Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Swali langu daima limekuwa hili "Je wale wote waliofundishwa na wanaodaiwa kuwa na vyeti feki wakafaulu mitihani na wengine wana PHD wengine maofisa wakubwa nao waadhibiwe kama waalimu wao?" Mbona tunaangalia upande hasi pekee kwa nini hatuangalii na upande chanya pia kisha tukayapima na kutoa hukumu stahiki? Kuna watu walijiendeleza, wakafaulu mitihani, wakabobea katika fani zao, lakini kwa sababu ya jina tu wakapoteza haki zao bila kuangalia mazuri waliyoyafanya. Hiyo ni haki kweli?? Jamani angalieni na upande wa pili, msiwaumize kwa kuwa tu nyie mnadhani mko salama katika nafasi zenu. Maisha ni safari ndefu.
Pole
 
Ukimkeran mbowe watoto wanalala njaa

Jiiongezee umri umeenda mbowe akiondoka chadma wafa
Sasa kwa uandishi huu, wewe sio wa vyeti fake bali elimu fake yaani ngumbaru.
Mie sio underage mwenzako, nime retire na watoto wote ni graduate.
Sasa jibuni swali, kwa nini kadanganya taifa?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo Ni Kama mchepuko kudai fidia na matunzo kwa mtoto ambaye alimpata mafichoni na kwa wizi kupitia mume was mtu ... Malipo yake ni ile mishahara ya kudhurumu Zaid ya hapo apokwe Haki alizoiba ambazo sio zake kihalali.
 
Hiyo Ni Kama mchepuko kudai fidia na matunzo kwa mtoto ambaye alimpata mafichoni na kwa wizi kupitia mume was mtu ... Malipo yake ni ile mishahara ya kudhurumu Zaid ya hapo apokwe Haki alizoiba ambazo sio zake kihalali.
Sasa kwanini mdanganye ?
 
Sasa ni dhahiri kwamba wale walioondolewa kwenye ajira ya serikali kwa kile kilichoitwa vyeti vyao vya masomo ya sekondari ni feki, hawatolipwa chochote, hata ile michango yao tuliyoambiwa majuzi kwamba watalipwa ni hakika imeota mbawa.

Sitaki kurudia kulisema jambo hili kwa undani wake wote, maana linaeleweka na kila mtu.

Bali swali langu ni hili, aliyewadanganya wahanga hawa kwamba watalipwa michango yao huku akijua kwamba SERIKALI HAINA PESA WALA HAINA NIA YA KUWALIPA ni nani? Ni Rais Dkt. Samia ambaye alisikika akitamka hadharani kwamba walipwe kuanzia Novembba mosi, ni Waziri wa Utumishi au ni CCM chama ambacho nguzo yake kuu ni uongo?

Lengo la kuwadanganya wahanga hawa walioridhika na dhuluma waliyofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 na kuamua kumuachia Mungu lilikuwa nini hasa?
Hili jambo ni gumu kwenye utekelezaji hakuna Mtumishi wa Serikali aliyetayari ku risk maisha yake ya kazi huu utawala utapita lakini Serikali haitapita watakuja viongozi wengine watafungwa wote waliodhinisha malipo ya Bilioni 47 kwa watu ambao wameghushi vyeti. na hili hatumlaumu Rais ni makosa ya watu wake kumpelekea mambo ya uongo Rais ili ayatangaze apate sifa kwa wananchi. Hapa kuna mkono wa Kina Makamba na Nape
 
Hili jambo ni gumu kwenye utekelezaji hakuna Mtumishi wa Serikali aliyetayari ku risk maisha yake ya kazi huu utawala utapita lakini Serikali haitapita watakuja viongozi wengine watafungwa wote waliodhinisha malipo ya Bilioni 47 kwa watu ambao wameghushi vyeti. na hili hatumlaumu Rais ni makosa ya watu wake kumpelekea mambo ya uongo Rais ili ayatangaze apate sifa kwa wananchi. Hapa kuna mkono wa Kina Makamba na Nape
Kwani Rais hana analolijua hadi kila kitu apelekewe ?
 
Sasa ni dhahiri kwamba wale walioondolewa kwenye ajira ya serikali kwa kile kilichoitwa vyeti vyao vya masomo ya sekondari ni feki, hawatolipwa chochote, hata ile michango yao tuliyoambiwa majuzi kwamba watalipwa ni hakika imeota mbawa.

Sitaki kurudia kulisema jambo hili kwa undani wake wote, maana linaeleweka na kila mtu.

Bali swali langu ni hili, aliyewadanganya wahanga hawa kwamba watalipwa michango yao huku akijua kwamba SERIKALI HAINA PESA WALA HAINA NIA YA KUWALIPA ni nani? Ni Rais Dkt. Samia ambaye alisikika akitamka hadharani kwamba walipwe kuanzia Novembba mosi, ni Waziri wa Utumishi au ni CCM chama ambacho nguzo yake kuu ni uongo?

Lengo la kuwadanganya wahanga hawa walioridhika na dhuluma waliyofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 na kuamua kumuachia Mungu lilikuwa nini hasa?
Hawa ndio waliomuingiza chaka Rais wetu kuhusu Vyeti Feki wakiamini kwamba ukiwa Rais unaweza kuamua jambo lolote bila kuzingatia sheria
 
Hizi ni juhudi za kuendelea kumgombanisha Rais na wananchi. Hii ni mpango mahsusi ikiratibiwa na kijana wake mpenzi alie mpa wizara ya fedha akishirikiana kwa karibu sana na Sukuma gang ili Mama afeli yeye awe Rais.
Hakuna agizo Mama amewahi kutoa linalo husu pesa lijatekelezwa na Mwigulu. Nasema Mwigulu ndie mchonganishi wa Rais na wananchi. Days will tell..
 
Back
Top Bottom