Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Chief Hangaya alikuwa msaidizi wa shetani.Msaidizi wa shetani hawezi kuwa Malaika.Mama kaongea KWA uchungu sana. Tumuombeeni mama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chief Hangaya alikuwa msaidizi wa shetani.Msaidizi wa shetani hawezi kuwa Malaika.Mama kaongea KWA uchungu sana. Tumuombeeni mama
Ni danganya toto tu hio hamna kituKulikuwa na haja gani kutoa tamko hadharani?
Ripoti imewaweka wazi, yeye kama Rais angewaita kama wakuu ama wa Takukuru au Polisi, kuanza kushughulika na ukamatwaji wa wahusika...
sanasana kachalii kamekuja kuwa kahuni mbaya
Kwenye wezi Magufuli alikuwa hafikirii mara mbili wakina Singa na Rugemalila walidakwa kama vifaranga tu, ila kwa kuwa ashatoa tamko tutegemee kamatakamata kabla ya mwaka huu kuisha.
Hii ni milenia ya tatu, hatudanganyiki kirahisiWafanyabiashara gani na wakati kawatimua wote na sasa TPDC ndio inaagiza mafuta, Subiri utaona hapo baadae kidogo
Hivi Kakoko yuko wapi?Hawa wanasiasa sio wakuwaamini.Walishatuona sie wajinga?Hiyo report ya CAG kila mwaka Kuna shida,hakuna chochote cha maana kimefanyiwa kazi.Katiba mpya muhimuRais Samia amesema haya...
Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-
==
Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Yule alikamata asiowapenda tuNini Tena, file lilikuwa zito? Hebu dadavua kiasi
Natamani hili tamko lisiwe la kisiasa bali lipewe uzitoRais Samia amesema haya...
Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-
==
Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Kile kilikuwa chuma haswa.
Safi Sana mh.Rais lala nao mbele hao wapuuzi.Rais Samia amesema haya...
Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-
==
Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Awamu iliyopita wamechezeq sana kodi zetu hamna namna wachukulien hatua tuRais Samia amesema haya...
Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-
==
Tanzania sasa kumekucha,Moto unawaka, Wale wote waliokuwa wanamchukulia Mama poa sasa moto umewaka kwa ghafla,
Sasa kama ulitajwa na CAG umetafuna cha Umma kaa mguu sawa, Tutaelewana tu ngoja tuone,
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Sio kweli mkuuPolitical milage
Haha haha yaani paragraph yako ya mwisho imenichekesha sana.Rais Samia amesema haya...
Mkurugenzi wa TPA, Waziri na TAKUKURU mpo, naamrisha ripoti ya CAG mkaisome, halafu mchukue hatua, fedha nyingi sana imepotea watu tunachekeana tu, na bado waliotajwa kwenye ripoti bado wapo maofisini wanaendeleza wizi,"-
Ushauri wangu nyie wenye dhamana acheni kugusa pesa ya Umma huyu mama sio Hayati Dkt John John Joseph Pombe Magufuli aliyewachekea,
Angekuwa kama wanavyotaka kuaminisha watu, yeye mwenyewe, Magufuli angejiweka jela!Mnapenda sana kum overrate JPM ila jiulize Makonda na Sabaya wakati wanafanya madudu alikua haoni? Lugola na Nchambi walifungwa? Vipi waliobeba pesa za ESCROW Kwenye masandarusi wapo jela gani? Walioingiza serikali hasara ya matrillion kwenye Tanzanite na dhahabu wapo jela gani? In fact si alimpa ubunge wa makambako?
JPM alikamata watendaji tu ila hakugusa wanasiasa, otherwise kamati Kuu nzima ya CCM wangekua jela sahivi.
Au anapangiwa safari nyingi ili watu wafanye yao ?Tatizo mama yetu nae hapumziki..
Bilionea wa mavieite ? Au wa pesa ?