Rais Samia aagiza wote waliotajwa kwa wizi wa Fedha za Umma kwenye Ripoti ya CAG washughulikiwe

Rais Samia aagiza wote waliotajwa kwa wizi wa Fedha za Umma kwenye Ripoti ya CAG washughulikiwe

anaweza? hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..

vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Nini Tena, file lilikuwa zito? Hebu dadavua kiasi
 
Mnapenda sana kum overrate JPM ila jiulize Makonda na Sabaya wakati wanafanya madudu alikua haoni? Lugola na Nchambi walifungwa? Vipi waliobeba pesa za ESCROW Kwenye masandarusi wapo jela gani? Walioingiza serikali hasara ya matrillion kwenye Tanzanite na dhahabu wapo jela gani? In fact si alimpa ubunge wa makambako?

JPM alikamata watendaji tu ila hakugusa wanasiasa, otherwise kamati Kuu nzima ya CCM wangekua jela sahivi.

angalau alithubutu, wapo waliokwenda jela ambao hakuna aliyewaza wangeweza hata kwenda police post...
ule uthubutu angalau ulionyesha njia na uwezekano....asingeweza kumaliza yote angalau alijaribu kwa kiasi chake...

Bado tuna tatizo la CCM kama chama kulinda maslahi yake hapa ndio palipomfunga brake..
 
Rais Samia amesema haya...

Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-



Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Nimeangalia upya wa user nikaelewa ,wewe ni mkale hapa jukwaani
 
anaweza? hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..

vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Acha porojo kijana. Huyo mzee wako wa Lupaso na kijana wake kama wangekuwa na nguvu hizi unazozisema hapa, wasingetangulizwa udongoni kizembe zembe hivi.
 
Wapigaji wa serikalini Tanzania huwa ni vigumu kuwazingua kwa sababu wanaishi "kimfumo" yaani akiharibu ukitaka kumgusa utajikuta unajigusa mwenyewe.
Labda tu "outsource" mahakama ya kushughulikia mafisadi wa Bongo
Mkuu umeongea point moja kubwa Sana wengine ni ngumu kujua hili.
 
Rais Samia amesema haya...

Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-



Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Magufuli alikwapua 1.5 trillion mbona hakuchukuliwa hatua?
 
Rais Samia amesema haya...

Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-



Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,


Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Naunga mkono hoja tena aanze na Polepole.
 
Mnapenda sana kum overrate JPM ila jiulize Makonda na Sabaya wakati wanafanya madudu alikua haoni? Lugola na Nchambi walifungwa? Vipi waliobeba pesa za ESCROW Kwenye masandarusi wapo jela gani? Walioingiza serikali hasara ya matrillion kwenye Tanzanite na dhahabu wapo jela gani? In fact si alimpa ubunge wa makambako?

JPM alikamata watendaji tu ila hakugusa wanasiasa, otherwise kamati Kuu nzima ya CCM wangekua jela sahivi.
Kadhalika MBOWE,au yeye anaonewa?
 
Hongera Mh. Rais kwa kuliona....nashauri IGP pia abadilishwe. Haendani na kasi yako au bado ni mfuasi/ana uraibu na Mwendazake. Wajibisha au Pangua safu za Jeshi la Polisi na TAKUKURU hasa wale wanaozembea. Ama sivyo utatoa maagizo alafu yataishia hewani.
Tatizo ninaloliona hapa ni kwamba kwenye hiyo speech alitakiwa aamuru hao woootee walioko kwenye ripoti ya CAG wakamatwe kwa sababu nina uhakika hawatachukuliwa hatua na hivyo vyombo maana wanalindana. Kwenye eneo hili JPM alifanikiwa, alikuwa hacheleweshi kutoa amri watu wanadakwa fasta.
 
Rais Samia amesema haya...

Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-



Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,

Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,

Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
No.. JMP hakuwachekea bali aliwashughulikia ipasavyo, japo hakufanikiwa kuwamaliza wote kutoka na uchache wa muda aliokaa madarakani. RIP raisi wetu.
 
Kadhalika MBOWE,au yeye anaonewa?
Mbowe so mlimfunga enzi za JPM thou mahakama ya rufaa ikagundua hakua na hatia!! Ila majitu kma chenge na yule Vice chairman wa ACACIA waliotupa hasara ya matrillion hta kamati ya maadili tu ya CCM hawakuitwa; in fact mmoja kapewa ubunge na mwingine alipewa uenyekiti wa bunge.

Alafu mtu anakuja hapa eti JPM alikua chuma??
 
Magufuli alikwapua 1.5 trillion mbona hakuchukuliwa hatua?
Hizo pesa alizokwapua ziko wapi zirudi serikalini kugharamia shughuli za maendeleo?

Magufuli tayari hayupo duniani ni muda muafaka rais Samia kuzinyakuwa pesa hizo kuliko kupewa pesa za wafadhili kwa mashariti ya kingese

Halafu unaonekana ni zuzu unayeimba wimbo ki dogmatism,pathetic!
 
Back
Top Bottom