Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao

Rais Samia aagiza Vyombo vya Uchunguzi kumpa taarifa ya kina ya Kifo cha Ali Mohamed Kibao

Dodoki limetumika Ili kujenga taswira halisi ya kufichwa kwa waovu kama ambavyo uchafu huganda baada ya taka kuzolewa nk.

Kitendo Cha serikalikukaa kimya kwa muda mrefu ,serikali isijitie ububu na uziwi na hatimaye inaonekana kama inaunga mkono utekwaji,uteswaji na kuuliwa

Serikali msivae pamba masikioni tazameni idara mbalimbali zinazotajwa. Zingatieni kwamba hakuna mbadala wa mtu sehemu yoyote na wakati wowote
Kutolifumua jeshi la polisi na kutomuwajibisha waziri husika,serikali itakua imeamua kubeba lawama kutokana na uzembe aidha wa makusudi au kutokukusudia
 
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro Patrick Boisafi amelaani vikali mauaji ya Kaka yake Isack Boisafi Mallya (72) baada ya kukutwa kauliwa na mwili wake kutelekezwa nje ya nyumba yake
👇🏽👇🏽

View: https://www.instagram.com/reel/DDH_WaiukeI/?igsh=MWY5b2F2YnJpbjhoMQ==

Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.

Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.

Pia Soma:


Kifo ni kifo TU; Saa100
 

Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.

Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.

Pia Soma:
Imeisha hiyo
 
Back
Top Bottom