Rais Samia 2025 ana nafasi kubwa ya kushinda

Rais Samia 2025 ana nafasi kubwa ya kushinda

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
2025 Mama atashinda hilo halina ubishi kwani Haijawai tokea kwakweli. Rais anapendwa na watu namna hii.

Ameonyesha nia yake ya kupenda, kujali na kutekeleza yale yote aliyoyaahidi.

Haki✅
Usawa✅
Mishahara✅
Posho✅

Anayebisha aje na facts.
 
2025 Mama atashinda hilo halina ubishi kwani Haijawai tokea kwakweli. Rais anapendwa na watu namna hii.

Ameonyesha nia yake ya kupenda, kujali na kutekeleza yale yote aliyoyaahidi.

Haki✅
Usawa✅
Mishahara✅
Posho✅

Anayebisha aje na facts.
Sio hivyo sema na maendeleo kwenye sekta zote..

Zile hadithi zingine za Sukuma gang ndio kwishney kabisa..

Rais Samia anawawakikisha vyema wanawake kwenye Uongozi..
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Hii tabia ya kuingilia mambo ya mahakama si tulishayaacha? acha mahaka ifanye kazi yake. Wewe ukiitwa ueleze hayo unayosema utaweza kusema?
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Mke wa sabaya
 
2025 Mama atashinda hilo halina ubishi kwani Haijawai tokea kwakweli. Rais anapendwa na watu namna hii.

Ameonyesha nia yake ya kupenda, kujali na kutekeleza yale yote aliyoyaahidi.

Haki[emoji736]
Usawa[emoji736]
Mishahara[emoji736]
Posho[emoji736]

Anayebisha aje na facts.
Kushinda kwa haki sio rahisi
 
2025 Mama atashinda hilo halina ubishi kwani Haijawai tokea kwakweli. Rais anapendwa na watu namna hii.

Ameonyesha nia yake ya kupenda, kujali na kutekeleza yale yote aliyoyaahidi.

Haki[emoji736]
Usawa[emoji736]
Mishahara[emoji736]
Posho[emoji736]

Anayebisha aje na facts.
Atashinda mechi ya vikoba au atashinda na njaa?

Be well communicated on your matter and specific accordingly [emoji6][emoji19]
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya.
Siyo kazi ya Rais au kiongozi yoyote wa ccm kufurahisha tu viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani huku akiacha wanachama wa chama chake wakiteseka. Kesi ya Sabaya ni ya kisiasa pia imejaa uongo mwingi ndiyo maana alipokata rufaa mahakama ikatengua hukumu ya miaka 30 lakini Rais Samia yuko kimya.

Tunaanza kampeni rasmi ya kumchangia na kumuwekea wakili Sabaya kwenye kesi yake. Kama msaliti wa nchi mzee wa MIGA aliweza kuchangiwa ,sisi kama watanzania wazalendo hatuwezi kushindwa kumchangia Sabaya ambaye kwa uzalendo wake aliitoa wilaya ya Hai kutoka ya 63 kwenye ulipaji kodi hadi ikawa ya 4 kitaifa.
Hatuwezi kuhukumu watu kwa kusikiliza upande mmoja wa wanafiki chadema ambao hawana jema kwa nchi yetu.

Chadema kila kitu wanapinga na kuponda, walipinga ndege, bwawa la umeme, elimu bure, ujenzi wa viwanda kila kitu wao ni kupinga tu, Ndege zilipokamatwa walishangilia.
Ndiyo tuwasikilize? Hapana.

#Justice for SABAYA
#Free SABAYA
Kwa andiko lako hili una maana Rais Samia anaongozwa na genge la wauza madawa ya kulevya? Mods huyu mtu wenu anavuka mipaka na anachofanya ni kuvuruga mijadala kwa kuingiza mada zilizo nje ya mada iliyopo mezani. Anajivunia wingi wa ID zake nyingi,mkimpiga ban anaibuka na ID nyingine lakini hoja na staili yake ni ile ile.
 
2025 Mama atashinda hilo halina ubishi kwani Haijawai tokea kwakweli. Rais anapendwa na watu namna hii.

Ameonyesha nia yake ya kupenda, kujali na kutekeleza yale yote aliyoyaahidi.

Haki✅
Usawa✅
Mishahara✅
Posho✅

Anayebisha aje na facts.

Samia 2025 ana nafasi kubwa ya kushinda Iwapo kanda ya ziwa na Kaskazini mwa Tanzania wataumunga mkono kwa dhati.​

 
Samia kaanza kampeni zake mapema, kila afanyalo linalenga uchaguzi.
 
Na ndio maana nimesema ana nafasi kubwa maana anagusa kila sekta kwa namna yake.
Hatagombea huyo, anamalizia safari aliyoanza na jiwe. Alete kheri tu Kwa KATIBA mpya kuandikwa akiwepo. Tutamshukuru sana.
 
Samia atapigiwa kura hadi na chadema ili kumkomoa marehemu!

Yani lisu kama anawaza kugombea 2025 ahesabu maumivu
 

Samia 2025 ana nafasi kubwa ya kushinda Iwapo kanda ya ziwa na Kaskazini mwa Tanzania wataumunga mkono kwa dhati.​

Mtu yoyote yule,akiwekwa na CCM agombee Urais ni lazima ashinde! Labda wale kijani wenzanke wamfinyie kwa ndani huko kabla ya kumleta kwa Wapiga Kura, maana nao hao hata hawaaminiki wanamichezo ya ajabu sana sometimes!!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
2025 Mama atashinda hilo halina ubishi kwani Haijawai tokea kwakweli. Rais anapendwa na watu namna hii.

Ameonyesha nia yake ya kupenda, kujali na kutekeleza yale yote aliyoyaahidi.

Haki✅
Usawa✅
Mishahara✅
Posho✅

Anayebisha aje na facts.
Sijawahi kupiga kura ila naamini tukiwa hai nitapiga kura ya ndio kwa Mhe Samia Suluhu Hassan
 
Kwa mara ya kwanza namuona Rais Samia akipigiwa kura na vyama vyote vya upinzani.
 
Back
Top Bottom