Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allah amzidishie mama Samia kila la heri, usikivu, utulivu na busara na subra.
Alilolifanya ni kubwa sana tena sana, maana wiki moja kabla aliwaongeza 100, sasa kawaongeza 100 nyingine.
Kwanza chakula, halafu mengine.Asiishie kwenye mahindi tu, aongeze na kwenye pamba, korosho
Sawa mamaaKwanza chakula, halafu mengine.
Sio sifuri itaongezwa buku kabisa.
Anaeota ni Mimi au wewe? Si ajabu una stress maana hujiamini na huna uhakika na unachokiota 😁😁
Kwa hakika Mwenyezi Mungu aendelee kumtunza na kumbariki sana Rais wetu kwa kazi kubwa na njema anayoifanya katika kugusa Maisha ya mamilioni ya watanzania.Allah amzidishie mama Samia kila la heri, usikivu, utulivu na busara na subra.
Alilolifanya ni kubwa sana tena sana, maana wiki moja kabla aliwaongeza 100, sasa kawaongeza 100 nyingine.
Asiishie kwenye mahindi tu, aongeze na kwenye pamba, korosho
Asiishie kwenye mahindi tu, aongeze na kwenye pamba, korosho
[/Q
Kila mtu atafikiwa na mkono wa Mheshimiwa Rais maana Rais wetu ni mwenye upendo na huruma na mwenye kujali maisha ya watanzania.ndio maana anaendelea kuwa msikivu na kujibu kero za kila mtanzania na kwa kila kundi.
15 July 2024Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Umekosea kuandika, Rais hajasema hivyo! "Mia 700" uliyoandika ni sawa na elfu 7, yaani mia zikiwa 700 inakuwa 7,000. Ungeandika mia 7 yaani mia zikiwa 7 inakuwa 700.Ndugu zangu Watanzania,
Tuwe tunaeleweka tunaposema ya kuwa Rais Samia ni mpango wa Mungu Mwenyewe , Ameinuliwa na mkono wa Mungu Mwenyewe, aliandaliwa na Mungu Mwenyewe kuja kuliongoza Taifa letu, amefika hapo alipo kwa mpango wa Mungu na kwamba amekuja na kuletwa kwetu kama zawadi kwa watanzania.
Sasa baada ya kusikiliza maneno pamoja na kiu ya mamilioni ya wakulima kutaka mama awaangalie kwa jicho la huruma na Upendo wakulima kuhusiana na bei ya mahindi kwa kilo.hatimaye Mama huyu mwenye moyo wa upendo,ukarimu ,utu,uungwana na mwenye kuguswa na maisha ya watanzania amesikiliza kilio chao.
Ambapo ametoa maagizo mazito sana yaliyoibua shangwe,nderemo na vifijo kutoka kwa wakulima baada ya kutamka kuwa kuanzia kesho asubuhi mahindi yaanze kununuliwa kwa shilingi Mia 7 yaani 700 kwa kilo moja.ambapo Awali kabisa ilikuwa ni mia tano na baadaye ikaja mia 650 kwa mijini na 600 kwa vijijini.na sasa kwa ujasiri na upendo kwa wakulima bei elekezi ni mia 7 kwa kilo kuanzia kesho asubuhi.
Huo ni upendo mkubwa na usio na kifani alio uonyesha Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kwa wakulima.hii ni baada ya kutambua gharama wanazotumia wakulima katika uzalishaji, hii ni kwa kujuwa kilimo ndio Secta iliyobeba kundi kubwa la watanzania,hii ni kwa kutambua kuwa kilimo ni biashara na kinapaswa kuwainua watu kiuchumi,hii ni kwa kutaka kuona watu wanaondokana na umaskini kupitia kilimo.
Haya ni maamuzi ya kijasiri ya Rais wetu mpendwa kutaka kila mmoja aone kilimo ni shughuli inayoweza mpatia mtu utajiri na kuishi maisha bora na ya heshima na kupata chochote akitakacho mtu na kupata milo mitatu ya Chakula kwa siku na iliyo bora kabisa.Ni maamuzi ya kumuinua mgongo mkulima ambaye miaka mingi amebeba mzigo wa kulisha Taifa hili na kuhakikishia usalama na utulivu unakuwepo. kwa sababu huwezi kumuongoza wala kusikilizwa na mtu mwenye njaa ya chakula tumboni.
Kikubwa na Rai yangu ni kuwataka na kuwakumbusha wakulima wenzangu kutunza mahindi ya chakula kulingana na ukubwa wa familia.msiuze mahindi na chakula chote mkasahau kuweka hazina ya chakula.njaa ni mbaya sana na inaleta fedheha na unyonge sana ikiingia ndani ya familia au nyumba.tutunze chakula ili kije kitutunze baadaye. Tuuze kulingana na mahitaji na kuacha cha ziada na matumizi ya baadaye.tusiuze chote halafu tukaacha wafanya biashara wakatutunzia nakuja kutuuzia kwa bei ya juu tusiyoweza kuimudu hapo baadaye. Ni bora ukose vyote ndani lakini chakula kiwepo.
Utulivu na Amani ya nyumba ni pamoja na uwepo wa chakula ndani .kama hakuna chakula unaweza kuona hata watoto muda wote ni kama wagonjwa ,kumbe wamezidiwa na njaa.huwezi ukafanya kazi kama kulima ikiwa umeshinda na kulala na njaa.njaa inauma na haivumiliki .View attachment 3044902
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
mfano mahindi WFP wanataka kununua kwa bei ya Tshs. 1,000 lakini serikali hii ya CCM inataka wakulima wa mahindi walipwe Tshs. 500 kwa kilo ya mahindi....
Embu Tulia uandike vizuri kidogoKwahiyo Dumla ni 2800? Kwa mahindi ya mwaka huu?
Je ya mwaka jana itakua bei gani?
Rais Samia ameinuliwa Na Mkono wa Mungu Mwenyewe kuliongoza Taifa letuMkuu usimuusishe Mungu kwenye mambo yenu ya ajabu ajabu
Soma vizuri andiko languUmekosea kuandika, Rais hajasema hivyo! "Mia 700" uliyoandika ni sawa na elfu 7, yaani mia zikiwa 700 inakuwa 7,000. Ungeandika mia 7 yaani mia zikiwa 7 inakuwa 700.
Mia 7 kwa kilo.Mahindi yamefika shingapi huko wakuu?
Nikuulize swali, kwa trending hiyo kufika mwezi wa 10, mahindi yanaweza fika 1000 kwa kilo?...maana mimi nilinunua 600 kwa kilo na nina gunia kama 150, nafikiri niziuze au nisikilizie?Mia 7 kwa kilo.
Endelea kuzitunza .ila hakikisha umepiga dawa vizuri ili yasije yakapechwa halafu ukaingia hasara itakayo kububujisha machozi ya uchungu na majuto.N
Nikuulize swali, kwa trending hiyo kufika mwezi wa 10, mahindi yanaweza fika 1000 kwa kilo?...maana mimi nilinunua 600 kwa kilo na nina gunia kama 150, nafikiri niziuze au nisikilizie?
Dawa yamepigwa vizuri sana.Endelea kuzitunza .ila hakikisha umepiga dawa vizuri ili yasije yakapechwa halafu ukaingia hasara itakayo kububujisha machozi ya uchungu na majuto.