Tajiri la Bitcoin
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 1,139
- 707
KUTUMBUA ndiyo kuchekea!
Hii hapana japo mama anafanya vizuri ni kweli"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,
Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
Acha kujifurahisha wewe....Anaweza? Hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..
Vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Naunga mkono hoja yakoMama tunaomba awashughulikie Barabara hao wahuni wanaoihujumu nchi Mimi namkubali Sana bi mkubwa anaweza Fanya kitu kikubwa kikabadilisha mustakabari wa Taifa letu maana najua yeye hayupo kwenye Ile cabinet ya mafisadi na wahuni hivyo achukue hatua Kali tuanze kujenga taifa jipya lisilo na makandokando ya wale wahuni wa awamu zilizopita!
Lala nao mbele aiseee tuna Imani nanyi!
Asante!
Tutaelewana tuRais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
Tanzania kama hizi report za CAG tungekuwa tunazifanyia kazi,nina uhakika wizi ungepungua. Tatizo letu mtu akipiga anahamishwa taasisi nyingine au anapelelwa mkoa mwingine. Matokeo unakuwa huja litatua tatizo.Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
Rais wa Tanzania Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi yote Tanzania ikiwemo TAKUKURU Mhe Samia Suluhu Hassan amesema haya...
"Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"
==
Ukweli ni kwamba Tanzania sasa kumekucha na Rais ni Jemedari Mkuu Mhe Samia Suluhu Hassan,
Moto kwa majizi yote ya fedha za umma ni rasmi sasa unawaka na siku zao zinahesabika kwa vidole.
Wale wote waliokuwa wanamchukulia " Mama Poa " sasa wakae mkao wa kunyolewa kwa madhambi yao,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone
Ushauri wangu "Nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea na kuangalia wale asiowataka tu kwani Rais Samia ni Mtu wa haki Sana na hana upendeleo"
HakikaTanzania kama hizi report za CAG tungekuwa tunazifanyia kazi,nina uhakika wizi ungepungua. Tatizo letu mtu akipiga anahamishwa taasisi nyingine au anapelelwa mkoa mwingine. Matokeo unakuwa huja litatua tatizo.