Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,417
- 5,579
HahahahahahahahahMnapenda sana kum overrate JPM ila jiulize Makonda na Sabaya wakati wanafanya madudu alikua haoni? Lugola na Nchambi walifungwa? Vipi waliobeba pesa za ESCROW Kwenye masandarusi wapo jela gani? Walioingiza serikali hasara ya matrillion kwenye Tanzanite na dhahabu wapo jela gani? In fact si alimpa ubunge wa makambako?
JPM alikamata watendaji tu ila hakugusa wanasiasa, otherwise kamati Kuu nzima ya CCM wangekua jela sahivi.
Huu ndio ujinga unafanya jpm akumbukwe...Rais Samia amesema haya...
Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-
==
Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Ilikuwa lazma achezee bangili za wanausalamaKwahiyo mzee wa lupaso asingeingilia Kati mzee wa remote angekula pingu?
Etiiiiii!enheeeeee, kingwallagwalaa na wahuni wenazko kaeni mkao wa kuliwaaa………….
hamna lolote ni kiki za pikipiki tu!
Mkitajiwa mnalalamika akikaa kimya mnalalamika. Binadamu panamtosha kaburini.Akiwa hai hatosheki haridhiki.Kulikuwa na haja gani kutoa tamko hadharani?
Ripoti imewaweka wazi, yeye kama Rais angewaita kama wakuu ama wa Takukuru au Polisi, kuanza kushughulika na ukamatwaji wa wahusika...
Kwani ripoti inakugusa na wewe?Political milage
Mkitajiwa mnalalamika akikaa kimya mnalalamika. Binadamu panamtosha kaburini.Akiwa hai hatosheki haridhiki.
Rudia kusoma ulichoandika. Yaani wewe unajua majukumu ya Rais kuliko hata Rais mwenyewe?. Amazing!!!!Kazi ya Rais sio kutaja wahalifu...
Yaani kama alihitaji sana kuzungumza kwenye kadamnasi basi alipaswa aje na actions zilizofanyika na sio maagizo...
Endapo angekuja na matamshi kama, "Hadi sasa watu kadhaa wapo mahabusu wakikabiliwa na tuhuma ABC, au hadi sasa watu kadhaa wanachunguzwa na Takukuru kwa tuhuma ABC..."
Jukwaa sio mahali pa kutoa maagizo ya kiutendaji, ni mahali pa kutoa mrejesho, kuhamasisha wananchi, kuwatia moyo waliokata tamaa, kutoa dira n.k
Paukwa pakawaanaweza? hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..
vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Paukwa pakawaanaweza? hili sio suala la masikhara...asipepese macho akiletewa mafaili..haya mafaili yanamajina ambayo lazima usiku ukose usingizi..
vijana walimpima JPM walipompa faili fulani, naye akasema apigwe pingu tu hakuna namna dah wale vijana wakaona hiki kweli chuma ikabidi Mzee wa Lupaso aokoe jahazi, dah sijui ingekuaje leo hii japo naamini ungekuwa ndio mwanzo wa Tanzania waitakao wengi...ile movie mzee wa Lupaso angeicha tu mwisho wake..
Ukoo wa Panya😅
Ccm bana mpaka Raisi aseme, apende bila katiba mpya haya maigizo hayataishaRais Samia amesema haya...
Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-
==
Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Upuuzi wako utaisha lini?Mnapenda sana kum overrate JPM ila jiulize Makonda na Sabaya wakati wanafanya madudu alikua haoni? Lugola na Nchambi walifungwa? Vipi waliobeba pesa za ESCROW Kwenye masandarusi wapo jela gani? Walioingiza serikali hasara ya matrillion kwenye Tanzanite na dhahabu wapo jela gani? In fact si alimpa Mwanyika ubunge wa Njombe?
JPM alikamata watendaji tu ila hakugusa wanasiasa, otherwise kamati Kuu nzima ya CCM wangekua jela sahivi.