Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Mi kwa mtazamo wangu naona kama angewaacha waliokuwa kwenye system, halafu ahakikishe hakuna mpya anayeingia na cheti feki.

Na pia kulipwa stahiki zao ni sahihi maana ni pesa yao, Mambo mengine yanataka busara sio pupa.
 
Mi kwa mtazamo wangu naona kama angewaacha waliokuwa kwenye system, halafu ahakikishe hakuna mpya anayeingia na cheti feki.

Na pia kulipwa stahiki zao ni sahihi maana ni pesa yao, Mambo mengine yanataka busara sio pupa.
Pesa zao zipi wakati wameiba vyeti na taaluma feki?

MAJIZI? WEZI? WALIPWE!

Eti fedha zao! zipi?
 
Uongozi wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kuweni na aibu wakati mwingine hivi unawezaje kumlipa mtu ambaye alikuibia ? kama ni msamaha mliwasamehe kwa kuwafuta kazi maana yake ni kwamba mshahara waliokuwa wanapata kupitia ajira ya vyeti hivyo mliona unatosha na kuwafuta kazi.

iweje leo watu walioghushi vyeti na kuibia serikali walipwe pesa za umma ! Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania asifikri kulipa malipo hayo ni sifa bali atakuwa amejichafua mwenyewe hii itamaanisha hakuna umakini uliopo katika serikali anayoiongoza.


kuna tetesi kuwa yale ma vyeti ya posta kila mtu ananunua kwa wakati wake na wa nunuzi wakuu ni watu ambao walishapata ajira serikalini na hununua waliowengi ili waweze kupanda madaraja kulingana na elimu zao kwa sasa kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake.


Baada ya kuielewa ccm vyema na serikali kwakweli hata mimi nimeona nianze kujiongeza kwa baadhi ya mambo ili mradi nisije kupata tatizo lolote.
nchi hii ukijifanya mzalendo wa kila kitu utakufa masikini.


Ushahidi mkubwa nilioona ni pale mwenyekiti wa chama cha ccm na raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania ambao alianza kutukana wakosoaji wake ndani ya chama kwa kusema mtu anayejuwa itikadi za chama hawezi kuleta nongwa hii alimaanisha hataki watu wakosoe mabaya yanayofanyika ndani ya nchi hasa ukiwa ndani ya ccm, sasa ajue kuwa nchi hii siyo miliki ya ccm ataondoka ataiacha na hawezi juwa ni viongiozi gani watakuja asishangae akaitwa mahakamani kwa makosa aliyoyafanya akiwa raisi, lipa vyeti feki hiyo haifutiki siku moja utaulizwa maswali.

Ni Tanzania pekee mtu anaweza kuwa na PhD fake na bado akawa rais wa nchi, kichekesho eti na yeye akawa anapambana na vyeti fake!
 
Mleta mada huna lolote. Hapa umepindisha hoja tu Lakini lengo lako ji kujaribu kulinda legacy ya yule mwendawazimu aliyekosa utu na kujitwika unyama akaamu kuwa muuaji, mtekaji na mpora fedha za watu.

Sukuma gang OG wewe. Njoo kivingine wenye akili tumekustukia.

Mama ameigalagaza legacy ya yule Mungu wenu wa Chato.
 
Nafikiria hivi. Mtu amekuibia kamera; akaenda kupiga picha nzuri tu. Je ukimkamata nayo utamwambia akatoe picha alizokiwisha piga akurudishie kamera yako au utaichukua kwa nguvu bila kujali alishapiga picha ngapi.
 
Ni fedha walizokuwa wanakatwa kwenye mishahara yao, hivyo ni zao.
Mishahara ya wizi iliyotokana na taaluma ya wizi??

Upumbavu! Majizi yanalipwa badala ya kusota jela! Duuh! Nchi ya kibwege hii!

Kuanzia Rais mpaka wananchi ni MATABURALASA.

Majizi yanalipwa! Eti Ruzuku! LAHAULAH!
 
Mleta mada huna lolote. Hapa umepindisha hoja tu Lakini lengo lako ji kujaribu kulinda legacy ya yule mpumbavu, mwendawazimu aliyekosa utu na kujitwika unyama akaamu kuwa muuaji, mtekaji na mpora fedha za watu.

