Malata Junior
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 3,104
- 2,550
Akamatwe kwanza BashiteKwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....
Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........
Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......
Hebu acheni kuitia nchi katika laana kisa roho za uzulumati , laana nyingine ya watu ,waliouawa ,tekwa ,fungwa kwenye viroba ,inalitesa taifa hili bado mnataka na kudhulumu mafao yao tena ?.Usihalalishe uvunjifu wa sheria kisa ubinadamu.
Walipwe mafao yao kisha sheria ya kughushi ichukue mkondo wake.Hebu acheni kuitia nchi katika laana kisa roho za uzulumati , laana nyingine ya watu ,waliouawa ,tekwa ,fungwa kwenye viroba ,inalitesa taifa hili bado mnataka na kudhulumu mafao yao tena ?.
Utakuta wewe nae una familia inakutegemea kweli?Hongera Rais , kwa kuamua kulipa haki zao stahiki Mungu akubaliki sana . Katika hotuba yake leo amesema watumishi wa darasa la na vyeti feki walikuwa wakichangia mifuko ya hifadhi ya jamii hivyo amewataka waajiri wote kuhitimisha utumishi wao kwa kuwalipa stahiki zao . Sikikiza hotuba yake dakika ya 13 mpaka 16 .View attachment 1770203
Maoni yako hayana ubinadamu wa kujua hawa watumishi walitumikia hii nchi kuliko hata Jiwe , Wana familia zao na mchango wait wa taifa upo na wamechangia mifuko ya hifadhi ya jamii .Mimi sijazuia watu wasilipwe bali nimetoa tu maoni yangu kama wachangiaji wengine.....je ni dhambi kufanya hivyo.....?
Akishafunga watu zaidi 1000 ww utapata amani....Walipwe mafao yao kisha sheria ya kughushi ichukue mkondo wake.
Kwani wezi nao hulipwa?Kama ulifanya kazi kwa jasho na ukachangia mifuko,lazima ulipwe,hatutaki dhulumati dhulumati
Kwani wezi nao hulipwa?Kama ulifanya kazi kwa jasho na ukachangia mifuko,lazima ulipwe,hatutaki dhulumati dhulumati
Kwani wewe ni kati ya hao wa vyeti fake mkuu??Akishafunga watu zaidi 1000 ww utapata amani....
Familia yangu inakuhusu nini off point , mooderator angalii huyu mtu huku , waharibu mijadara .Utaku
Utakuta wewe nae una familia inakutegemea kweli?
Kama umesikiliza mwenyewe bado hujaelewa alimaanish nini basi una matatizo.
Rudia kusikiliza ndo uje na mapambio yasiokuwa na maana.
Najua muda si muda mtaanza matusi yenu kumbe ni kwa kutokujua kwenu nini kinasemwa.
Amesema wale walio ondolewa wa darasa la saba na wegine walilipwa na wengine hawajalipwa mafao yao
Maoni yako hayana ubinadamu wa kujua hawa watumishi walitumikia hii nchi kuliko hata Jiwe , Wana familia zao na mchango wait wa taifa upo na wamechangia mifuko ya hifadhi ya jamii .
Vyeti fake ni jinai sasa alipwe ksha apelekwe mahakamani afungwe kwa udanganyifu kisha alipe ma fidia.Kama ulifanya kazi kwa jasho na ukachangia mifuko,lazima ulipwe,hatutaki dhulumati dhulumati
Sasa kama uko timamu tuonyeshe wapi kasema wenye vyeti fake walipwe?Familia yangu inakuhusu nini off point , mooderator angalii huyu mtu huku , waharibu mijadara .
Wameiba nini ? Aliyeiba tilioni 1.5 hukumuona ? Halafu ndio akafukuza waliochangia taifa kuzidi hata na yeye . Yeye alichangia kitia hasara taifa angalia ripoti za CAG .Kwani wezi nao hulipwa?
Kama tunarudi kinyumenyume kwa hili, basi washitakiwe kwanza kwa kubushi vyeti. Watakaoshinda kesi walipwe.Akamatwe kwanza Bashite
Sasa kamabuko timamu tuonyeshe wapi kasema wenye vyeti fake walipwe?
Magufuli mwenyewe aligushi thesis yake ya PhD!Makosa hayaangalii mtu.....
Mfano kina Bashite .Hivi unawajua wanasiasa kuwa wanaongoza kwa kughushi .
Ukweli mchungu kwa mataga a k a chawa wa mwendazake .Magufuli mwenyewe aligushi thesis yake ya PhD!
Kama hujui hujui tu ni bora kukaa kimya.Kwa hili nadhani mama Samia ameliwazia kisiasa zaidi badala ya kiweledi.....
Mtu aliyeghushi vyeti vya kitaaluma ni mhalifu na angetakiwa awe jela......wanasiasa wetu wana akili ndogo sana, daima wanawaza kutoa kauli na matamko yatayowafurahisha wapiga kura ili waendelee kubakia utawalani........
Mtu anayekalia nafasi ambayo ametumia njia za udanganyifu kuipata anazuia nafasi kwa wengine waliovuja jasho kwa ajili ya nafasi hiyo.......