Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
-
- #121
Endelea kuyahifadhi..ila uwe unapita mara moja moja kuangalia hali yake ipoje hususan kama umepiga dawa ya maji .maana wengine wanaweka vidonge badala ya kupiga dawa.kwa hiyo aliyeweka kidonge hatakiwi kufungua fungua mlango mahali alipohifadhia mazao yake.Dawa yamepigwa vizuri sana.
Nilioweka ni ya kidonge mkuu,Endelea kuyahifadhi..ila uwe unapita mara moja moja kuangalia hali yake ipoje hususan kama umepiga dawa ya maji .maana wengine wanaweka vidonge badala ya kupiga dawa.kwa hiyo aliyeweka kidonge hatakiwi kufungua fungua mlango mahali alipohifadhia mazao yake.
Kwa hiyo vidonge si miezi mitatu ndio inabidi uuze?Endelea kuyahifadhi..ila uwe unapita mara moja moja kuangalia hali yake ipoje hususan kama umepiga dawa ya maji .maana wengine wanaweka vidonge badala ya kupiga dawa.kwa hiyo aliyeweka kidonge hatakiwi kufungua fungua mlango mahali alipohifadhia mazao yake.
Kama ni ya kidonge yaache huko huko stoo ulikotunzia.Maana si unajuwa hata wewe kiafya hutakiwi kuingia hovyo hovyoNilioweka ni ya kidonge mkuu,
Ndio .japo unaweza ukaongeza dawa tena na kuendelea kuyatunza tu.si unaonaga wengine wanauza hadi mwezi wa kwanza yanapokuwa na bei kubwa.Kwa hiyo vidonge si miezi mitatu ndio inabidi uuze?
Chakula ni bidhaa muhimu inayotumika kila siku. Je, kupanda kwake bei hiyo ni furaha au huzuni?Nyanda za juu kusini na wakulima wote nchini wamejaa raha ,furaha na tabasamu katika Nyuso na mioyo yao.
Ni kweli, hofu yangu nawaza yasije liwa na wadudu tu, maana ndio mara ya kwanza naanza hizi harakati za kununua na kuweka stoo.Ndio .japo unaweza ukaongeza dawa tena na kuendelea kuyatunza tu.si unaonaga wengine wanauza hadi mwezi wa kwanza yanapokuwa na bei kubwa.
Nenda shambani na wewe ukalime ndio uje ujibu swali lako.Chakula ni bidhaa muhimu inayotumika kila siku. Je, kupanda kwake bei hiyo ni furaha au huzuni?
Dhamira ya serikali yetu ni kumuinua mkulima. Ndio maana inaweka bei nzuri.lakini hujalazimishwa kuuza mahindi yako serikali.uza unapotaka MwenyeweUkiona serikali inaingilia mpaka biashara za kufanya wanainchi wa kawaida jua kibubu Kina Hari mbaya
Watu wapo Dar hawajui chochote kuhusu kilimo. Aisee, nimeshangaa sana watu kufurahia bei ya TZS 700 kwa kg!Ni kichaa tu anayeweza kufurahia hiyo bei ya miasaba.kwa maana hiyo gunia la kilo 100 unauza elfusabini?.wakati mwaka Jana watu tuliuza gunia laki na elfuhamsini.mbolea bei juu,mbegu bei juu na kukodisha shamba bei juu halafu unafurahia miasaba?kweli watz kujikomboa utachukua muda mrefu sana.