swali nililoweka ni gumu sana kwako kujibu.Unauhakika gani ni picha nzuri wakati ni taifa maskini na hao ni kati ya waliokuwa wanauboresha huo umaskini katika ofisi za umma [emoji3]
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Ameona nini ?Umeona eee...
Mkuu kama umesoma zamani changamoto za kununua majina zilikuwepo, lakini kwa kutumia busara wangeachwa tuKwa stahiki zao zipi wakati waliingia kimakosa? Kuna watu walikosa kazi wakati wana vyeti halali, hivyo feki waliwazibia iweje walipwe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Thibitisha wizi wetuWezi wakubwa nyie
Nchi yenu haina ajiraJaman kuna wenye vyeti halali pia wako mitaani miaka mitano after chuo mpaka wengine sita wanajiita mashangazi then mnakuja bado mnashuhulika na waliokuwa wameidanganya serikali na wakalipwa salaries. Tuwe fair. Hao ninaowasemea wanajisikiaje wakisikia walionunua vyeti bado wanalipwa mafao..?
Watalipwa hutaki kajinyongeUongozi wa serikali ya jamhuri ya muungano wa tanzania kuweni na aibu wakati mwingine hivi unawezaje kumlipa mtu ambaye alikuibia ? kama ni msamaha mliwasamehe kwa kuwafuta kazi maana yake ni kwamba mshahara waliokuwa wanapata kupitia ajira ya vyeti hivyo mliona unatosha na kuwafuta kazi.
iweje leo watu walioghushi vyeti na kuibia serikali walipwe pesa za umma ! Raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania asifikri kulipa malipo hayo ni sifa bali atakuwa amejichafua mwenyewe hii itamaanisha hakuna umakini uliopo katika serikali anayoiongoza.
kuna tetesi kuwa yale ma vyeti ya posta kila mtu ananunua kwa wakati wake na wa nunuzi wakuu ni watu ambao walishapata ajira serikalini na hununua waliowengi ili waweze kupanda madaraja kulingana na elimu zao kwa sasa kila mtu anakula kulingana na urefu wa kamba yake.
Baada ya kuielewa ccm vyema na serikali kwakweli hata mimi nimeona nianze kujiongeza kwa baadhi ya mambo ili mradi nisije kupata tatizo lolote.
nchi hii ukijifanya mzalendo wa kila kitu utakufa masikini.
Ushahidi mkubwa nilioona ni pale mwenyekiti wa chama cha ccm na raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania ambao alianza kutukana wakosoaji wake ndani ya chama kwa kusema mtu anayejuwa itikadi za chama hawezi kuleta nongwa hii alimaanisha hataki watu wakosoe mabaya yanayofanyika ndani ya nchi hasa ukiwa ndani ya ccm, sasa ajue kuwa nchi hii siyo miliki ya ccm ataondoka ataiacha na hawezi juwa ni viongiozi gani watakuja asishangae akaitwa mahakamani kwa makosa aliyoyafanya akiwa raisi, lipa vyeti feki hiyo haifutiki siku moja utaulizwa maswali.
Utabadili ID weee lakini haisaidii.Wadau wenzangu,awali ya yote naomba nijitokeze pasipo uoga na kwa ujasiri kumpongeza Raisi wetu mpendwa Mama Samia kwa juhudi zako za kuiendesha nchi na kufanikisha yale yote mliyoanzisha wewe na mtangulizi wako Marehemu Magufuli pia kuleta mapya ya kuhakikisha wananchi wako tunafurahia matunda ya kodi zetu bila kutapanya misaada na mikopo tuipatayo toka kwa wahisani.
Mama Samia mimi ni mhanga wa kuondolewa kazini kwa cheti feki.Naomba kwa niaba ya wenzangu nilete shukrani zetu kwako kwa kutambua mchango wetu,juhudi na bidii zetu kwenye kujenga nchi yetu,na Ukaamuru tulipwe stahiki zetu zile tulizochangia kwenye uchumi wa Tanzania yetu.
Japo hatujalipwa bado,lakini tunaendelea kuwa na imani na serikali yako kwamba siku moja tutapata haki yetu,maana kauli ya Raisi ni amri kwa watendaji wote wa serikali. Mwisho niwaombe wenzangu msione aibu kujitokeza hapa hadharani,kujibu hoja za wasioelewa kwamba si wote walioondolewa kazini kwamba walikuwa si halali.
Sitamsemea mtu,tusubiri mjadala kama mode hawataondoa andiko hili,natumaini, maswali na kejeli vyote vitajibiwa.
Ahsante
Kujipa cheti Cha division 1 point kadhaa ,,Thibitisha wizi wetu
Wadau wenzangu,awali ya yote naomba nijitokeze pasipo uoga na kwa ujasiri kumpongeza Raisi wetu mpendwa Mama Samia kwa juhudi zako za kuiendesha nchi na kufanikisha yale yote mliyoanzisha wewe na mtangulizi wako Marehemu Magufuli pia kuleta mapya ya kuhakikisha wananchi wako tunafurahia matunda ya kodi zetu bila kutapanya misaada na mikopo tuipatayo toka kwa wahisani.
Mama Samia mimi ni mhanga wa kuondolewa kazini kwa cheti feki.Naomba kwa niaba ya wenzangu nilete shukrani zetu kwako kwa kutambua mchango wetu,juhudi na bidii zetu kwenye kujenga nchi yetu,na Ukaamuru tulipwe stahiki zetu zile tulizochangia kwenye uchumi wa Tanzania yetu.
Japo hatujalipwa bado,lakini tunaendelea kuwa na imani na serikali yako kwamba siku moja tutapata haki yetu,maana kauli ya Raisi ni amri kwa watendaji wote wa serikali. Mwisho niwaombe wenzangu msione aibu kujitokeza hapa hadharani,kujibu hoja za wasioelewa kwamba si wote walioondolewa kazini kwamba walikuwa si halali.
Sitamsemea mtu,tusubiri mjadala kama mode hawataondoa andiko hili,natumaini, maswali na kejeli vyote vitajibiwa.
Ahsante