watanganyika hatutaki .Kazi ya Mungu haina makosa.
Zanzibar unafikiri wanakung9oja wewe, wao zamani tayari, kimya kimya. Dunia ya leo siyo ya jana.
Childhood mate hujawahi kuniangusha kabisa [emoji1787]Rejea kipindi cha Kikwete huyu kwenye issue ya udini huwa yuko tayari kutembea hata na bikini ili mradi aliyepo madarakani ni kundi lake
TakbilMimi natamani sana DP World waanze kazi leo kabla ya kesho. Nafahamu faida zake. Namshuru Mwenyezi Mungu nilipata "exposure" kubwa sana duniani huko.
Naifahamu Dubai na jinsi wanavyofanya biashara zao kiuaminifu mkubwa sana.
Waulize wafanya biashara na wajasiriamali tu wanaofanya kazi zao na Dubai. Watakueleza.
Kwa JPM alishabikia wanafunzi wakipata ujauzito wasirudi shuleni.Aliandika kwamba ni viherehere vyao.Abishe!Faiza
Waache watanzania waamue wao inavyofaa na si kutumia nguvu kiasi hiki
Lini umesikia ndege za Kenya zimekamatwa kwakidaiwa baada ya kuvunja mikataba ?
GESI tulipelekeshwa hivihivi matokeo yake Leo gesi n ghali kuliko nishat yoyote hapa nchini
Mkataba unajadiliwa siku tatu TU kisha unapitishwa kwa nguvu hii haikubaliki hata kidogo
Wakati wa jakaya faiza ulikuwa mstari wa mbele Sana kuukubali utawala ule MZALENDO John alipoingia madarakani ukageuka leo Samia unaunga juhudi
Faiza ungekuwa kila siku unaleta kifungu kimoja unachambua kutuelewesha ingekuwa vema Sana
Juhudi zinungwa kwa juma asha lakn akiwa Benja John Julius hapana
Darsa bwege hilo.Hatuingii.Ubaki na chaki zako.πππNihangaike nini mimi wakati huu, kazi yangu kuwa darsa tu hapa.
WAKRISTO wa Tanzania mna shida gani,waarabu Wana hofu ya ALLAH acheni waje wawekeze ili keki iwe na faida kwa watanzania wote,udini na ukabila ni ujinga tuWewe unangoja nn si uende Saudia pia?
Allahu-Akbar!Umefurahi mwenyewe!πππKwan
= Takbir.
Hilo sawasawa.Sirikali tatu.πTena tumeshmwabia mama samia asiondoke kwanza mpaka ahakikishe kuna serikali tatu.
Mi nipo upande wa kitimoto banaKwan
= Takbir.
Hamieni KenyaLicha ya maandamano yanayoendelea Kenya, Rais Ruto amewakaribisha Saudi Arabia wawekeze wapendavyo na amewataka waitumie fursa ya kufunguwa viwanda kwani Kenya ina mikataba ya misamaha ya kodi ya bidhaa zake nchi za Ulaya.
Pia amewaahidi atawapa wafanyakazi million moja ndani ya muda mfupi, hivi sasa Kenya ina wafanyakazi laki mbili Saudi Arabia.
Katika maongezi hayo, Sai Arabia imewaahidi Kenya kuwapa mafuta ya gharama nafuu ndani ya miezi miwili ili kuwapunguzia tatizo la mfumko wa bei linalowakabili Kenya sasa hivi.
Sasa naelewa kwanini Kenya haina maliasili za kutosha lakini imetupita sana kiuchumi. Wana fikra za kimaendeleo, kinyume na sisi tuna fikra za kichawi za kurudishana nyuma tu.
Ushahidi huu hapa:
Hana uzee kwa jinsi unavyodhania, she is 50+Huyo siyo mdada.Andika kikongwe mchawi.πππ
Mnamwabudu na kumsujudu Mwarabu!!Unafikiri nakula pensheni ya kijinga ya Tanzania?Nakula pensheni ambayo inaniwezesha kuwaajiri Watanzania kibao tu wanitazamie bustani zangu na mifugo yangu. Njoo utembee Kwa Mkanada, Mkuranga ujionee penshen inavyofanya kazi.