Rais Samia aahirisha ziara yake ya Cuba

There is something not right. Did she invite herself? The Foreign, Cultural and Health Ministers should be taken to task pamoja na private office. It's shameful.
 
Asante kwa taarifa
 
 

Attachments

  • 1731053871203.png
    60.4 KB · Views: 1
Tutajua tu!
 

Sawa imekuwa muda, yuko wapi sasa mkuu wa nchi yetu au likizo USA
 
Kwani Zaidi ya Wizara ya mambo ya nje, chombo gani kingine cha habari cha Canada kilitaarifu kuhusu kutokea kwa Kimbunga Rafael tarehe 6-7?
 
Nilisikia anaenda Cuba kuudhuria kongamano la kiswahili ni upotevu wa rasilimali tu
 
RAIS SAMIA KUIBUKIA ZIMBABWE ?


SADC inapanga mkutano wa kilele usio wa kawaida wenye dharura kubwa mjini Harare – kuangalia uchaguzi wa Msumbiji, Botswana​

Na Thandiwe Garusa

Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC) inatazamiwa kufanya mkutano wa dharura mjini Harare wiki ijayo, na huku uchaguzi wa hivi karibuni wa Msumbiji na Botswana na masuala mengine ya kikanda ya usalama kuwepo kwenye ajenda kuu.


Mwezi Agosti,2024 Zimbabwe ilipata heshima ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa 44 wa SADC ambapo Rais Emmerson Mnangagwa alichukua uenyekiti wa mzunguko wa jumuiya hiyo ya kikanda.

Akihutubia wanahabari wakati wa mkutano wa baada ya baraza la mawaziri Jumanne, Waziri wa Habari wa Zimbabwe mheshimiwa Jenfan Muswere alisema mkutano huo utafanyika kuanzia Novemba 16 hadi 20, 2024

Picha: waziri Jenfan Muswere


"Taifa linafahamishwa kuwa mkutano wa dhararu wa Wakuu wa Nchi na serikali wa SADC umepangwa kufanyika Harare kuanzia tarehe 16 hadi 20 Novemba 2024, hasa kushughulikia masuala ibuka ya umuhimu wa kikanda
 
Ni jambo jema
 
Inatolewa taarifa kuwa Rais atakuwa nchi fulani kwa ziara ya kikazi. Tunapewa ratiba yenye kila kitu na ndege ya Rais inaondoka hadi kufika eneo husika. Mara ghafla tunaambiwa Rais ameahirisha ziara bila kuelezwa kisa ni nini. Lakini ndege ipo eneo la ziara.

Cha ajabu ndege inaonekana kuondoka eneo la ziara kurudi nchini bila kuwa na taarifa zozote kuhusu Rais. Kipi hasa tunachotaka kisijulikane? Na kwanini?

Sisi kama taifa tulitakiwa tuwe tumetoka huko kwenye hayo mazonge kutokana na tulipotoka.

Ni hayo tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…