Sukuma gang OG wewe. Njoo kivingine wenye akili tumekustukia.

Mama ameigalagaza legacy ya yule Mungu wenu wa Chato.
sexless[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] mnufaika mkuu wa mfumo wewe unawaza legacy na sukuma gang sisi tunasema uhalisia uliopo! subiri mama akose fedha za kulipa watumishi wa umma ndiyo uendelee kuniita sukuma gang bahati nzuri alushasema serikali kibubu kimeisha wewe endelea na mapambio yasiyokuwa na msingi kwa kuniita sukuma gang lamba asali ni wakati wako.
 
Mleta mada huna lolote. Hapa umepindisha hoja tu Lakini lengo lako ji kujaribu kulinda legacy ya yule mpumbavu, mwendawazimu aliyekosa utu na kujitwika unyama akaamu kuwa muuaji, mtekaji na mpora fedha za watu.

Sukuma gang OG wewe. Njoo kivingine wenye akili tumekustukia.

Mama ameigalagaza legacy ya yule Mungu wenu wa Chato.
Kwahiyo unasuburi kulipwa RUZUKU YA VYETI FEKI!? LAHAULAH!

Vilaza mnatamba sana hii awamu!

Mnalipwa ruzuku ya kuiba vyeti!! Yesuuu na Maria!
 
Mleta mada huna lolote. Hapa umepindisha hoja tu Lakini lengo lako ji kujaribu kulinda legacy ya yule mpumbavu, mwendawazimu aliyekosa utu na kujitwika unyama akaamu kuwa muuaji, mtekaji na mpora fedha za watu.

Sukuma gang OG wewe. Njoo kivingine wenye akili tumekustukia.

Mama ameigalagaza legacy ya yule Mungu wenu wa Chato.
Hivi umeolewa kweli?
 
sexless anamalipo yake hapa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] maana povu limemtoka hata mada hajaielewa amekuja na maneno ya sukuma gang[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji3][emoji116]
JamiiForums-1013859745.jpg
 
Kuna jamaa yangu mama yake wa kambo kakomba zaidi ya 300 million wakati wasimamizi wa mirathi wawili.

Kwaiyo Tanzania kugushi kama fasheni na kuna wanufaika wa kugushi.
 
Uongozi wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kuweni na aibu wakati mwingine hivi unawezaje kumlipa mtu ambaye alikuibia ? kama ni msamaha mliwasamehe kwa kuwafuta kazi maana yake ni kwamba mshahara waliokuwa wanapata kupitia ajira ya vyeti hivyo mliona unatosha na kuwafuta kazi.

iweje leo watu walioghushi vyeti na kuibia serikali walipwe pesa za umma ! Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania asifikri kulipa malipo hayo ni sifa bali atakuwa amejichafua mwenyewe hii itamaanisha hakuna umakini uliopo katika serikali anayoiongoza.


kuna tetesi kuwa yale ma vyeti ya posta kila mtu ananunua kwa wakati wake na wa nunuzi wakuu ni watu ambao walishapata ajira serikalini na hununua waliowengi ili waweze kupanda madaraja kulingana na elimu zao kwa sasa kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake.


Baada ya kuielewa ccm vyema na serikali kwakweli hata mimi nimeona nianze kujiongeza kwa baadhi ya mambo ili mradi nisije kupata tatizo lolote.
nchi hii ukijifanya mzalendo wa kila kitu utakufa masikini.


Ushahidi mkubwa nilioona ni pale mwenyekiti wa chama cha ccm na raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania ambao alianza kutukana wakosoaji wake ndani ya chama kwa kusema mtu anayejuwa itikadi za chama hawezi kuleta nongwa hii alimaanisha hataki watu wakosoe mabaya yanayofanyika ndani ya nchi hasa ukiwa ndani ya ccm, sasa ajue kuwa nchi hii siyo miliki ya ccm ataondoka ataiacha na hawezi juwa ni viongiozi gani watakuja asishangae akaitwa mahakamani kwa makosa aliyoyafanya akiwa raisi, lipa vyeti feki hiyo haifutiki siku moja utaulizwa maswali.

