uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Si walisema atasimamisha dunia imekuaje tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mungu kaona asimamishe sayari kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si walisema atasimamisha dunia imekuaje tena [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Asante kwa taarifaInasikitisha sana mtu una smart simu halafu unashiindwa hata kufuatilia kitu kidogo kinachoendelea Cuba. Gridi ya umeme ya taifa na viwanja vya ndege vimefungwa na hali ni mbaya bado unasema: "Watakuwa hawakujipanga" please JF ni jukwaa kubwa tuliheshimishe kwa hoja zetu.🙏🙏🙏
Hujapona tu maumivu ya kuondokewa na JIWE aka KAMONGO? 😃😃😃😃laiti kingemkuta anatua huenda tungefurahi.
TAARIFA KWA UMMA
KUAHIRISHWA KWA ZIARA YA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOKUWA IFANYIKE NCHINI CUBA
Havana, 07 Novemba, 2024
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuutaarifu umma kwamba ziara ya kitaifa ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyopangwa kufanyika tarehe 6 hadi 8 Novemba, 2024 nchini Cuba imeahirishwa.
Ziara hiyo imeahirishwa kufuatia taarifa rasmi iliyowasilishwa na Serikali ya Cuba ikitaarifu kuwa Cuba ingekumbwa na Kimbunga Rafael kuanzia tarehe 6 hadi 7 Novemba, 2024. Hali hiyo imepelekea Serikali ya Cuba kuchukua tahadhari ikiwemo kusitisha safari zote za ndege kuingia na kuondoka Cuba.
Pamoja na kuahirishwa kwa ziara hiyo, Mhe. Rais ameelekeza shughuli zote zilizopangwa kufanyika kipindi cha ziara yake ziendelee kuratibiwa chini ya Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akishirikiana na Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb.) Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Ziara nyingine ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Cuba itapangwa siku za usoni baada ya nchi hizo mbili kukubaliana wakati sahihi wa ziara hiyo
Imetolewa na;
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali
PIA SOMA
- Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho
- Waziri Kombo aongoza kikao cha maandalizi ya ziara ya Rais Samia nchini Cuba
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Saa hizi yupo Kizimkazi anashushia matofaha ya kiunguja kwa tende shake. Baada ya kupiga mishkaki ya chaza na mayai ya samaki iliyojaa filfil mdwawiya.
Wakuu wa Nchi kutoka kanda ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika watakutana kwa mkutano wa ajabu nchini Zimbabwe wiki ijayo kujadili uchaguzi wa hivi majuzi nchini Msumbiji.
Tutajua tu!TAARIFA KWA UMMA
KUAHIRISHWA KWA ZIARA YA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOKUWA IFANYIKE NCHINI CUBA
Havana, 07 Novemba, 2024
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuutaarifu umma kwamba ziara ya kitaifa ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyopangwa kufanyika tarehe 6 hadi 8 Novemba, 2024 nchini Cuba imeahirishwa.
Ziara hiyo imeahirishwa kufuatia taarifa rasmi iliyowasilishwa na Serikali ya Cuba ikitaarifu kuwa Cuba ingekumbwa na Kimbunga Rafael kuanzia tarehe 6 hadi 7 Novemba, 2024. Hali hiyo imepelekea Serikali ya Cuba kuchukua tahadhari ikiwemo kusitisha safari zote za ndege kuingia na kuondoka Cuba.
Pamoja na kuahirishwa kwa ziara hiyo, Mhe. Rais ameelekeza shughuli zote zilizopangwa kufanyika kipindi cha ziara yake ziendelee kuratibiwa chini ya Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akishirikiana na Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb.) Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Ziara nyingine ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Cuba itapangwa siku za usoni baada ya nchi hizo mbili kukubaliana wakati sahihi wa ziara hiyo
Imetolewa na;
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali
PIA SOMA
- Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho
- Waziri Kombo aongoza kikao cha maandalizi ya ziara ya Rais Samia nchini Cuba
TAARIFA KWA UMMA
KUAHIRISHWA KWA ZIARA YA MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ILIYOKUWA IFANYIKE NCHINI CUBA
Havana, 07 Novemba, 2024
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuutaarifu umma kwamba ziara ya kitaifa ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyopangwa kufanyika tarehe 6 hadi 8 Novemba, 2024 nchini Cuba imeahirishwa.
Ziara hiyo imeahirishwa kufuatia taarifa rasmi iliyowasilishwa na Serikali ya Cuba ikitaarifu kuwa Cuba ingekumbwa na Kimbunga Rafael kuanzia tarehe 6 hadi 7 Novemba, 2024. Hali hiyo imepelekea Serikali ya Cuba kuchukua tahadhari ikiwemo kusitisha safari zote za ndege kuingia na kuondoka Cuba.
Pamoja na kuahirishwa kwa ziara hiyo, Mhe. Rais ameelekeza shughuli zote zilizopangwa kufanyika kipindi cha ziara yake ziendelee kuratibiwa chini ya Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akishirikiana na Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb.) Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Ziara nyingine ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan nchini Cuba itapangwa siku za usoni baada ya nchi hizo mbili kukubaliana wakati sahihi wa ziara hiyo
Imetolewa na;
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali
PIA SOMA
- Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho
- Waziri Kombo aongoza kikao cha maandalizi ya ziara ya Rais Samia nchini Cuba
Ni jambo jemaRAIS SAMIA KUIBUKIA ZIMBABWE ?
SADC inapanga mkutano wa kilele usio wa kawaida wenye dharura kubwa mjini Harare – kuangalia uchaguzi wa Msumbiji, Botswana
Na Thandiwe Garusa
Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) inatazamiwa kufanya mkutano wa dharura mjini Harare wiki ijayo, na huku uchaguzi wa hivi karibuni wa Msumbiji na Botswana na masuala mengine ya kikanda ya usalama kuwepo kwenye ajenda kuu.
Mwezi Agosti,2024 Zimbabwe ilipata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa 44 wa SADC ambapo Rais Emmerson Mnangagwa alichukua uenyekiti wa mzunguko wa jumuiya hiyo ya kikanda.
Akihutubia wanahabari wakati wa mkutano wa baada ya baraza la mawaziri Jumanne, Waziri wa Habari wa Zimbabwe mheshimiwa Jenfan Muswere alisema mkutano huo utafanyika kuanzia Novemba 16 hadi 20, 2024
View attachment 3148895
Picha: waziri Jenfan Muswere
"Taifa linafahamishwa kuwa mkutano wa dhararu wa Wakuu wa Nchi na serikali wa SADC umepangwa kufanyika Harare kuanzia tarehe 16 hadi 20 Novemba 2024, hasa kushughulikia masuala ibuka ya umuhimu wa kikanda
Huyu shetani hana bando
TeteteteKaribu Nyumbani Rais Wetu
Ama Bado Yupo Njiani Anarudi
Cuba Nako Mbali Sana