unaweza kuta nao wanazungukwa tu.Nami nasubiri!
Rais Samia mtimue DGIS na IGP na Awadhi! utakuwa umejivua uhusika wa hili!
Namna ambavyo mkuu wa kaya anavyotoa tamko pindi nwanakaya anapopoata madhila inatoa picha halisi ya moyo na dhamira yake.Zingatia location ya matukio pendwa-Ununio/Mbweni.
Kwa namna walivyosafirishwa Sugu na Mnyika kutoka Mbeya kwenda Makambako,hapana hawa ndugu zetu Polisi bila shaka ni wao!
Lakini nadharia nyingine ni Wazee wa Eagle house,Mama kawavuruga sana inawezekana Kuna zengwe wanamchezeshea!!
Mitano tena kwa mama
Hii ndo inanipa mashaka unaua binadamu mwenzio kisa mali na madarakaImani ishashuka na wananchi wanaanza kuisusa serikali kwasababu kwakauli yake rais alisema hizi ni drama na spika akasema hakuna la kuongelea juu ya utekaji maana haya mambo hayapo Mungu atunusuru watu wasiichoke serikali wakaanza kujilinda binafsi na kulipa kisasi sawia.
Angeunda TUME YA MAHAKAMA YA KIJAJI ndiyo suluhisho zaidi la suala hilo.Kaka kila mtu na mtazamo wake ni sawa. Ila mimi bado nakazia kwa mashuhuda, wamemtaja traffic, namba yake kuwa alikaa siti ya mbele wakamtambua vizuri. Na wabongo kwa mambo hayo wako vizuri kufatilia, wameona yote.
Kikawaida inaweza kuwa ngumu kuamini. Ila inaonyesha hali ni mbaya sana, kuliko tunavyodhani. Ni kwamba wanakuchomoa popote na unamalizwa, mtawafanya nini? Nenda kasome walivyojichanganya kwenye masaa, huitaji hata kuwaza mara mbili.
Naona mmoja Masauni kajipeleka mwenyeweNimeogopa sana πΌ
Kwa ninavyoijua Tanga naomba niishie hapo!
Sijakuelewa mkuuBaada ya Mwalimu Nyerere foundation - Butiku Kuongea, wazee wa uhuru hawataki kuogopa mtu... kwa nini alizomewa?
sikiliza hapa, labda utaambulia cha kuelewa:Sijakuelewa mkuu
πππsikiliza hapa, labda utaambulia cha kuelewa:
Ngoja tuone wataanza Upande gani πΌHii albadir itawatafuna sn CCM