Ni Tanzania pekee mtu anaweza kuwa na PhD fake na bado akawa rais wa nchi, kichekesho eti na yeye akawa anapambana na vyeti fake
 
  • Thanks
Reactions: ovi
Jamani ni pesa za kwenye mifuko ya kijamii walizokuwa wanakatwa .....kumbuka ni jasho lao
 
Mi kwa mtazamo wangu naona kama angewaacha waliokuwa kwenye system, halafu ahakikishe hakuna mpya anayeingia na cheti feki.

Na pia kulipwa stahiki zao ni sahihi maana ni pesa yao, Mambo mengine yanataka busara sio pupa.
Busara unambusaria mwizi tumia akili kuwaza walivyokula vinawatosha waridhike na afadhari Kuliko kutaka zaidi
 
Mi kwa mtazamo wangu naona kama angewaacha waliokuwa kwenye system, halafu ahakikishe hakuna mpya anayeingia na cheti feki.

Na pia kulipwa stahiki zao ni sahihi maana ni pesa yao, Mambo mengine yanataka busara sio pupa.
Jela Sio haki Yao au tuwalipe alafu tuwafunge basi hii unaionaje mkuu

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Nafikiria hivi. Mtu amekuibia kamera; akaenda kupiga picha nzuri tu. Je ukimkamata nayo utamwambia akatoe picha alizokiwisha piga akurudishie kamera yako au utaichukua kwa nguvu bila kujali alishapiga picha ngapi.
Unauhakika gani ni picha nzuri wakati ni taifa maskini na hao ni kati ya waliokuwa wanauboresha huo umaskini katika ofisi za umma [emoji3]

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Uongozi wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kuweni na aibu wakati mwingine hivi unawezaje kumlipa mtu ambaye alikuibia ? kama ni msamaha mliwasamehe kwa kuwafuta kazi maana yake ni kwamba mshahara waliokuwa wanapata kupitia ajira ya vyeti hivyo mliona unatosha na kuwafuta kazi.

iweje leo watu walioghushi vyeti na kuibia serikali walipwe pesa za umma ! Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania asifikri kulipa malipo hayo ni sifa bali atakuwa amejichafua mwenyewe hii itamaanisha hakuna umakini uliopo katika serikali anayoiongoza.


kuna tetesi kuwa yale ma vyeti ya posta kila mtu ananunua kwa wakati wake na wa nunuzi wakuu ni watu ambao walishapata ajira serikalini na hununua waliowengi ili waweze kupanda madaraja kulingana na elimu zao kwa sasa kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake.


Baada ya kuielewa ccm vyema na serikali kwakweli hata mimi nimeona nianze kujiongeza kwa baadhi ya mambo ili mradi nisije kupata tatizo lolote.
nchi hii ukijifanya mzalendo wa kila kitu utakufa masikini.


Ushahidi mkubwa nilioona ni pale mwenyekiti wa chama cha ccm na raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania ambao alianza kutukana wakosoaji wake ndani ya chama kwa kusema mtu anayejuwa itikadi za chama hawezi kuleta nongwa hii alimaanisha hataki watu wakosoe mabaya yanayofanyika ndani ya nchi hasa ukiwa ndani ya ccm, sasa ajue kuwa nchi hii siyo miliki ya ccm ataondoka ataiacha na hawezi juwa ni viongiozi gani watakuja asishangae akaitwa mahakamani kwa makosa aliyoyafanya akiwa raisi, lipa vyeti feki hiyo haifutiki siku moja utaulizwa maswali.
Nina wasiwasi Erythrocyte naye alighushi cheti cha form four, kutokana na kutetea huu uozo
 
Mi kwa mtazamo wangu naona kama angewaacha waliokuwa kwenye system, halafu ahakikishe hakuna mpya anayeingia na cheti feki.

Na pia kulipwa stahiki zao ni sahihi maana ni pesa yao, Mambo mengine yanataka busara sio pupa.
Kwa stahiki zao zipi wakati waliingia kimakosa? Kuna watu walikosa kazi wakati wana vyeti halali, hivyo feki waliwazibia iweje walipwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom