Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Sasa ni dhahiri kwamba Wale walioondolewa kwenye ajira ya serikali kwa kile kilichoitwa vyeti vyao vya masomo ya sekondari ni feki , hawatolipwa chochote , hata ile michango yao tuliyoambiwa majuzi kwamba watalipwa ni hakika imeota mbawa .

Sitaki kurudia kulisema jambo hili kwa undani wake wote , maana linaeleweka na kila mtu .

Bali swali langu ni hili , Aliyewadanganya Wahanga hawa kwamba watalipwa michango yao , huku akijua kwamba SERIKALI HAINA PESA WALA HAINA NIA YA KUWALIPA ni nani ? Ni Mh Rais Dkt Samia ambaye alisikika akitamka hadharani kwamba walipwe kuanzia Novembba mosi , Ni Waziri wa Utumishi au ni CCM chama ambacho nguzo yake kuu ni Uongo ?

Lengo la kuwadanganya wahanga hawa walioridhika na dhuluma waliyofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 na kuamua kumuachia Mungu lilikuwa nini hasa ?
 

Attachments

  • 76C2B670-54B8-470B-B4F1-8C8189D552D1.jpeg
    76C2B670-54B8-470B-B4F1-8C8189D552D1.jpeg
    76.1 KB · Views: 1
Sasa ni dhahiri kwamba Wale walioondolewa kwenye ajira ya serikali kwa kile kilichoitwa vyeti vyao vya masomo ya sekondari ni feki , hawatolipwa chochote , hata ile michango yao tuliyoambiwa majuzi kwamba watalipwa ni hakika imeota mbawa .

Sitaki kurudia kulisema jambo hili kwa undani wake wote , maana linaeleweka na kila mtu .

Bali swali langu ni hili , Aliyewadanganya Wahanga hawa kwamba watalipwa michango yao , huku akijua kwamba SERIKALI HAINA PESA WALA HAINA NIA YA KUWALIPA ni nani ? Ni Mh Rais Dkt Samia ambaye alisikika akitamka hadharani kwamba walipwe kuanzia Novembba mosi , Ni Waziri wa Utumishi au ni CCM chama ambacho nguzo yake kuu ni Uongo ?

Lengo la kuwadanganya wahanga hawa walioridhika na dhuluma waliyofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 na kuamua kumuachia Mungu lilikuwa nini hasa ?

 
Yani mtu alifeli sa saba au form four, akaamua kuchukua cheti cha ndugu au rafiki yake ambaye either hakutaka kuendelea na shule au alishasoma mda, akaingia chuo na kumaliza shule huku anaitwa Najenjwa badala ya Naomi, leo tumuite MUHANGA? Mtu mwizi, kaghushi vyeti anaitwaje MUHANGA?

Sisi tuendelee tu kuwa taifa la hovyo.
Swali langu daima limekuwa hili "Je wale wote waliofundishwa na wanaodaiwa kuwa na vyeti feki wakafaulu mitihani na wengine wana PHD wengine maofisa wakubwa nao waadhibiwe kama waalimu wao?" Mbona tunaangalia upande hasi pekee kwa nini hatuangalii na upande chanya pia kisha tukayapima na kutoa hukumu stahiki? Kuna watu walijiendeleza, wakafaulu mitihani, wakabobea katika fani zao, lakini kwa sababu ya jina tu wakapoteza haki zao bila kuangalia mazuri waliyoyafanya. Hiyo ni haki kweli?? Jamani angalieni na upande wa pili, msiwaumize kwa kuwa tu nyie mnadhani mko salama katika nafasi zenu. Maisha ni safari ndefu.
 
Sasa ni dhahiri kwamba Wale walioondolewa kwenye ajira ya serikali kwa kile kilichoitwa vyeti vyao vya masomo ya sekondari ni feki , hawatolipwa chochote , hata ile michango yao tuliyoambiwa majuzi kwamba watalipwa ni hakika imeota mbawa .

Sitaki kurudia kulisema jambo hili kwa undani wake wote , maana linaeleweka na kila mtu .

Bali swali langu ni hili , Aliyewadanganya Wahanga hawa kwamba watalipwa michango yao , huku akijua kwamba SERIKALI HAINA PESA WALA HAINA NIA YA KUWALIPA ni nani ? Ni Mh Rais Dkt Samia ambaye alisikika akitamka hadharani kwamba walipwe kuanzia Novembba mosi , Ni Waziri wa Utumishi au ni CCM chama ambacho nguzo yake kuu ni Uongo ?

Lengo la kuwadanganya wahanga hawa walioridhika na dhuluma waliyofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 na kuamua kumuachia Mungu lilikuwa nini hasa ?
Hizi ni juhudi za kuendelea kumgombanisha Rais na wananchi. Hii ni mpango mahsusi ikiratibiwa na kijana wake mpenzi alie mpa wizara ya fedha akishirikiana kwa karibu sana na Sukuma gang ili Mama afeli yeye awe Rais.
Hakuna agizo Mama amewahi kutoa linalo husu pesa lijatekelezwa na Mwigulu. Nasema Mwigulu ndie mchonganishi wa Rais na wananchi. Days will tell..
 
Yani mtu alifeli sa saba au form four, akaamua kuchukua cheti cha ndugu au rafiki yake ambaye either hakutaka kuendelea na shule au alishasoma mda, akaingia chuo na kumaliza shule huku anaitwa Najenjwa badala ya Naomi, leo tumuite MUHANGA? Mtu mwizi, kaghushi vyeti anaitwaje MUHANGA?

Sisi tuendelee tu kuwa taifa la hovyo.
Wewe ndiye wa hovyo!

Hujui hata unachopigia kelele!

