Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Akamatwe kwanza Bashite
 
Utaku
Hongera Rais , kwa kuamua kulipa haki zao stahiki Mungu akubaliki sana . Katika hotuba yake leo amesema watumishi wa darasa la na vyeti feki walikuwa wakichangia mifuko ya hifadhi ya jamii hivyo amewataka waajiri wote kuhitimisha utumishi wao kwa kuwalipa stahiki zao . Sikikiza hotuba yake dakika ya 13 mpaka 16 .View attachment 1770203
Utakuta wewe nae una familia inakutegemea kweli?
Kama umesikiliza mwenyewe bado hujaelewa alimaanish nini basi una matatizo.
Rudia kusikiliza ndo uje na mapambio yasiokuwa na maana.

Najua muda si muda mtaanza matusi yenu kumbe ni kwa kutokujua kwenu nini kinasemwa.


Amesema wale walio ondolewa wa darasa la saba na wegine walilipwa na wengine hawajalipwa mafao yao
 
Utaku

Utakuta wewe nae una familia inakutegemea kweli?
Kama umesikiliza mwenyewe bado hujaelewa alimaanish nini basi una matatizo.
Rudia kusikiliza ndo uje na mapambio yasiokuwa na maana.

Najua muda si muda mtaanza matusi yenu kumbe ni kwa kutokujua kwenu nini kinasemwa.


Amesema wale walio ondolewa wa darasa la saba na wegine walilipwa na wengine hawajalipwa mafao yao
Familia yangu inakuhusu nini off point , mooderator angalii huyu mtu huku , waharibu mijadara .
 
Tunataka utawala wa sheria.. upinzani
Kutowalipa std 7 kuangalie ubinadamu sio sheria.

JPM hakuwa mpiga lamli...

RIP jembe
Maoni yako hayana ubinadamu wa kujua hawa watumishi walitumikia hii nchi kuliko hata Jiwe , Wana familia zao na mchango wait wa taifa upo na wamechangia mifuko ya hifadhi ya jamii .
 
Kama ulifanya kazi kwa jasho na ukachangia mifuko,lazima ulipwe,hatutaki dhulumati dhulumati
Vyeti fake ni jinai sasa alipwe ksha apelekwe mahakamani afungwe kwa udanganyifu kisha alipe ma fidia.
Je watakubali hilo?
 
Akamatwe kwanza Bashite
Kama tunarudi kinyumenyume kwa hili, basi washitakiwe kwanza kwa kubushi vyeti. Watakaoshinda kesi walipwe.
Watakaoshindwa kesi wawajibishwe.
Huo ndo utawala wa haki , sheria na uwajibikaji. Rais asilee utamaduni dhaifu wa yaliyopita si ndwele. Utamaduni huu hauna tija kwa taifa la vizazi vijavyo.
Sasa kamabuko timamu tuonyeshe wapi kasema wenye vyeti fake walipwe?
 
Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....

Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........

Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Kama hujui hujui tu ni bora kukaa kimya.
 
Back
Top Bottom