ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ukiacha udikteta Bali ni mfumo wa kujenga umaskini na kuua ubunifu,huu ni mfumo ambao unategemea propaganda kwenye uchumi Hadi siasa..Communism na socialist ni madikteta wa kutupwa.
Kanisa lina pesa ndefu na halitegemei msaada wa yeyote.Shida nini??,Kodi ya kanisa pale bandini itaondoka tu hata mpige kelele kiasi gani
Socialism na umaskini ni moyo na damu vinahitajiana sana.Ukiacha udikteta Bali ni mfumo wa kujenga umaskini na kuua ubunifu,huu ni mfumo ambao unategemea propaganda kwenye uchumi Hadi siasa..
Sasa kuwa na mawazo ya kindezi kiasi hicho Nchi haiwezi kusonga
Yaani tunawaona wasomi wajinga pale wanapochota mali zenye kuwatosha wao na vizazi vyao watoto na wajukuu zao,then baadae wanarudi wanajifanya WAZALENDO,what the fu.......kNi kweli nimeliona Hilo tamko na Kila mtanzania anayetakia kheri nchi yetu tunasubiri utekelezaji wa maoni ya watu wengi wanayotoa kwenye social media, press na majukwaa mengine pamoja na walaka tofauti tofauti.
Upande wa Prof. Tibaijuka personal Kila binadamu anamapungufu na Kila binadamu Kuna sehemu alifanya makosa, hii haifanyi hasiaminike milele. ( No body is perfect)
Kila binadamu anaubora wake na mapungufu yake chota ubora mapungufu achana nayo.
Haliwezi kua na shida SBB limechota sanaKanisa lina pesa ndefu na halitegemei msaada wa yeyote.
Msipeleke hili swala kwenye Udini na Uarabu.
Kama mnapenda hivyo basi tulihamishie huko tujue tuna anzia wapi.
Mimi binafsi sina shida na Dini ya mtu wala Uarabu na hapo juu nimeandika vizuri tu.
Sasa we unaona akili ya Ruto na bibi ziko sawa??Hongera MK254
Unawapenda hao magaidi au Kwasababu umesomea shahada yako ya awali ya mawasiliano angani huko?Licha ya maandamano yanayoendelea Kenya, Rais Ruto amewakaribisha Saudi Arabia wawekeze wapendavyo na amewataka waitumie fursa ya kufunguwa viwanda kwani Kenya ina mikataba ya misamaha ya kodi ya bidhaa zake nchi za Ulaya.
Pia amewaahidi atawapa wafanyakazi million moja ndani ya muda mfupi, hivi sasa Kenya ina wafanyakazi laki mbili Saudi Arabia.
Katika maongezi hayo, Sai Arabia imewaahidi Kenya kuwapa mafuta ya gharama nafuu ndani ya miezi miwili ili kuwapunguzia tatizo la mfumko wa bei linalowakabili Kenya sasa hivi.
Sasa naelewa kwanini Kenya haina maliasili za kutosha lakini imetupita sana kiuchumi. Wana fikra za kimaendeleo, kinyume na sisi tuna fikra za kichawi za kurudishana nyuma tu.
Ushahidi huu hapa:
Huwezi wavunja wote kabla awajakuvunja upaswi kuogopa kelele za churaTanzania Kuna watu wajinga na mambumbumbu sana so ukiwasikiliza hao utashindwa kujenga uchumi wa Nchi.
Ni kuwapuuza wakileta fyoko fyoko vunja mguu, haiwezekani mtu hana hela hana chochote Cha maana anasaidia Nchi Ina kazi yake ni kupotosha na kuchochea vurugu na kuharibu uchumi.
Unawavunja tuu,wako wapi kina Besigye,Yule msanii wa Uganda? Museveni kawafanyaje? Hata hapa Tzn wachache wanatakiwa kushughulikiwa iwe mfano.Huwezi wavunja wote kabla awajakuvunja upaswi kuogopa kelele za chura
Wacha udini wewe dogo. Kanisa ni tajiri kuanzia enzi za mfalme Suleimani.Haliwezi kua na shida SBB limechota sana
Mimi natamani sana DP World waanze kazi leo kabla ya kesho. Nafahamu faida zake. Namshuru Mwenyezi Mungu nilipata "exposure" kubwa sana duniani huko.
Naifahamu Dubai na jinsi wanavyofanya biashara zao kiuaminifu mkubwa sana.
Waulize wafanya biashara na wajasiriamali tu wanaofanya kazi zao na Dubai. Watakueleza.
At the huwezi wamaliza wote yupo wapi shujaa wa Africa.Unawavunja tuu,wako wapi kina Besigye,Yule msanii wa Uganda? Museveni kawafanyaje? Hata hapa Tzn wachache wanatakiwa kushughulikiwa iwe mfano.
bwana umenchekesha thana uku nmebebq tofar ritaniangukiya 😆
Chato kuna waarabu??Wacha udini wewe dogo. Kanisa ni tajiri kuanzia enzi za mfalme Suleimani.
Rekebishani huo mkataba tufanye Biashara.
Mimi nimemwoa Mwarabu pure kabisa, na ni Mwislamu.
Makesi uliyaona wewe??,hivi hizi porojo mtaacha lini?Sasa mbona wanamakesi lukuki katika nchi mbali mbali Duniani kuhusu huo uwekezaji ? Eeeeh ?!?!
Kwa nn unataka tuwe kama Kenya? Sisi watanganyika hatuwataki hao waarabu wapeni CCM, bunge, polisi na serikali ya ccm.Licha ya maandamano yanayoendelea Kenya, Rais Ruto amewakaribisha Saudi Arabia wawekeze wapendavyo na amewataka waitumie fursa ya kufunguwa viwanda kwani Kenya ina mikataba ya misamaha ya kodi ya bidhaa zake nchi za Ulaya.
Pia amewaahidi atawapa wafanyakazi million moja ndani ya muda mfupi, hivi sasa Kenya ina wafanyakazi laki mbili Saudi Arabia.
Katika maongezi hayo, Sai Arabia imewaahidi Kenya kuwapa mafuta ya gharama nafuu ndani ya miezi miwili ili kuwapunguzia tatizo la mfumko wa bei linalowakabili Kenya sasa hivi.
Sasa naelewa kwanini Kenya haina maliasili za kutosha lakini imetupita sana kiuchumi. Wana fikra za kimaendeleo, kinyume na sisi tuna fikra za kichawi za kurudishana nyuma tu.
Ushahidi huu hapa:
Wana kesi zaidi ya 5 ktk nchi mbalimbali na hawa jamaa kwa rushwa hawajambo!Makesi uliyaona wewe??,hivi hizi porojo mtaacha lini?