Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wameanza na Masauni siyo kawaida ake kurudi kwenye msibaNgoja tuone wataanza Upande gani 🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameanza na Masauni siyo kawaida ake kurudi kwenye msibaNgoja tuone wataanza Upande gani 🐼
Kule Ubenani wanaita TegoWanayo hoja...wasikilizwe.
Huwezi kuua baba wa watu halafu uchekewe.
Ni Yeye kakaa mbali kabisa 😂Wameanza na Masauni siyo kawaida ake kurudi kwenye msiba
Tayari albadir imemnasaNi Yeye kakaa mbali kabisa 😂
Who is Next?Angetoa tamko mapema asingekufa Kibao
Siwezi kukisia nimebaki na labda.Who is Next?
Labda nini?Siwezi kukisia nimebaki na labda.
Mi au weweLabda nini?
Mimi hawaniwezi kwa hio umebakia WeweMi au wewe
Mboga mboga voiceMimi hawaniwezi kwa hio umebakia Wewe
Waulize wana ccm wenzio sisi tujuavyo mtoto wa nyoka ni nyoka.Vipi tena dictator si alishakufa tangia 2021 yupo zake kalala chato tatizo nini mbona vilio 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani Mimi nimekuambia ni ccm au umechanganyikiwa mzee kweli maisha magumu watu wanadata🤣🤣🤣🤣Waulize wana ccm wenzio sisi tujuavyo mtoto wa nyoka ni nyoka.
Kwa machawa maisha magumu tena ya kitumwa yaani ni kama kuolewa tu😂Kwani Mimi nimekuambia ni ccm au umechanganyikiwa mzee kweli maisha magumu watu wanadata🤣🤣🤣🤣
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Imeisha hiyo
Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa ya mauaji ya kiongozi wa CHADEMA Bwana Mohamed Ali Kibao. Natoa pole kwa viongozi wa chama hicho, familia ya Mzee Kibao, ndugu, jamaa na marafiki.
Nimeagiza vyombo vya uchunguzi kuniletea taarifa ya kina kuhusu tukio hili baya kabisa na mengine ya namna hii haraka. Nchi yetu ni ya kidemokrasia na kila raia ana Haki ya kuishi. Serikali ninayoiongoza haivumilii vitendo vya kikatili vya namna hii.
Pia Soma:
- Mbowe: Ripoti ya Uchunguzi wa Kifo cha Mzee Kibao ikiwa tofauti na tulichoona tutaipinga
- Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
- Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ally Kibao
- Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Mzee Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro Patrick Boisafi amelaani vikali mauaji ya Kaka yake Isack Boisafi Mallya (72) baada ya kukutwa kauliwa na mwili wake kutelekezwa nje ya nyumba yake
👇🏽👇🏽
View: https://www.instagram.com/reel/DDH_WaiukeI/?igsh=MWY5b2F2YnJpbjhoMQ==
Kifo ni kifo TU; Saa100