Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

Rais Samia aagiza walioondolewa na Hayati Magufuli kwa vyeti feki walipwe

haaha dah hongereni sana kwa hilo .

Nakumbuka nilikuwa SHRO ofisi flani nikamsaidia jamaa kupata ajira alikuwa ni dereva mzuri sana alikuwa ananiendeshaga nikiwa na safari zangu binafsi za mikoani.

Yaani mzur sana kwani pia alikuwa fundi wa ishu ndogo ndogo za magari na leseni nzuri na cheti cha NIT lakini alikuwa hana cheti cha form four na tulikuwa tunahitaji madereva 5 pale ofisin nilimwambia jamaa ajiongeze atengeneze cheti cha form 4 feki kweli jamaa akaniletea baada ya kama siku 2 hivi nikamshortlist kwenye usaili na nkamsaidia ilikuwa miaka ya 2000 huko,
jamaa alikuwa smart sana akapanda cheo hadi kuwa principle driver na CEO wa hiyo taasisi alimpendekeza awe dreva wake.
Ishu ya vyeti feki ilivyoibuka naye akapatikana cheti chake cha form four feki nikamatafuta wenye simu akaendelea kunishukuru sana kwani alinieleza ile ajira ilimsaidia kupata nyumba 2 na kuhudumia familia yake vizuri pamoja na kufumfungulia mke biashara ya bucha la samaki. Nilimuoneaa huruma sana nikifiiria mimi ndiye niliyemuelekeza akatengeneze cheti feki
Ngoja kesho nijaribu kutafuta namba yae kwa wadau wa pale kama watakuwa nayo nimsalimie.

Kwa mujibu wa Penal Code yetu hilo kosa lipo hivi nahisi Samia atakuwa ametumia hiyo bolded part kudeal na hii ishu

Punishments for Forgery 337.
"Any person who forges any document is guilty of an offence which, unless otherwise stated, is a felony, and he is liable, unless owing to the circumstances of the forgery or the nature of the thing forged some other punishment is provided, to imprisonment for seven years."

wa Ma HR wote waliozembea kukagua vyeti penal code inaeleza hivi sio kosa kubwa
Neglect of official duty 121.
Every person employed in the public service who wilfully neglects to perform any duty which he is bound either by common law or by Statute or Ordinance to perform, provided that the discharge of such duty is not attended with greater danger than a man of ordinary courage and activity might be expected to encounter is guilty of a misdemeanour.
Kweli sio powa mkuu
 
Back
Top Bottom