Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #121
Endelea kuyahifadhi..ila uwe unapita mara moja moja kuangalia hali yake ipoje hususan kama umepiga dawa ya maji .maana wengine wanaweka vidonge badala ya kupiga dawa.kwa hiyo aliyeweka kidonge hatakiwi kufungua fungua mlango mahali alipohifadhia mazao yake.Dawa yamepigwa vizuri sana.