UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,563
- 5,687
Mi naomba waanze na RC Makonda alipoingia kwenye madaraka kutoka uraianu nilijua Kuna sababu na ataendeleza upuuzi wake.
Is the only person can dare to start or continue doing such thing.Ila Mama Samia asichojua ni kuwa anamwaribia na hata mwendazake alimweka pembeni baada ya kuona mm amekuwa mbaya kuliko shetani.Ila huyu mzee atakuwa ameumia sana na moyo wake kuongea mengi na hiyo damu yake itawamaliza mpaka watoto wao hata awe ni mfalme wa nchi hii.
Leo nimeanza kusoma Zab 35 ,51 na 10 nikishika tumbo langu kwa siku 7 GOD will do something. NIMELIA SANA, KIBAO KAMA BABA YANGU MZAZI RIP BABA Ingawa sikuwa nakujua
Is the only person can dare to start or continue doing such thing.Ila Mama Samia asichojua ni kuwa anamwaribia na hata mwendazake alimweka pembeni baada ya kuona mm amekuwa mbaya kuliko shetani.Ila huyu mzee atakuwa ameumia sana na moyo wake kuongea mengi na hiyo damu yake itawamaliza mpaka watoto wao hata awe ni mfalme wa nchi hii.
Leo nimeanza kusoma Zab 35 ,51 na 10 nikishika tumbo langu kwa siku 7 GOD will do something. NIMELIA SANA, KIBAO KAMA BABA YANGU MZAZI RIP BABA Ingawa sikuwa nakujua