Una roho ya korosho ya dhuluma.
 
Swali langu daima limekuwa hili "Je wale wote waliofundishwa na wanaodaiwa kuwa na vyeti feki wakafaulu mitihani na wengine wana PHD wengine maofisa wakubwa nao waadhibiwe kama waalimu wao?" Mbona tunaangalia upande hasi pekee kwa nini hatuangalii na upande chanya pia kisha tukayapima na kutoa hukumu stahiki? Kuna watu walijiendeleza, wakafaulu mitihani, wakabobea katika fani zao, lakini kwa sababu ya jina tu wakapoteza haki zao bila kuangalia mazuri waliyoyafanya. Hiyo ni haki kweli?? Jamani angalieni na upande wa pili, msiwaumize kwa kuwa tu nyie mnadhani mko salama katika nafasi zenu. Maisha ni safari ndefu.
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Swali langu daima limekuwa hili "Je wale wote waliofundishwa na wanaodaiwa kuwa na vyeti feki wakafaulu mitihani na wengine wana PHD wengine maofisa wakubwa nao waadhibiwe kama waalimu wao?" Mbona tunaangalia upande hasi pekee kwa nini hatuangalii na upande chanya pia kisha tukayapima na kutoa hukumu stahiki? Kuna watu walijiendeleza, wakafaulu mitihani, wakabobea katika fani zao, lakini kwa sababu ya jina tu wakapoteza haki zao bila kuangalia mazuri waliyoyafanya. Hiyo ni haki kweli?? Jamani angalieni na upande wa pili, msiwaumize kwa kuwa tu nyie mnadhani mko salama katika nafasi zenu. Maisha ni safari ndefu.
Wakati wanaghushi vyeti hawakujua kuwa ni kosa kisheria. Unapoleta huruma zisizo na msingi katika vitu sensitive kama elimu unakosea sana mkuu.

Zamani sisi tulikuwa tunarudia darasa baada ya kufeli shule, kwa nini wao wakaamua kutumia shortcut ya kununua vyeti vya ndugu zao badala ya kurudia madarasa na mitihani?

Ukitetea ujinga kisa huruma ndio tunaishia kuwa taifa pa hovyo kabisa.
 
Sasa ni dhahiri kwamba Wale walioondolewa kwenye ajira ya serikali kwa kile kilichoitwa vyeti vyao vya masomo ya sekondari ni feki , hawatolipwa chochote , hata ile michango yao tuliyoambiwa majuzi kwamba watalipwa ni hakika imeota mbawa .

Sitaki kurudia kulisema jambo hili kwa undani wake wote , maana linaeleweka na kila mtu .

Bali swali langu ni hili , Aliyewadanganya Wahanga hawa kwamba watalipwa michango yao , huku akijua kwamba SERIKALI HAINA PESA WALA HAINA NIA YA KUWALIPA ni nani ? Ni Mh Rais Dkt Samia ambaye alisikika akitamka hadharani kwamba walipwe kuanzia Novembba mosi , Ni Waziri wa Utumishi au ni CCM chama ambacho nguzo yake kuu ni Uongo ?

Lengo la kuwadanganya wahanga hawa walioridhika na dhuluma waliyofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 na kuamua kumuachia Mungu lilikuwa nini hasa ?
Watalipwa na hilo halina ubishi sasa sijui wewe linakuuma nini.
Kama una upeo mdogo utasema hawalipwi.

Ila utaratibu wa kulipwa upo palepale kama taratibu zimefatwa kama ilivyoelekezwa.
Uchambuzi unafanyika ili kusiwe na hasara either kwa mfanyakazi au mifuko kumbuka kuna walokua wanachangia 10% na wengine 5% kulingana na mikataba ya ajira zao.
Hawawezi kulipa malipo feki kwa wafanyakazi walokuwa na vyeti feki.
 
Yaaani mtu amefanaya kosa la jinai anaambiwa alidhurumiwa!
Je wale waliokuwa majumbani na vyeti vyao halisi wao walisoma bure et.
Mtu asote kusoma tena kwa shida halafu atokee mtu hana shule aajiliwe kweli!
Tena ningekuwa mimi ndiye rais ningesweka ndani wote.
Mbaaafuuuu.
 
Sasa ni dhahiri kwamba Wale walioondolewa kwenye ajira ya serikali kwa kile kilichoitwa vyeti vyao vya masomo ya sekondari ni feki , hawatolipwa chochote , hata ile michango yao tuliyoambiwa majuzi kwamba watalipwa ni hakika imeota mbawa .

Sitaki kurudia kulisema jambo hili kwa undani wake wote , maana linaeleweka na kila mtu .

Bali swali langu ni hili , Aliyewadanganya Wahanga hawa kwamba watalipwa michango yao , huku akijua kwamba SERIKALI HAINA PESA WALA HAINA NIA YA KUWALIPA ni nani ? Ni Mh Rais Dkt Samia ambaye alisikika akitamka hadharani kwamba walipwe kuanzia Novembba mosi , Ni Waziri wa Utumishi au ni CCM chama ambacho nguzo yake kuu ni Uongo ?

Lengo la kuwadanganya wahanga hawa walioridhika na dhuluma waliyofanyiwa na serikali ya awamu ya 5 na kuamua kumuachia Mungu lilikuwa nini hasa ?
Wakati ukishabikia, wenye akili tulikuonya ila kutokana na kibri chako cha uandishi wa habari na uchadema wako mbuzi, ukatuona juha
 
Actually wamerudishiwa/wameanza kurudishiwa michango yao. Ninamfahamu mmoja kalipwa. Alikuwa Mwalimu
 
Back
Top Bottom