyi endeleeni kukataa, wenzenu wanazitafuta fursa.
Ni wajinga msiyoelewa maana ya biashara z Kimataifa ni nini.